TOA MAONI YAKO (PICHa)

TOA MAONI YAKO (PICHa)

Serikali hiyo ya Bongo,Wazee wa Kiduku hao, Wanasubiri wali mwaupe,wote wana ndizi mfukoni.

Wazee wa pilipili NOMA.
 
8D6U3762.jpg
 
wazee wa ishu yaani shaba wali mweupe hao.
Ukiwasachi hukosi ndizi na pilipili kwenye kanzu

Kwi kwi kwi kwi! Eeeeeh bana eeeeeh, umenivunja mbavu! Kwio kwio kwio kwio! aaaaah aaah!
 
NI viongozi wa serikali ya mapinduzi ya ZNZ ukiondoa JK! ZnZ asilimia zaidi ya 90% ni waislam na ulitaka wavae mavazi gani! au tuanze kujadili ya magwanda ya chadema upya! hahaha

P.S Wamependeza! sana tu.. (au mavazi ya kiislamu ishaonekana udini)??

Kama zaidi ya 90% ni waislamu katika hiyo list kungekuwa angalau na mkristo mmoja! Mbona huko hatusikii hiyo chini ya 10% wakilalamikia kubaguliwa na kutengwa katika uongozi?

Kwenye hiyo ya blue umenichakachua mawazo, maana umeji-contradict mpaka basi!
 
hao ni serikali za nchi mbili tofauti.hapo walikuwa wanajadili kufunguliana balozi ili kuimarisha ujirani mwema.
 
Kama huna jipya usijadili mambo ya dini hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!hatutaki ufisadi wa kidini!!!!!!!!!!
 
Hii picha ina kitu gani cha keleta majadala hapa ? Hawa ni watu wamevaa mavazi ya chaguo lao na Hawa ni watanzania halisi na wengi wao wametoa mchango mkubwa kwa masilahi ya nch hii kulio nyie mnao wakejeli hapa. Hatuawaombi kuongeza akili sababu labda hilo ni gumu kwenu lakini labda tuwaombe kupunguza ujinga yaani msilete mijadala ya kipuuzi.
 
Hao ni viomgozi wa kitaifa, ila ha ajabu ni kwamba sijamwona mzee Ruksa, ama nimeangalia vibaya?
 
Wanajadiliana kuhusu mahakama ya kadhi na namna ya kujiunga na OIC.Hivi jamani tutafanyaje kupenyeza hizi hoja zetu?maana naona wakristu wapo makini kweli kweli!Haa! kwa kuwa hii ni kipindi changu cha mwisho nitalazimisha bse I fear nothing!Mh!wewe subiri kidogo uwezi kujua jamaa wata react vipi!!
 
Wanajadiliana kuhusu mahakama ya kadhi na namna ya kujiunga na OIC.Hivi jamani tutafanyaje kupenyeza hizi hoja zetu?maana naona wakristu wapo makini kweli kweli!Haa! kwa kuwa hii ni kipindi changu cha mwisho nitalazimisha bse I fear nothing!Mh!wewe subiri kidogo uwezi kujua jamaa wata react vipi!!

Haupo peke yako unaekosa usingizi kwa mahakama ya kadhi na OIC I mean mpo wengi sana kaka kazeni buti.
 
mwacheni mungu aitwe mungu, kama asingelipenda tuongozwe na waislam kamwe wasingelikuwa hapo madarakani, acheni mapenzi yake yatimilike.
 
mwacheni mungu aitwe mungu, kama asingelipenda tuongozwe na waislam kamwe wasingelikuwa hapo madarakani, acheni mapenzi yake yatimilike.

Tofautisha mapenzi ya mungu na mapenzi ya shetani.Watawala wa dunia wanawatumikia wananchi wao,suala la mungu achana nalo katika masuala ya kipuuzi kama haya!!!Hitler[German's leader during second world war),Saddam(former Iraq's leader),Idd Amini(Former Uganda's Leader),Samuel Doe( Former Libelia's leader),Mabutu seseko(Former Zaire's leader),Benito Msolini(Formaer Italy's leader ),Joseph Slalin[Former Union soviet socialist republic of Russia(USSR)'s leader ]wate hawa na wengine waliozalilisha utu wa mwanadamu ni chaguo la mungu?Mungu ana chuki na wanadamu?Tawala za dunia ni tawala za shetani!!!usitukane ufalme wa mungu!!
 
Back
Top Bottom