Tofauti kati ya Land Cruiser Prado na Land Cruiser isiyo Prado

Sasa kama vimashine vya yamaha havina hata horsepower 50 uje ufunge mashine yenye horsepower 134 huoni kama show inakuwa kali.
zile boti za utalii au ndogo za uvuvi HP 75 ni mwisho.
nizo boti za zannzibari ndo mitaa yake iyo.
imagine meli kata titaniki engine. 6 si chin ya hp46000
engine boen twinejet zina hp 175000
 
zile boti za utalii au ndogo za uvuvi HP 75 ni mwisho.
nizo boti za zannzibari ndo mitaa yake iyo.
imagine meli kata tikaniki engine. 6 di chin ya hp46000
engine boen twinejet zina hp 175000
Hahahah hizo horsepower ni balaa,
 
Mkuu umefafanua vyema sana ila marekebisho kidogo hapo kwenye 1HZ badilisha ni CC 4160 pia umesahau 1C au injini za code C ambazo ni dizeli na huja na Chasser mark II sedan
 
gari ni kadude kadogo sana max hp ipo kwenye gari inaitwa regera hp 1460 still watu wana vitz za hp 70🤣🤣
Hahahahahah sahizi wajerumani wengi wako kwenye threshold ya 400-600HP kwenye top spec ya practical cars. Humo ni kwa kujaza ma turbo turbo chargers.

Mjapani ndio yuko kati ya 200-400
 
zile boti za utalii au ndogo za uvuvi HP 75 ni mwisho.
nizo boti za zannzibari ndo mitaa yake iyo.
imagine meli kata titaniki engine. 6 si chin ya hp46000
engine boen twinejet zina hp 175000
Hizo hp za meli zisikutishe mkuu sababu zinaendana na uzito wake!

Emma Maersk ina 108920 hp lakini top speed ni 55 km/h!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…