Na mm nipo wapi etiMkuu, wewe ni kati wa dada wa mimi wengi wenye ninaamini tumeitunza adabu kati yetu, tena kwa dhati kabisa na pasipo na doa lenye mashaka....
Naomba niunge mkono hoja hii kamili...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe hauna vidio kolu?
Vijoti hapana jamani si nitaonekana katoto na uzee huuUnachagua eeeh, tutarudi kwenye vijoti!!!!
We mzee ebu tia neno
juice utakunywa ukishindwa utabeba tu usijali mpwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa na hizo juice anko itakuwaje jamani
Hisia ni jambo gumu kidogo kulielezea, pengine inahitaji kujifyatua lock kwa sehem kama humu ndani.... ili uweze kuelezea kile unacho kiamini na hata ukaeleweka kwa mtazamo chanya, hata kwa akina saa mbovu kama mimi...tehteehh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kaka wa mimi unaunga mkono hoja ipi kwanza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha, hapana mie haya mambo siwezi, ila kila la kheri kwa wapendanao hawa wawili
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ndio zimeshaanza hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamjanizoesha raha, hivyo itabidi ichukue muda sana ndio nizizoee hizi raha.
Huwezi kupenda au?Hahahaha, hapana mie haya mambo siwezi, ila kila la kheri kwa wapendanao hawa wawili
Sent using Jamii Forums mobile app
Anko usinifanyie hivyojuice utakunywa ukishindwa utabeba tu usijali mpwa
nipo mzima huna haja kesho ukiniuliza nitakumbuka kila kitu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Love nayascreenshot haya kesho asubuhi nakutumia.
Kwanza ndio namalizia kuandika thread yenye inakuhusu mujarab kabisaaaa.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na mm nipo wapi eti
Hahhaha kazi nahisiNini kimemchosha?[emoji134]