[emoji23][emoji23][emoji23] we mwanamke umeshazoea shida zikija raha unaogopa khaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Leo unanishangaza wifi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli ulikolala leo uwe unalala kila siku.
wewe ni mke wangu mimiNa mimi??[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Itakuwa kwa baba si eti auntie[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Haki sijui huu upampula ulirithi kwa nani!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mwanamke umeshazoea shida zikija raha unaogopa khaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli siendi mambo ya kupangiwa kunywa juice ya Azam hapana jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ole wako usiende.
Anko ujue usiniangushe na unavyojua kutongoza hovyo sasakweli mpwa wangu sitachepuka wala kuwawaza
wanaweke wote humu nitawaona wanaume
Hahhaha nalifahamu hiloWasiwasi wangu ni kwamba asubuhi atakuwa amesahau yote haya[emoji134]
tangu nilipogundua unanipendaUmeacha kuanzia lini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa na hizo juice anko itakuwaje jamanisio ombi ni lazima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anko ankohata moja sijapakia na nimeacha
Wouzeeeerrr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] michepuko haina nafasi leoWewe ni mume wangu mimi[emoji3590]
Yaani jamani hivi itakuwajeBahati mbaya ushaambiwa sio ombi[emoji23][emoji23]
Jamani jamani anko wake shunietangu nilipogundua unanipenda
nikasema siwezi kuwa na wapenzi wawili nitabaki na mmoja nitakae mpenda kweli