uza kuku wa kienyeji ww mkaa utapata homa ya mapafu
halafu naona umenikonfyunzi na mtu mwengine hapo kwenye kipapli papli....mi sio lizzy bana angalia ID vizuri[/QUOTE]
heheeh huyu ndio Bht bana!
ndo mimi klorokwini wengine wote vivuli tu...
Ile ni personal phone, unataka nini kwenye simu yangu kama mimi sigusi ya kwako?
Mimi waifu nikimwambia aniazime simu nicheze gemu akijibu haiwezekani basi siku ya pili naanzisha sredi ya kutafta mchumba mwengine hapa JF. Kinamama naomba mniunge mkono kwa hili, nitawahitaji
eeeh hayo maneno kama je yanaleta shaka usiulizwe?
na kama una maelezo ya kujitosheleza na kuridhisha kesho wala huulizwi
itakuja tu hata kw achenga chenga Mbu
kama sio muaminifu, don't ask ur partner to trust u. Muambie kabisa mie kimeo,simu yangu usiguse. Mie nikikuta simu ina password na mie naweka yangu passowrd hadi kwenye charger! Tuone nani atakufa na presha kabla ya mwenzie.
kama sio muaminifu, don't ask ur partner to trust u. Muambie kabisa mie kimeo,simu yangu usiguse. Mie nikikuta simu ina password na mie naweka yangu passowrd hadi kwenye charger! Tuone nani atakufa na presha kabla ya mwenzie.
swali la kizushi;....hizi snowflakes zinazoanguka ni kwenye screen yangu tu, au na nyie mshaathirika nazo? jf never fails to amaze me!
...imagine ni message toka kwa mama mzazi anakuasa usisahau majukumu yako kwa nduguzo, ila
kwakuwa mke si mwelewa na tayari ana bifu na mama mkwe, inaanzisha soo mpya ndani ya nyumba.
Hizi sms sie wengine hatuthubutu kuwapa namba nyumba ndogo...lakini bado zinatu cost!
Afadhali! Manake nimerusha uzi kule kwenye malalamiko halafu hakuna aliyejibu kwa hiyo nikaanza kudhani labda kuna mtu kaniroga na sasa nimeanza kuona maruweruwe!
sasa hapo huyo ushasema si mwelewa...yaani ndo usisaidie nduguzo sababu yake?
Hah Mbu bwana, unajiprotect sana bana ah. Ukiwa hivyo amini unajijengea mazingira ya kuvinjika haraka ujue. Si wanasema you can never be too careful? Nway uko right maana ukishang'atwa na nyoka you will always kuwa muoga kila jani!.
There was a time I used to ask myself kama nilishawahi kupenda kiukweli. Nina udhaifu wa kutokuwaga na mashaka na kuanza kufuatilia fuatilia mwenza wangu unless anipe sababu ya kufanya hayo. Na sababu yenyewe iwe ya maana, si shallow kama kuchelewa kurudi nyumbani! Nadhani nahitaji darasa la wivu.
Today's Relationships: You can touch
each other, but not each other's phones.
Hii imekaaje?
IMO husbands and wives at any given time (without any questions) should have access to their spouses phones.
cheaters wajanja siku hizi hawategemei simu. Wao wako ktk mtandao, ma fesi buku, imeili nakadhalika. Huko mambo yote yanapangwa. kwa hiyo simu imepitwa na wakati kwa siriazi cheaters