Na huku unafikaaaaAkikuomba hela usisite kunijulisha!
Muone huruma hata kidogoo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani uncle wako kakupa nini?
Siyo kwelii bebee!Eti unanipenda kwakuwa niko na uncle wake?
UkweliSiyo kwelii bebee!
Kwa upendo nilionao nimeamua tu niwe hata mdaka chozi na kama itakupendeza huko mbeleni unifanye anko wake kamili
Ntafanyaje lazima nifikeNa huku unafikaaaa
Huyo hanipagi hela, labda aanze leo!Akikuomba hela usisite kunijulisha!
Muonee huruma mwanaume mwenzio tuu, hata kidogoo yaniNtafanyaje lazima nifike
Nishakolea kwa Auntie yako
Sikutaka kukurupuka kabisaUkweli
Kwani kabla hajawa na anko si ulikuwa unamwona lakiniii.... Kwa nini hukumuwahii
Kwahiyo unanishauri niwe nakupa wewe moja kwa moja zisipitie kwake?Huyo hanipagi hela, labda aanze leo!
Anko wangu ndo ananipaga mahela
We huoni umechelewaa auuSikutaka kukurupuka kabisa
Nilikua naendelea kumchunguza
Na sasa nimeona ndio wakati sahihi
HapanaKwahiyo unanishauri niwe nakupa wewe moja kwa moja zisipitie kwake?
Mi nimekubali kuwa mdaka choziMuonee huruma mwanaume mwenzio tuu, hata kidogoo yani
Si bado hawajawa officialWe huoni umechelewaa auu
Unakataa pesa kwelii?Hapana