To you Mo11

Siyo kwelii bebee!

Kwa upendo nilionao nimeamua tu niwe hata mdaka chozi na kama itakupendeza huko mbeleni unifanye anko wake kamili
Ukweli
Kwani kabla hajawa na anko si ulikuwa unamwona lakiniii.... Kwa nini hukumuwahii
 
Ukweli
Kwani kabla hajawa na anko si ulikuwa unamwona lakiniii.... Kwa nini hukumuwahii
Sikutaka kukurupuka kabisa
Nilikua naendelea kumchunguza

Na sasa nimeona ndio wakati sahihi
 
Siyo kwelii bebee!

Kwa upendo nilionao nimeamua tu niwe hata mdaka chozi na kama itakupendeza huko mbeleni unifanye anko wake kamili
Usicheze mbali kama Tony.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…