Tofauti kati ya kamera ya simu na kamera ya kawaida

Tofauti kati ya kamera ya simu na kamera ya kawaida

Fazzah5x

Senior Member
Joined
Aug 10, 2022
Posts
172
Reaction score
243
Habari za weekend wakuu, tafadhalini naombeni mnijuze tofauti za kiuwezo kati ya phone cameras na kamera za kawaida na je ni kweli baadhi ya simu zinazidi uwezo kamera za kawaida?

Nawasilisha

#africanboy
 
DSLR vs Smartphone?

Hapo tofauti kubwa za kiutendaji ni Sensor na Lensi. Camera zina Sensor kubwa mfano DSLR zina 36 x 24 mm, wakati iPhone 15 ina 7.6 x 5.7 mm.

Pia, Lens zinabadirishika kwenye DSLR wakati kwenye simu zipo fixed. Maelezo yake marefu ila DSLR ya $350 inaweka ikimbiza vibaya sana Smartphone ya $1000 kwenye image quality.
 
Back
Top Bottom