Tofati ya TP Mazembe na Ruvu Shooting ni historia tu

Tofati ya TP Mazembe na Ruvu Shooting ni historia tu

Kama wewe ni mtu wa mpira utakuwa umeona kabisa TP Mazembe kwa misimu hii ya karibuni ni timu imekuwa ya kawaida mno. Tofauti yao kimchezo na Ruvu Shooting au KMC ni historia tu.

TP Mazembe wana historia kubwa ya kubeba ubingwa wa Africa Champions League, but right now ni timu ina average players ambao viwango vyao utavikuta KMC na Rruvu Sshooting.

Yanga wasije kuvimba kichwa na kujiona wakubwa kwa kuifunga timu iliyokuwa kubwa hapo zamani na sio sasa. Yanga wasije kutamba na kuwazodoa Ssimba kwa kichapo cha jana eti kwa kuwa wao wameshinda leo

Laiti Yanga angecheza na Raja jana, angechezea goli sio chini ya tano kwa mtungi.

Pamoja na Yanga kushinda leo kuna uwezekano wa kutokuendelea robo kutokana na kundi lao lilivyo na jinsi wanavyocheza ugenini.

Hongereni Yanga lakini msitambe sana kwa maana hao Mazembe wakicheza na Singida Big Stars sidhani kama Mazembe anaweza toka salama.

Yangu ni hayo tu.

Mtu wa ball, mtu wa mpira.
Makolo FC buana.
 
Kama wewe ni mtu wa mpira utakuwa umeona kabisa TP Mazembe kwa misimu hii ya karibuni ni timu imekuwa ya kawaida mno. Tofauti yao kimchezo na Ruvu Shooting au KMC ni historia tu.

TP Mazembe wana historia kubwa ya kubeba ubingwa wa Africa Champions League, but right now ni timu ina average players ambao viwango vyao utavikuta KMC na Rruvu Sshooting.

Yanga wasije kuvimba kichwa na kujiona wakubwa kwa kuifunga timu iliyokuwa kubwa hapo zamani na sio sasa. Yanga wasije kutamba na kuwazodoa Ssimba kwa kichapo cha jana eti kwa kuwa wao wameshinda leo

Laiti Yanga angecheza na Raja jana, angechezea goli sio chini ya tano kwa mtungi.

Pamoja na Yanga kushinda leo kuna uwezekano wa kutokuendelea robo kutokana na kundi lao lilivyo na jinsi wanavyocheza ugenini.

Hongereni Yanga lakini msitambe sana kwa maana hao Mazembe wakicheza na Singida Big Stars sidhani kama Mazembe anaweza toka salama.

Yangu ni hayo tu.

Mtu wa ball, mtu wa mpira.
Ww jamaa bana!! hata hao raja hawajafanya vizur ktk misimu hii ya karibuni, acha ujinga mazembe wana quality kilichotokea jana ni mambo ya matokeo ya mpira tu.
 
Kama wewe ni mtu wa mpira utakuwa umeona kabisa TP Mazembe kwa misimu hii ya karibuni ni timu imekuwa ya kawaida mno. Tofauti yao kimchezo na Ruvu Shooting au KMC ni historia tu.

TP Mazembe wana historia kubwa ya kubeba ubingwa wa Africa Champions League, but right now ni timu ina average players ambao viwango vyao utavikuta KMC na Rruvu Sshooting.

Yanga wasije kuvimba kichwa na kujiona wakubwa kwa kuifunga timu iliyokuwa kubwa hapo zamani na sio sasa. Yanga wasije kutamba na kuwazodoa Ssimba kwa kichapo cha jana eti kwa kuwa wao wameshinda leo

Laiti Yanga angecheza na Raja jana, angechezea goli sio chini ya tano kwa mtungi.

Pamoja na Yanga kushinda leo kuna uwezekano wa kutokuendelea robo kutokana na kundi lao lilivyo na jinsi wanavyocheza ugenini.

Hongereni Yanga lakini msitambe sana kwa maana hao Mazembe wakicheza na Singida Big Stars sidhani kama Mazembe anaweza toka salama.

Yangu ni hayo tu.

Mtu wa ball, mtu wa mpira.
TP Mazembe mliisifu sana kabla ya kufungwa na Yanga.
Huo ukawaida wake umeanza baada ya kufungwa na Yanga?
 
Kama hauja wahi wafunga Mazembe hata kwenye bonanza kaa kimya
Babu hiyo mazembe ishafungwa na azam mara mbili ,hakuna timu hapo kaka.

Muwe mnafuatilia mpira basi sio kuangalia mechi zenu za kichawi tu .tena mechi mna angalia timu yenu tu
 
Babu hiyo mazembe ishafungwa na azam mara mbili ,hakuna timu hapo kaka.

Muwe mnafuatilia mpira basi sio kuangalia mechi zenu za kichawi tu .tena mechi mna angalia timu yenu tu
Wewe umeifunga mara ngapi?
Azam waliwafunga mechi za mabonanza
 
Babu hiyo mazembe ishafungwa na azam mara mbili ,hakuna timu hapo kaka.

Muwe mnafuatilia mpira basi sio kuangalia mechi zenu za kichawi tu .tena mechi mna angalia timu yenu tu
Achana na Azam, Simba Je?
 
Back
Top Bottom