Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Pokea shout out hizoKumekucha!! Haya ahsante mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pokea shout out hizoKumekucha!! Haya ahsante mkuu
Umeacha mama.
Nakupenda pia, nakutaka pia... Mpenzi wee!Mie nimeona Malabuku na Mahaba kwako.
Hivi ulichoadhimia moyoni kweli umekimaanisha...??!!!
Dhambi ujue kuitakili nafsi.....
Malabuku zako mara elf thelathini na sabini.
Kasinde.
Nakupenda pia, nakutaka pia... Mpenzi wee!
Corona tuache nimtafute Kasie...
Mpaka mmoja wetu aombe poo shenzy zetu na robo tatu... Vikojoleo vitaumana mpaka viombane msamahaMmmmuuuahhh, maalabuku zetu wote wawili...!!!! See you at St. Joseph...
Mpaka mmoja wetu aombe poo shenzy zetu na robo tatu... Vikojoleo vitaumana mpaka viombane msamaha
Vimwaga mkojo hoyeeee
ZimepokelewaPokea shout out hizo
EwaaaaaaaaAu nije kukutembelea halafu ipigwe marufuku kutoka nje.
Asante sana Mzee Toboa
Hahahaa. LolLeo asubuhi niliwaza hivyo asee😀😀😀
Japo jina lenyewe lina asili ya uarabuni na mimi ni wa upande wa pili lakini nini bwana, ni jina zuri na linamfaa yeyote.
Kipenda rohoHahahaa. Lol
Mimi niko kundi gani?
Siku na Saa..Vipi kuhusu place?..Teh tehAhahahahahaa Kaboom, hiyo umepata, panga siku na saa.
Kasie Matata sina Matata, labda kama kuna kingine...
Niko karantini ya mapenzi..Hata nikifichwa urafiki haufi.. Sharaut kwako pia..Hope uko unamuhudumia Smart now..kundi la kwanza list inaendelea lol si unaona kidizain nawewe umekua kimya sana rafiki. . my shot out to you huko ulikofichwa. .
Cc Smart911