Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Nimekumbuka nyuz zako wew mama za kitambo ichooooHaya baba
Nimefunga mdomo
Nimeokoka sahvNimekumbuka nyuz zako wew mama za kitambo ichoooo
Mtu akizisoma kama ni mwanaume wa shoka lazma kichwa cha chin kicheze chezeee
Ah ah ah ah
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeambiwa kuna wifi yangu kapita kwenye hii thread kaka nifahamishe kwa kweliThat's fantastic
Mahaba kama yote yan....Baby, hii surprise imenifanya nimepata mshtuko nisokua nimeutarajia, leo umeniweza honey umeniweza mm,
Archduke, I want to thank you for all the wonderful ways you make me happy, even when you don’t realize it.
Just seeing your face or hearing your voice can make my day already.
It’s a treat when I get to spend the entire day with you and do all our favorite things together.
Because of you, I have a permanent smile on my face and butterflies fluttering in my stomach.
Thank you for giving me this giddy, happy feeling
I love you, yes i love you to the moon and back
Ah ah ah ah ah mi ndio Baba mchungaji sasa katika hilo kanisaNimeokoka sahv
Nampenda sana Yesu
Sasa mwenza ndio kimya kimya unaniachia msala peke yangu!!!Mwenza, mie yalinishinda.
Mme gani mwezi wa 4 huu hajui mkewe anakula na kulala wapi.
Akha!!!
Nakuachia upambane na huba lako mie nilijipa talaka mwenyewe.
Sahv nachanua na penzi jipya la mwanaume bikra
Amina baba
Yupi huyo dada?Mbona ni habari mpya kabisa kwangu!Nimeambiwa kuna wifi yangu kapita kwenye hii thread kaka nifahamishe kwa kweli
Hebu tuachane kwanza na hayo, nawe nimekumiss balaa. Nani anakuficha?Huyu mrembo kamisika haswa...
espy muulize Daby kampeleka wapi huyu bibie
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa!! Useme nini sasa!!Heeeee
Niseme? [emoji41]
Mwambie akupe.Sasa mwenza ndio kimya kimya unaniachia msala peke yangu!!!
MO11 nami nataka talaka yangu kwakweli. Ukuje uniandikie leo.
Ah ah ah ah Ujana mmekula na MO11 nw mnamkimbia daaaaah jamanSasa mwenza ndio kimya kimya unaniachia msala peke yangu!!!
MO11 nami nataka talaka yangu kwakweli. Ukuje uniandikie leo.
Mie mwenyewe namfuma kila siku kwakweli sasa nimechoka.Mwambie akupe.
Nimemkuta mtaa wa 7 hukooooo anapuyanga kutafuta penzi jipya.
Utaletewa mwenza ndani....shauri zako.
Na akupe talaka mwaya.....sahv akina Uchebe kibao.
Unajizolea tu mmoja....unakuwa rimoti kwake
Nilivokuhamu sasa nashindwa hata kumalizia...Kaaah...
Swalaaaaama?
Simtaki tena kwakweli, asinizeeshe.
Kama hupandi wala hushuki..Hahahaaaa!! Useme nini sasa!!