Tofauti kati ya mtu aliyesoma na mtu aliyeelimika

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
kuna tofauti gani kati ya mtu aliyesoma na mtu aliyeelimika? hili jambo huwa linanitatiza mno haswa nikiwaangalia wasomi wetu wa sasa
 
aliesoma ni mtu aloenda shule nakupata elim na alie elimika hajaenda shule lakn anaujuz/ufaham wa ktu flan
 
aliesoma ni mtu aloenda shule nakupata elim na alie elimika hajaenda shule lakn anaujuz/ufaham wa ktu flan


huo ni mtazamo wako tu ila si kweli
Aliyeelimika(civilised) hawez kutupa karatas chin kama uchafu lkn educated anaweza. Hii inamaanisha aliyeelimika na aliyesoma wote wameenda shule ila anayeamua kutupa taka bila utaratibu ndo hajaelimika na anayetupa tupa taka kwenye jaa kaelimika na aliosoma.
 
kuna tofauti gani kati ya mtu aliyesoma na mtu aliyeelimika? hili jambo huwa linanitatiza mno haswa nikiwaangalia wasomi wetu wa sasa

Wataalamu wa saikolojia na philosophy watatujuza, subiri waje...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…