Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Unapolaumu si lazima uwe na suluhisho? Wanaosema anakosea kupanga kikosi si waseme kikosi kiweje?Yaani mashabiki mtoe ushauri jinsi gani kocha apange kikosi chake[emoji848][emoji848]?
Rage alikuwa sahihi kuwaita mbumbumbu[emoji23][emoji23]
Wengi wa hao wanamlaumu kocha mpira wameujulia kwa kusikiliza kwenye radio hivyo hawana akili ya maboresho wao wamekaririshwa kulaumu tu.Watu wengi wanamlaumu sana Kocha wa Simba jinsi anavyopanga timu na chaguo la wachezaji anaowachezesha kipindi cha kwanza au cha pili.
Shutuma ya pili ni mbinu za kimchezo anazotumia Kocha huyo. Kuna watu wanaona Simba inacheza kimparaganyiko na taratibu sana.
Jee Kocha Roberthino afanye kitu Gani kuifanya Simba iwe Bora zaidi kuliko sasa!!??
Fukuza kocha, lete Julio.Watu wengi wanamlaumu sana Kocha wa Simba jinsi anavyopanga timu na chaguo la wachezaji anaowachezesha kipindi cha kwanza au cha pili.
Shutuma ya pili ni mbinu za kimchezo anazotumia Kocha huyo. Kuna watu wanaona Simba inacheza kimparaganyiko na taratibu sana.
Jee Kocha Roberthino afanye kitu Gani kuifanya Simba iwe Bora zaidi kuliko sasa!!??