To you my love

To you my love

Baby, hii surprise imenifanya nimepata mshtuko nisokua nimeutarajia, leo umeniweza honey umeniweza mm,

Archduke, I want to thank you for all the wonderful ways you make me happy, even when you don’t realize it.

Just seeing your face or hearing your voice can make my day already.

It’s a treat when I get to spend the entire day with you and do all our favorite things together.

Because of you, I have a permanent smile on my face and butterflies fluttering in my stomach.

Thank you for giving me this giddy, happy feeling

I love you, yes i love you to the moon and back
Mahaba kama yote yan....


Mahaba niuwe mahaba niteketezeeeeee

Inaonekana una mahaba mazito kama Nape na Ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenza, mie yalinishinda.
Mme gani mwezi wa 4 huu hajui mkewe anakula na kulala wapi.
Akha!!!
Nakuachia upambane na huba lako mie nilijipa talaka mwenyewe.
Sahv nachanua na penzi jipya la mwanaume bikra
Sasa mwenza ndio kimya kimya unaniachia msala peke yangu!!!

MO11 nami nataka talaka yangu kwakweli. Ukuje uniandikie leo.
 
Sasa mwenza ndio kimya kimya unaniachia msala peke yangu!!!

MO11 nami nataka talaka yangu kwakweli. Ukuje uniandikie leo.
Mwambie akupe.
Nimemkuta mtaa wa 7 hukooooo anapuyanga kutafuta penzi jipya.
Utaletewa mwenza ndani....shauri zako.
Na akupe talaka mwaya.....sahv akina Uchebe kibao.
Unajizolea tu mmoja....unakuwa rimoti kwake
 
Back
Top Bottom