Toaaaa

Toaaaa

kususa jana tu ndo imekuwa kes?
bas leo sisusi...inakuwaje mjombhaaaaaaaaaaaaa me miss u mbaya wewe...npe muktadha afta sunset bas.....nakuzingatia!!!
pamoko sana tu.....kunja den?bas mi ntalipa!!!!!!!!


ROSE chote Kiswazi au umemix na cha kwetu? Pamoko, kunja den...muktadha basi mimi acha mbali
 
jamaa aliweka infront wakat demu alitaka robo shiling kw sekunde ...c unajua dada ze2 ucpoenda huko anakuona mshamba.


kweli ndo hivyo duuuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhh niko nyuma mimi
 
Back
Top Bottom