Hahhaha hivi ataweza kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sasa ndipo penye mtihani.
Hahahah mniwekee hata wine basiUjitahidi tu mama.
Ebu tupishe kwenye mambo ya msingi aiseeee.......Kwanini unateseka bebee,mdaka chozi nipo hapaa!
Acha nikipate tu auntie michepuko kama naiona jamani inavyochungulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie unachokitafuta utakipata.
We mzee ebu tia neno
Khaaaaa auntie jamaniAltar sijui ndio hivyo!! Itakufaa.
Mkuu, wewe ni kati wa dada wa mimi wengi wenye ninaamini tumeitunza adabu kati yetu, tena kwa dhati kabisa na pasipo na doa lenye mashaka....[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Niko home mie nimejilaza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie kwani uko wapi lakini?
Hata kama jamani hiyo siitaki mie niwekeeni dompo au st annaSi umetaka wine au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, wewe ni kati wa dada wa mimi wengi wenye ninaamini tumeitunza adabu kati yetu, tena kwa dhati kabisa na pasipo na doa lenye mashaka....
Naomba niunge mkono hoja hii kamili...