Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
πππ
ππππ πππππ πππ πππππππππππ.
[emoji2389]@yangasc ya NABI ilikuwa inachanganya zaidi kipindi cha Pili lakini Yanga ya GAMONDI ni Mwanzo mwisho.
[emoji2390]Yanga ya NABI ilikuwa inawategemea sana baadhi ya wachezaji wakikosekana Ushindi unakuwa wa Shida,Yanga Ya Gamondi unapigwa na yeyote.Ndo timu niloyokuwa naitaka siyo kutegemea mchezaji mmoja tu mpaka wanajiona ni wakubwa kuliko timu.
NB: Ingezea Yako .......hata Makolo mnakaribishwa!!!!!
[emoji2389]@yangasc ya NABI ilikuwa inachanganya zaidi kipindi cha Pili lakini Yanga ya GAMONDI ni Mwanzo mwisho.
[emoji2390]Yanga ya NABI ilikuwa inawategemea sana baadhi ya wachezaji wakikosekana Ushindi unakuwa wa Shida,Yanga Ya Gamondi unapigwa na yeyote.Ndo timu niloyokuwa naitaka siyo kutegemea mchezaji mmoja tu mpaka wanajiona ni wakubwa kuliko timu.
NB: Ingezea Yako .......hata Makolo mnakaribishwa!!!!!