Wgr30 JF-Expert Member Joined Jan 22, 2017 Posts 1,770 Reaction score 2,384 Sep 25, 2017 #21 dah!! kweli duniani wawili wawili aisee!!! Nimemtambua mmoja tu hapo aliyevaa saa mkono wa kulia mwenye shati nyekundu simjui huyo aliyeshika chupa wanafanana na Diamond balaa!!
dah!! kweli duniani wawili wawili aisee!!! Nimemtambua mmoja tu hapo aliyevaa saa mkono wa kulia mwenye shati nyekundu simjui huyo aliyeshika chupa wanafanana na Diamond balaa!!
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,203 Reaction score 37,906 Sep 25, 2017 #22 Torres alikuwa captain wakati Simeone anacheza pale AM, leo Simeone anamlipa Mshahara Torres.
M mama kubwa JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 6,230 Reaction score 9,889 Sep 25, 2017 #23 Ndio maana Kiba huwa anaona uvivu ht kumjibu huyu kiumbe. Ni kweli amefanikiwa lakini naamini hakumbuki alikotoka.
Ndio maana Kiba huwa anaona uvivu ht kumjibu huyu kiumbe. Ni kweli amefanikiwa lakini naamini hakumbuki alikotoka.
richard best best New Member Joined Sep 24, 2017 Posts 1 Reaction score 0 Sep 25, 2017 #24 Hatarii kitambo iyoo