Toa shotout kwa memba unayemkubali

Toa shotout kwa memba unayemkubali

Mie nimeona Malabuku na Mahaba kwako.

Hivi ulichoadhimia moyoni kweli umekimaanisha...??!!!

Dhambi ujue kuitakili nafsi.....

Malabuku zako mara elf thelathini na sabini.

Kasinde.
Nakupenda pia, nakutaka pia... Mpenzi wee!

Corona tuache nimtafute Kasie...
 
Mpaka mmoja wetu aombe poo shenzy zetu na robo tatu... Vikojoleo vitaumana mpaka viombane msamaha

Vimwaga mkojo hoyeeee


Baabuuuuuuuuu aaahahahahhaahhahaaaaaa
Ujue mie nilikuwa nakutegemea wewe.......

Kitimoto inahusika walaah aahahahahaaa

Halafu Corona ni fursa ujue, wakati watu wanajikarantini majumbani, sie tunajikarantini baharini.....aahahahhaahaa

Shamooo Babuuu.
 
Back
Top Bottom