Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ya kwangu usisome tafadhali.Ngoja nisome maoni ya wengine kwanza
Wanapanga Baraza la mawaziri lijalo 2025-2030 baada ya kushika dola !au sio!!!?😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Kuna mtu anasubiriwa atie timu hapo tuombe Mungu mambo yaende sawa.
inaweza kuwa comment bora kuliko zote yaaniWanapanga Baraza la mawaziri lijalo 2025-2030 baada ya kushika dola !au sio!!!?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kama unampenda mtu kwa sababu ya sura yake basi nenda kanywe naye chai - JK NYERERE
Kwa ikiwa ulichangia cent ngapi🤔Matunda ya Ruzuku
pamoja na kulogwa koteTokea enzi ya mkapa mwenyekiti ni yule yule.