Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaNipe macho nione, Ee Mungu wangu....
Sawa shangazi...Mlale huko huko.
Shemdalrling lini tutaenda tena jamaniHujui tu vile umeifanya siku yangu kuwa nzuri leo baada ya jambo lililonipata shemdarling
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi yeshee wifi[emoji7]
HAIMAANISHI BY JOLIE
Hautaki ata niulize, Ulikuwa wapi
Jibu lako kubwa ni ubize na washikaji
Mimi nilitoka machozi mwanzoni
Now nishazoea
Mikiki na vitimbi ni mapeenzi
Najaribu kuiforce furaha, nisikukere
Labda ukimya wangu unakupa raha
mi sielewi
Nimeamua niachae makelele
Mpaka siku ukae unielewe
Sikuulizi ili nikukere, nakujalii
Nimeamua niache makelele
Mpaka siku uake unielewe
Kwamba mimi ndo yule (ndo yule)
[CHORUS]
Haimaanishi
Sihangaiki nawe kwenye akili yangu
Haimaanishi
Upendo wako uwe fimbo au pingu kwangu Sio rahisi
Nisahau sura yako kwenye mboni yangu Sio rahisi
Kuiandika talaka kwa vidole vyangu
Japo sijui kusoma ila picha nimeiona (nimeiona)
Una mpango wa kando, nafsi yangu unaichoma aah
Nikikuuliza maswali, unakoroma
Kumbatia uongo ila ukweli uakuponya aah Nimeamua niache makelele
Mpaka siku ukae unielewe
Sikuulizi ili nikukere nakujali
Nimeamua niache makelele
Mpaka siku ukae unielewe
Kwamba mimi ndo yule (ndo yule)
[CHORUS]
Haimaanishi
Sihangaiki nawe kwenye akili yangu
Haimaanishi
Upendo wako uwe fimbo au pingu kwangu
Sio rahisi
Nisahau sura yako kwenye mboni yangu
Sio rahisi
Kuiandika talaka kwa vidole vyangu ooh Oh yeah yeah yeah….
Wacha niuchunge ulimi
Usije ukaponza kichwa
Bora niuchunge ulimi wangu
Usije ukaponza kichwa
Kichwa
kichwa
Cc MO11
Hivi akimaanisha nini?Sawa shangazi...
Adhabu za hivi nilizimiss
Mnawasiliana tu au na viporo mwapasha?Mashairi ya nyimbo nimetumiwa sana wakati nasoma Sekondari miaka ya 90 lakini sikumuowa ingawa bado tunawasiliana na yeye ameolewa na anafamilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Anytime daeling shem..u know with me hakuna kinachoenda tengeShemdalrling lini tutaenda tena jamani
Mnawasiliana tu au na viporo mwapasha?
Amesema hiviii
Ewaaaaa...Nami nilimiss kuzitoa ndio maana leo nimeitoa.
Sawa kabisa. Na hivi hawa wajamaa wameshafungwa huko arabuni...Amesema hiviii
Tukalale kule tulikoenda shemdarling.... Unaonaje turudie hapa
Washalizwa tayari kumbe!
[emoji39][emoji39][emoji39]hakuna namna darling shem tule vyetu chaap...Washalizwa tayari kumbe!
Sie turudie apa apa ndo tushapewa ruhusa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Sichezi tena na wewe...Washalizwa tayari kumbe!
Sie turudie apa apa ndo tushapewa ruhusa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]