Today is my name day🎂

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628



Hello there.

Tarehe na mwezi kama wa leo The First Causation teamed up with my mom to create me. It was a privilege I didn't asked it I was in the cosmic gateway of Uknown and known.. just like a smoke in the dark. Ila kwa upendo wake akanileta hapa duniani hivyo hivyo By God,To God, For God. I was named and knighted to the band of brothers to protect the Innocent and defending the weak by any means✊

Nimeangalia watu mbalimbali niliokua nao ambao hawakuwezakufika siku ya leo it's hurt Kwakweli like these two good guys nilizoeana nao ila leo hawapo wameacha watoto na wake tu.. Kiukwekeli kwa miaka ya sasa ni rahisi Ng'ombe kupita tundu la sindano kuliko kijana kutimiza au kuvuka miaka 30. We day very young sijui kwanini.

Lakini mimi ni nani hadi niweze kufika siku ya leo wakati vijana wengi hawakuweza kufikia? I'm nothing, I'm inconsequential hivyo sina budi kusema.

Zaburi 116:12
[12]Nimrudishie BWANA nini
Kwa ukarimu wake wote alionitendea?

Ecclesiastes aliwahi kusema kwamba

For with much wisdom comes much sorrow ,themore knowledge, the more grief. Na Charles Bukowaski akasema kwamba "Sadness is caused by Intelligence the more you understand certain things, the more you wish you didn't understand them.

Anyway lets keep enjoying this Precious little time called life maana ukishamaliza timeline yako ndo basi tena.
Happy birthday Vinchii🎂🎂

Kama kuna swali lolote, I'll gladly answer it/them ✌️


 
It's awesome that you exist. I hope that the day treats you well and gives you plenty to smile about.

Have a fabulous day full of love and laughter and a fantastic year ahead .

Happy anniversary with life, The smartest person I know.

PP.
 
Wimbo umenichekesha huu.. eti cut tge stupid cake, You didn't accomplish much but you didn't die i think that's enough😆

Thanks for the wish my dearly Paula P..
I wish one day to cut the stupid cake with you Beautiful woman 🌹
Hata mimi natamani sana. Kwakuwa ya kwako imepita inayofuata ni ya kwangu tutakata hiyo cake Mungu akipenda.

Kuhusu wimbo, ooohhh thank you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…