Ni chama chenye kuungwa mkono na makundi yote katika jamii..mf. vijana, wazee, matajiri, maskini, vilema, waliokata tamaa na maisha, watoto, viongozi wa dini, wasiokuwa na dini, mabalozi wa nje na ndani, kila kada ya serikali wanaifagilia CDM kwa mf. TISS, TPDF, POLICE, PRISON, MILITIA, ikulu, wizara zote, ndo maana wana data za kila idara...