Today is the big day, Lamu port inazinduliwa. Wadau kaeni mkao wa kula

Good timing, mnafungua bila terminal ya mafuta polen
 
Barabara kutoka Garsen hadi Lamu inazinduliwa sasa hivi tunavyozungumza.

mwanamkiwa! Vp hata viongozi wa South Sudan na Ethiopia hawakuweza kufika?



Maana during the groundbreaking walikuja



We were told this...


 
Mshana sikujua kwamba pia wewe una wivu na Kenya. Nilidhania wewe ni mtu mngwana.
My apology Tony254 naona hukunielewa ...
Kwanza sina hiyo tabia ya wivu kabisa naomba unielewe hivyo lakini kwa uzoefu wangu miradi mikubwa ya Afrika na sehemu kubwa ya dunia inajengwa na wachina na mara nyingi kwa mkopo.. Ndio maana nikauliza hivyo
 
My apology Tony254 naona hukunielewa ...
Kwanza sina hiyo tabia ya wivu kabisa naomba unielewe hivyo lakini kwa uzoefu wangu miradi mikubwa ya Afrika na sehemu kubwa ya dunia inajengwa na wachina na mara nyingi kwa mkopo.. Ndio maana nikauliza hivyo
Huu mradi hadi kufikia sasa is 100% funded by the government of Kenya
 
Kenyan media is already narrating Uhuru's launching of Lamu port alone!
 
My apology Tony254 naona hukunielewa ...
Kwanza sina hiyo tabia ya wivu kabisa naomba unielewe hivyo lakini kwa uzoefu wangu miradi mikubwa ya Afrika na sehemu kubwa ya dunia inajengwa na wachina na mara nyingi kwa mkopo.. Ndio maana nikauliza hivyo
Hamna tatizo. Huu mradi umejengwa 100% kwa kutumia pesa za ndani. Hakuna mkopo uliotumika.
 
Naomba mnipe update hii port ya Lamu itakuwa na capacity ya tani ngapi kwa mwaka? Mombasa ilihandle tons 30 million mwaka jana vs Dar tani 17 million . sasa na hii ya Lamu tena majirani mumefunkka. Kumbukeni kununua mahindi yetu tukuze usugu wetu wa damu. Ref Kabudi na rais SSH walipokuja kwenu .Tunategemeana tusishindane , vinginevyo hakuna mshindi , na sisi bidhaa zenu tunazipenda ukiacha siasa mufilisi za baadhi ya viongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…