Tofauti kati ya oman baisa na oman rial

kelvnjohn

Member
Joined
Dec 12, 2018
Posts
34
Reaction score
17
Naomba kuuliza hivi ela za Oman aina ya baisa INA maana hazitumiki huko omani na kwanini Tanzania wanakataa kubadili Baisa, Ila wanakubali Riyal INA maana baisa hazitumiki tena au hazitumiki tz pekee maan Nina baisa naitaji kubadili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baisa thamani yake ndogo, 1 OMAN rial ni sawa na baisa 1000. Ni sawa na mtu uwe na yale ma coins ya USD utegemee ukija bongo utabadilisha kwenda Tzs, hawakubali. Hivyo hii system ni kwa pesa zote, USD, Oman Rial, UAE Dirham au Kuwait Dinar wanaruhusu bongo kubadilisha kuanzia moja ( 1USD, 1 Dirham, 1 OMAN Rial) na sio denominations zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…