Toa stress zako hapa: Uzi maalum kwa ajili ya kutoa stress zako....(hasira, maudhi,uwoga....)

Toa stress zako hapa: Uzi maalum kwa ajili ya kutoa stress zako....(hasira, maudhi,uwoga....)

Nilipokuwa msichana mdogo Kuna mvulana nilikuwa nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuona hajambi wala hanyi, yaani nilikuwa namuona sio MTU wa dunia hii
Baada ya kugundua huwa anakata gogo ulifanyaje?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ndio dadii...na ukumbi pia..au unasemaje??
Nafikiria kufanyia kwenye jet
FB_IMG_15333148595757780.jpg
 
Back
Top Bottom