Tofauti kati ya Land Cruiser Prado na Land Cruiser isiyo Prado

Tofauti kati ya Land Cruiser Prado na Land Cruiser isiyo Prado

Jaluo_Nyeupe

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2010
Posts
2,824
Reaction score
2,264
Habari za leo wakuu.

Naomba kujua tofauti ya hizo gari mbili let’s say zote ni old model mf. 1995 moja ikiwa na injini ya 1hz na nyingine 1kz.

Na kwanini mtaani kuna tofauti kubwa sana ya bei ilhali zina muonekano unaofanana?

Adjustments.jpg

IMG_6850.png
 
Baba umeshasema 1HZ na 1KZ

hakuna gari ya toyota yenye 1HZ ikauzwa Bei chee. Iyo engine ni Madhubuti na roho ya Paka shume. Imagine 1HZ ipo hadi kwenye coster.
You can see how strong is

Unaweza kuta bei za kiwandani zipo sawa ila Soko ndio limepandisha bei kutokana na experience yake nzuri
 
Hizo engine za 1HZ zimetumika Sana Kwenye boti za uvuvi zinapendwa mno hasa ziwa Victoria...
Nakumbuka miaka ya nyuma cruiser za 1HZ zimeibiwa Sana na soko kubwa lilikuwa ni kwajili ya uvuvi, hizo mashine ni noma hasa Kwenye uimara
 
Wabongo noma
Hizo engine za 1HZ zimetumika Sana Kwenye boti za uvuvi zinapendwa mno hasa ziwa Victoria...
Nakumbuka miaka ya nyuma cruiser za 1HZ zimeibiwa Sana na soko kubwa lilikuwa ni kwajili ya uvuvi, hizo mashine ni noma hasa Kwenye uimara
kichizi! Yani najaribu kutafakari boti ya 1HZ itakuwa inakimbiaje huko majini 🤣🤣🤣
 
Habari za leo wakuu.

Naomba kujua tofauti ya hizo gari mbili let’s say zote ni old model mf. 1995 moja ikiwa na injini ya 1hz na nyingine 1kz. Na kwanini mtaani kuna tofauti kubwa sana ya bei ilhali zina muonekano unaofanana?
View attachment 1660376
View attachment 1660377
Zina engines tofauti, engine kubwa ina maisha marefu hata zaidi ya mara mbili zaidi ya maisha ya engine ndogo

zina tare weight tofauti full version ina 2400kg na hii Prado ina kama 1800 au 2000kg.

sasa uzito unatafsiri stability ya gari barabarani hivyo kufanya unapoendeaha gari nzito unakua salama zaidi kulinganisha na light weight. Lakini pia hata body materials za hizo gari ni tofauti Prado imetengenezwa kwa light materials

Suspensions pia ziko tofauti, Prado ina light suspensions ambazo si kwa matumizi ya barabara mbovu hivyo inafanya Prado kuwa less comfort and less secure kwenye off roads kulinganisha na LC full version
 
Hizo Land Cruiser Prado huwa zinakuja na injini ya 3L au 1KZ na zinafahamika kama Land Cruiser 2. Kwa baadhi utakuta zimeandikwa ubavuni Land Cruiser Prado au Land Cruiser II.

Hizo body ndio zimefanana na Land Cruiser LX Hardtop ambayo ina injini za 1HZ. Hizo Land Cruiser Prado zimetengenezwa kama SUV za light duty wakati Land Cruiser LX zimetengenezwa Kwa ajili ya heavy duty works.

Pia taa za mbele zinatofautiana, mashavu yapo tofauti ukiangalia Kwa ukaribu na suspension za Prado zimekaa ki luxury zaidi.
 
Zina engines tofauti, engine kubwa ina maisha marefu hata zaidi ya mara mbili zaidi ya maisha ya engine ndogo

zina tare weight tofauti full version ina 2400kg na hii Prado ina kama 1800 au 2000kg.

sasa uzito unatafsiri stability ya gari barabarani hivyo kufanya unapoendeaha gari nzito unakua salama zaidi kulinganisha na light weight. Lakini pia hata body materials za hizo gari ni tofauti Prado imetengenezwa kwa light materials

Suspensions pia ziko tofauti, Prado ina light suspensions ambazo si kwa matumizi ya barabara mbovu hivyo inafanya Prado kuwa less comfort and less secure kwenye off roads kulinganisha na LC full version
Asante sana mkuu. Umenielewesha vyema kabisa.
 
Hizo Land Cruiser Prado huwa zinakuja na injini ya 3L au 1KZ na zinafahamika kama Land Cruiser 2. Kwa baadhi utakuta zimeandikwa ubavuni Land Cruiser Prado au Land Cruiser II.

Hizo body ndio zimefanana na Land Cruiser LX Hardtop ambayo ina injini za 1HZ. Hizo Land Cruiser Prado zimetengenezwa kama SUV za light duty wakati Land Cruiser LX zimetengenezwa Kwa ajili ya heavy duty works.

Pia taa za mbele zinatofautiana, mashavu yapo tofauti ukiangalia Kwa ukaribu na suspension za Prado zimekaa ki luxury zaidi.
Shukrani mkuu kwa maelezo yako.
 
Hizo Land Cruiser Prado huwa zinakuja na injini ya 3L au 1KZ na zinafahamika kama Land Cruiser 2. Kwa baadhi utakuta zimeandikwa ubavuni Land Cruiser Prado au Land Cruiser II.

Hizo body ndio zimefanana na Land Cruiser LX Hardtop ambayo ina injini za 1HZ. Hizo Land Cruiser Prado zimetengenezwa kama SUV za light duty wakati Land Cruiser LX zimetengenezwa Kwa ajili ya heavy duty works.

Pia taa za mbele zinatofautiana, mashavu yapo tofauti ukiangalia Kwa ukaribu na suspension za Prado zimekaa ki luxury zaidi.
Nisaidieni nifahamu kutofautisha injini....

3L, 1HZ, 1KZ n.k maana yake nini?
 
Nisaidieni nifahamu kutofautisha injini....

3L, 1HZ, 1KZ n.k maana yake nini?
Hizo ni injini za Diesel za Toyota. Toyota wao injini zao za diesel wamezipa code kuonyesha injini ina idadi gani ya cylinder.

Baadhi ya Kodi za diesel injini ni B,G,H,L,V
. Kwa Toyota wao Kwanza inaanza namna kisha herufi baada ya hapo ukikuta mkato kisha herufi F-Fuel injection na T-Turbo hizi huwa mwisho kuonyesha injini ina mfumo wa fuel injection na T inaonyesha gari ina turbo.

Tuje kwenye 3L,1KZ,1HZ. L hizi injini zipo L,2L,3L na 5L. L injini hii ilitumika kwenye sedan kama Mark na Chaser matoleo ya Zamani. 2L hii imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace, Surf Sana tumeiona kwenye Hilux za Zamani na 2L ina 2400cc ubavuni hizi gari zilikuwa na chata ya 2.4L kuonyesha ina 2400cc.

3L hii ni injini yenye 2800cc na imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace,Surf,Prado, Fortuner na Surf kwenye baadhi ya hizi gari utakuta kuna Lebo wameweka ya 2.8L.

5L injini hii ina 3000cc nayo imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace, Fortuner na huonyeshwa Kwa Alama ya 3.0L au D3.0.
Kwenye hizi injini ukikuta 2L au 3L hii ni natural aspirated engine haina turbo Ila ukikuta ina code 2L-T au 3L-T hii ina turbo.

1KZ hii ni injini ya Toyota ya diesel ambavyo imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace,Surf, Prado hii ina 3000cc. Ukikuta ina code hii 1KZ-T hii herufi T inakuonyesha injini hii ina turbo. Hii ilikuja baada ya Injini za L ikiwa ni maboresho Zaidi na baada ya 1KZ ikaja 1KD na 2KD ambazo bado zilifungwa katika Hiace,Prado na Hilux. Kisha imekuja kufunga kazi 1GD-FTV ambayo ipo kwenye Prado za sasa na Hilux hii imekuwa maarufu kutokana na watu kupenda tone ya ule mluzi wa turbo.

1HZ hii ni injini kongwe, roho ya paka na yenye nguvu iloyotengenezwa na kuwekwa kwenye Toyota Land Cruiser series 70/80, Toyota Coaster ambazo utakuta zina chasisi yenye code ya HZJ*****.Hii ni injini yenye 6cylinder na 4200cc au 4.2L injini hii imetengenezwa bila turbo. Ila Toyota kuna baadhi ya Coaster injini hizi za 1HZ walizitengeneza na turbo hivyo zikawa zimekuja na code ya 1HZ-T, kwenye Land Cruiser ukikuta 1HZ-T jua imefanyiwa modifications.

Tofauti ya hizi injini ambayo ni nyepesi ni kuwa 3L ina 2800cc na 4 cylinder ,1KZ ina 3000cc na ni 4 cylinders, 1 HZ ina 4200cc na ni inline 6 cylinders.Hapo utaona ipi ni kubwa,yenye nguvu na muungurumo wa kibabe kuzidi mwenzie.

Adiós Amigo
 
Hizo ni injini za Diesel za Toyota. Toyota wao injini zao za diesel wamezipa code kuonyesha injini ina idadi gani ya cylinder.

Baadhi ya Kodi za diesel injini ni B,G,H,L,V
. Kwa Toyota wao Kwanza inaanza namna kisha herufi baada ya hapo ukikuta mkato kisha herufi F-Fuel injection na T-Turbo hizi huwa mwisho kuonyesha injini ina mfumo wa fuel injection na T inaonyesha gari ina turbo.

Tuje kwenye 3L,1KZ,1HZ. L hizi injini zipo L,2L,3L na 5L. L injini hii ilitumika kwenye sedan kama Mark na Chaser matoleo ya Zamani. 2L hii imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace, Surf Sana tumeiona kwenye Hilux za Zamani na 2L ina 2400cc ubavuni hizi gari zilikuwa na chata ya 2.4L kuonyesha ina 2400cc.

3L hii ni injini yenye 2800cc na imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace,Surf,Prado, Fortuner na Surf kwenye baadhi ya hizi gari utakuta kuna Lebo wameweka ya 2.8L.

5L injini hii ina 3000cc nayo imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace, Fortuner na huonyeshwa Kwa Alama ya 3.0L au D3.0.
Kwenye hizi injini ukikuta 2L au 3L hii ni natural aspirated engine haina turbo Ila ukikuta ina code 2L-T au 3L-T hii ina turbo.

1KZ hii ni injini ya Toyota ya diesel ambavyo imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace,Surf, Prado hii ina 3000cc. Ukikuta ina code hii 1KZ-T hii herufi T inakuonyesha injini hii ina turbo. Hii ilikuja baada ya Injini za L ikiwa ni maboresho Zaidi na baada ya 1KZ ikaja 1KD na 2KD ambazo bado zilifungwa katika Hiace,Prado na Hilux. Kisha imekuja kufunga kazi 1GD-FTV ambayo ipo kwenye Prado za sasa na Hilux hii imekuwa maarufu kutokana na watu kupenda tone ya ule mluzi wa turbo.

1HZ hii ni injini kongwe, roho ya paka na yenye nguvu iloyotengenezwa na kuwekwa kwenye Toyota Land Cruiser series 70/80, Toyota Coaster ambazo utakuta zina chasisi yenye code ya HZJ*****.Hii ni injini yenye 6cylinder na 4200cc au 4.2L injini hii imetengenezwa bila turbo. Ila Toyota kuna baadhi ya Coaster injini hizi za 1HZ walizitengeneza na turbo hivyo zikawa zimekuja na code ya 1HZ-T, kwenye Land Cruiser ukikuta 1HZ-T jua imefanyiwa modifications.

Tofauti ya hizi injini ambayo ni nyepesi ni kuwa 3L ina 2800cc na 4 cylinder ,1KZ ina 3000cc na ni 4 cylinders, 1 HZ ina 4200cc na ni inline 6 cylinders.Hapo utaona ipi ni kubwa,yenye nguvu na muungurumo wa kibabe kuzidi mwenzie.

Adiós Amigo
Haya mambo kumbe ni lazima kusoma sana ili kuyafaham.
 
Hizo ni injini za Diesel za Toyota. Toyota wao injini zao za diesel wamezipa code kuonyesha injini ina idadi gani ya cylinder.

Baadhi ya Kodi za diesel injini ni B,G,H,L,V
. Kwa Toyota wao Kwanza inaanza namna kisha herufi baada ya hapo ukikuta mkato kisha herufi F-Fuel injection na T-Turbo hizi huwa mwisho kuonyesha injini ina mfumo wa fuel injection na T inaonyesha gari ina turbo.

Tuje kwenye 3L,1KZ,1HZ. L hizi injini zipo L,2L,3L na 5L. L injini hii ilitumika kwenye sedan kama Mark na Chaser matoleo ya Zamani. 2L hii imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace, Surf Sana tumeiona kwenye Hilux za Zamani na 2L ina 2400cc ubavuni hizi gari zilikuwa na chata ya 2.4L kuonyesha ina 2400cc.

3L hii ni injini yenye 2800cc na imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace,Surf,Prado, Fortuner na Surf kwenye baadhi ya hizi gari utakuta kuna Lebo wameweka ya 2.8L.

5L injini hii ina 3000cc nayo imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace, Fortuner na huonyeshwa Kwa Alama ya 3.0L au D3.0.
Kwenye hizi injini ukikuta 2L au 3L hii ni natural aspirated engine haina turbo Ila ukikuta ina code 2L-T au 3L-T hii ina turbo.

1KZ hii ni injini ya Toyota ya diesel ambavyo imetumika kwenye Toyota Hilux,Hiace,Surf, Prado hii ina 3000cc. Ukikuta ina code hii 1KZ-T hii herufi T inakuonyesha injini hii ina turbo. Hii ilikuja baada ya Injini za L ikiwa ni maboresho Zaidi na baada ya 1KZ ikaja 1KD na 2KD ambazo bado zilifungwa katika Hiace,Prado na Hilux. Kisha imekuja kufunga kazi 1GD-FTV ambayo ipo kwenye Prado za sasa na Hilux hii imekuwa maarufu kutokana na watu kupenda tone ya ule mluzi wa turbo.

1HZ hii ni injini kongwe, roho ya paka na yenye nguvu iloyotengenezwa na kuwekwa kwenye Toyota Land Cruiser series 70/80, Toyota Coaster ambazo utakuta zina chasisi yenye code ya HZJ*****.Hii ni injini yenye 6cylinder na 4200cc au 4.2L injini hii imetengenezwa bila turbo. Ila Toyota kuna baadhi ya Coaster injini hizi za 1HZ walizitengeneza na turbo hivyo zikawa zimekuja na code ya 1HZ-T, kwenye Land Cruiser ukikuta 1HZ-T jua imefanyiwa modifications.

Tofauti ya hizi injini ambayo ni nyepesi ni kuwa 3L ina 2800cc na 4 cylinder ,1KZ ina 3000cc na ni 4 cylinders, 1 HZ ina 4200cc na ni inline 6 cylinders.Hapo utaona ipi ni kubwa,yenye nguvu na muungurumo wa kibabe kuzidi mwenzie.

Adiós Amigo

1hz ni roho ya paka! Funga kazi
 
Back
Top Bottom