Umeandika vizuri, lakini kusema Nabi alikuwa anategemea wachezaji Fulani ni sahihi lakini waliokuwa na namba ya kudumu ni wawili Mayele na Diarra Hasa Diarra, huyu Mayele kuna mechi kadhaa alikuwa anapumzishwa.πππ ππππ πππππ πππ πππππππππππ.
[emoji2389]@yangasc ya NABI ilikuwa inachanganya zaidi kipindi cha Pili lakini Yanga ya GAMONDI ni Mwanzo mwisho.
[emoji2390]Yanga ya NABI ilikuwa inawategemea sana baadhi ya wachezaji wakikosekana Ushindi unakuwa wa Shida,Yanga Ya Gamondi unapigwa na yeyote.Ndo timu niloyokuwa naitaka siyo kutegemea mchezaji mmoja tu mpaka wanajiona ni wakubwa kuliko timu.
NB: Ingezea Yako .......hata Makolo mnakaribishwa!!!!!
View attachment 2730174
Hebu angalia na wapinzani waliocheza nao utapata majibu! Ndugu zangu tusubili, Tuvute muda.tutakuja kuifukua tena hii, muda ninmwalimu mzuri tu
Sahihi kabisaUmeandika vizuri, lakini kusema Nabi alikuwa anategemea wachezaji Fulani ni sahihi lakini waliokuwa na namba ya kudumu ni wawili Mayele na Diarra Hasa Diarra, huyu Mayele kuna mechi kadhaa alikuwa anapumzishwa. Wachezaji wote waliobaki walikuwa wanaingia na kutoka. Mimi ninachoona alichoongeza Gamond kwa Yanga ni timu kushambulia kwa namba kubwa tofauti na Nabi. Na kwa wachezaji wa Yanga walivyo naona timu itafunga magoli mengi tu.
Simba walibebwa wala hawana ugumu wowoteUsitukane mamba kabla hujavuka mto bado sana huyo gamond kumfikia nabi hizo mechi za awali zisikudanganye mechi ngumu aliyokutana nayo ni ya simba tu na akapotea.
Azam ni wabovu, Makolo nao ni wabovu maana mpira waliutafuta kwa tochiHebu angalia na wapinzani waliocheza nao utapata majibu! Ndugu zangu tusubili, Tuvute muda.
Sawa tufanye walibebwa ila kumlinganisha nabi na gamond bado sana labda mpaka amalize msimuSimba walibebwa wala hawana ugumu wowote
Mkuu mechi ya Simba GAMONDI hakupotea nadhani hukuangalia boli, Simba walitafutana na waliomba mpira uishe! We Bado huijui Yanga GAMONDIUsitukane mamba kabla hujavuka mto bado sana huyo gamond kumfikia nabi hizo mechi za awali zisikudanganye mechi ngumu aliyokutana nayo ni ya simba tu na akapotea.