Peleka hii topiki kwenye habari na matangazo madogomadogo kwenye,hapa ni penye siasa ,tunahitaji kampeni ya kuing,oa CCM Tanganyika na Zanzibar ,hata kama athari zake ni kufa kwa Muungano ,CCM lazima ing'olewe kwani akioza samaki mmoja wote wameoza ,kila anaebadilishwa anamshinda mwenziwe ,kwa sababu Watanzania tulioungana tumedharau msemo huo wa kuoza samaki au si kweli ,msemo ni mzito na unawahusu CCM ,kuanzia balozi wa nyumba kumi kumi mpaka rais wao wote hawafai,sasa kuelekea 2010 ni debe mtindo mmoja waondoke hakuna kubadilisha mawaziri wala kujiuzulu wote wakwapuke na kutafuta sehemu ya kujitajirisha lakini si serikalini.Serikali imewashinda . hawa CCM wanajaribu kuwapindisha watu kwa habari hizi na zile kwa ufupi wanawaweka wapinzani bize ili wao wajipange,kuna mambo haya yanayotokea tokea ,haya kama sikosei yanapangwa na CCM ili kuwashughulisha wabunge na vyama vya upinzani. Hivyo hapa ni debe tu mtindo mmoja. Fahamuni tu ukifa muungano na CCM ndio mwisho hivyo ,kwa utawala utakaokuja wote watanyea debeni ila kwa kusuguana nao kila siku na wao kubadilishana zamu tufika kiama hawang'oki.Na kama hamuamini jaribuni kupigia debe Serikali ya Tanganyika muone watakavyobabaika na wengine kuanza kukimbia nchi.
Hivi hamuweki akilini ni kwa sababu zipi za msingi ikawa kukizuka tafrani za muungano wanakuwa mstari wa mbele ,si lolote isipokuwa kulinda maslahi yao na Chama chao,hakuna asikwambie mtu kuwa sijui Muungano umeanza hivi ,watu hivi..hakuna ni wizi tu wanajua njia za wizi zitakuwa finyu na wao hawatarejea tena katika wakati kama huu walio nao wa kufanya lolote lile na hakuna wa kuwaingili...hivi fikiria ikiwa moto wa kuidai Tanganyika utaibuka na Zanzibar nao watakuwa wanawaripuka kwa upande wao ,hamuoni picha watakayokuwa nayo mafisadi hawa..pakushika watakuwa hakuna ,watababaika kabisa kabisa ,lakini sasa wanafika kuweka vinasa sauti wanafika kumwaga unga wanafika kuamua matokeo ya uchaguzi wanavyotaka wao ,hivi hamuyaoni haya kuwa ni mambo ya kulinda maslahi yao ,mwananchi hana anacchokipata zaidi ya kudanganywa kwa kujengewa barabara na zahanati zisizokuwa na madawa ,mashule yasiokuwa na walimu ,mabilioni kwa mabilioni wanakwiba halafu hawahawa CCM wanarudi na kuwambia wananchi wajichangie kama si wizi ni kitu gani ? hIZI FEDHA ZINAZOIBIWA WANATWAMBIA ZINARUDISHWA ,zinarudishwa wapi kwa taratibu gani ?nani kati ya hao waliorudisha fedha wamefungwa ,wanaonekana mitaani kwa misingi gani mtu analiibia TAIFA halafu anaachwa apete mijini,mmeona nchi gani mambo haya kama sio hapa kwenye shimo la wezi,wizi mtupu walionao hakuna wanachokifanya ni kutudhalilisha tu kwa kuwa ni wao kwa wao ,kama wangekuwa na imani za kweli na TAIFA hili kusingekuwa na dhamana hata moja ,kesi za watu hawa si kesi sawa na kesi za kuiba kuku kwamba mtu awekewe dhamana hawa ni wahujumu wa Uchumi ,mambo wanayoyafanya ya kutafuta ushahidi ni kulindana tu hakuna jingine,hawa ni watu ambao serikali iliyopo madarakani inakula nao sahani moja hakuna jingine ni wamoja interest zao ni moja ,kuliibia Taifa na ndivyo wanavyofanya ,ni miaka mingapi tokea wizi ufanyike ni miaka mingapi kero za Muungano ni miaka mingapi wameweka mikataba isiyofahamika ,leo bado wanatuburuza na kutufanya mapunguani ,wanatuchezesha kwata au gwaride ,mheshimiwa umeshindwa Kuongoza na kila siku zikizidi ndivyo mnavyozidi kuboronga ,hatuendi mbele makesi ya wizi yote mnayazungulusha tu na kubabaisha watu ,yote washikaji wenzenu wamebakwa kwa wizi hivyo mnatumia kila mbinu kuwaokoa ili muendelee nao japo uraiani ,halafu mnatufanya wajinga kwa kutuambia ahusishwe mtu tu na sio serikali au Chama ,tukiwauliza Chama cheni kimewafanya nini watu hawa,serikali yenu imewafanya nini watu hawa ,haya mambo sio siri ,mnawatafutia mawakili ,hapa wakili hana mshiko katika kuliibia Taifa ,mtu anawekewa dhama ya Bilioni kibao asubuhi yake anaileta unafikiri atashindwa kuvuka wizi huo ? Wakitoka na kushinda kesi hizo mtawambia nini WANANCHI ?