To you my love

To you my love

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe nanyi mnatuogopa kama tunavyowaogopa!!! Kwahiyo tunaogopana!!!

Ila usijali, humu wema wapo sana tu, ukibahatisha hutojutia. Next month ni harusi ya my good friend mchumba wake wamekutana humu humu.
Mm tu ndio nawaogopa ila sio wote..
Hongera kwao!
 
Back
Top Bottom