Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
- #141
Kiba mwenyewe wala hana habari, ni muelewa na alielewa Diamond kamaanisha nini na amekubaliana nalo, sasa ninyi mnaokuja na bifu wala haiwahusu!
Mh! Ndo alivyokwambia huyo Davido kwamba haamini macho yake?yaani jf wamejaa majaji na maconcluders kila mtu anajifanya anajua kuconclude eti maeisha kwa lipi kuzomewa au?mimi sidhani kama kuzomewa kunamaanisha kaisha wapo wanaomchukia na kumzomea but kwa upande mwingine kuna wanaompenda tena sana sidhani kama mashabiki wa kiba ndio wana mamlaka ya kumshusha na kumpandisha mtu so msiwe mnaconclude watanzania hatumpendi koz sio wote hamjaenda mikoani huko ambako diamond ndo kila kitu hiyo ni dar pekee.So msijifariji kaisha landa kaisha kwa dar ila pande nyingine za Tz Diamond forever
Buuuuuuuuuuh! Buuuuuuuuuuu Buuuuuuuuuuuh! Buuuuuuuuuu
😱:what:🙁:thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::banghead: