wazee wa ishu yaani shaba wali mweupe hao.
Ukiwasachi hukosi ndizi na pilipili kwenye kanzu
NI viongozi wa serikali ya mapinduzi ya ZNZ ukiondoa JK! ZnZ asilimia zaidi ya 90% ni waislam na ulitaka wavae mavazi gani! au tuanze kujadili ya magwanda ya chadema upya! hahaha
P.S Wamependeza! sana tu.. (au mavazi ya kiislamu ishaonekana udini)??
Huyu wa mwanzo mbona amenuna hivi?
Hapa najaribu kufikiria wanajadiri nini?
Hapa najaribu kufikiria wanajadiri nini?
Huyu wa mwanzo mbona amenuna hivi?
Kuweka kwenye ilani zao mahakama ya kadhi, oic....kuongeza ulinzi wa majini, kununua uchawi kwa sheikh wao yahaya!?
Wanajadiliana kuhusu mahakama ya kadhi na namna ya kujiunga na OIC.Hivi jamani tutafanyaje kupenyeza hizi hoja zetu?maana naona wakristu wapo makini kweli kweli!Haa! kwa kuwa hii ni kipindi changu cha mwisho nitalazimisha bse I fear nothing!Mh!wewe subiri kidogo uwezi kujua jamaa wata react vipi!!
mwacheni mungu aitwe mungu, kama asingelipenda tuongozwe na waislam kamwe wasingelikuwa hapo madarakani, acheni mapenzi yake yatimilike.