To you Mo11

kwa ninayoyaona humu unaweza ukampindua auntie yako
mimi ananipa stress
nimuwaze yeye
niwaze hela
niiwaze simba
niiwaze arsenal
halafu vyote vinipe tabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mume wangu una hali mbaya, sio kwa mawazo hayo[emoji134][emoji134][emoji134]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio nakwambia nakupenda mm ungekuwa sio mume wa auntie yangu ningekuiba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamani anko wangu pole kumbe we ni arsenal kwa nn auntie nae anazidi kukutesa
Hahahhaha unastahili kwenda wapi anko wangu kipenzi ninayekupenda
Okey oke okey[emoji848][emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mume wangu una hali mbaya, sio kwa mawazo hayo[emoji134][emoji134][emoji134]
kushabikia simba na arsenal ni viherehere vyangu ila sio kwako ww
ulitakiwa unifariji aaarrrgghh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…