To you my love

Tungekuwa wabunifu kwenye mambo ya kimaendeleo kama haya tulivyowabunifu wa maneno basi tungekuwa tunaunda simu zetu tu kwa sasa.
mbunifu ni yule mtu anaeunda kitu chake yeye mwenyewe kikawa chake..hapo kwenye simu tungekuwa tunaendeleza kazi iliyofanywa na mbunifu...karibu jf
 
mbunifu ni yule mtu anaeunda kitu chake yeye mwenyewe kikawa chake..hapo kwenye simu tungekuwa tunaendeleza kazi iliyofanywa na mbunifu...karibu jf
Kuna samsung
Kuna iphone
Kuna tecno, n.k.
Ubunifu sio hivyo tu ni pia kuja na kitu kama kilekile lakini kilicho bora zaidi ya mwenzako
 
Kuna samsung
Kuna iphone
Kuna tecno, n.k.
Ubunifu sio hivyo tu ni pia kuja na kitu kama kilekile lakini kilicho bora zaidi ya mwenzako
HELL NO, mkuu unahitaji maelezo mengi sana ili uelewe ubunifu ni nini

haiwezekani aliyetengeneza Coca Cola aitwe mbunifu halafu Bakhresa nae aitwe mbunifu kisa nae ana Azam cola wakati materials ni yale yale ya Coke does it make any sense mkuu??


ili uwe mbunifu lazima uwe wewe mwenyewe bidhaa yako iwe yako mwenyewe usifanane na mtu

yule mtu wa kwanza kutengeneza simu, gari, tv etc huyo ndiyo mbunifu vitu kama Samsung, Iphone, LG ni majina tuu.

sipo vizuri sana kwenye maelezo ila ubunifu ni somo pana sana ila itabidi unielewe hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…