Tofauti kubwa ya Ally Kiba na Diamond hii hapa

Tofauti kubwa ya Ally Kiba na Diamond hii hapa

Kiba mwenyewe wala hana habari, ni muelewa na alielewa Diamond kamaanisha nini na amekubaliana nalo, sasa ninyi mnaokuja na bifu wala haiwahusu!

Mh! Ndo alivyokwambia huyo Davido kwamba haamini macho yake?yaani jf wamejaa majaji na maconcluders kila mtu anajifanya anajua kuconclude eti maeisha kwa lipi kuzomewa au?mimi sidhani kama kuzomewa kunamaanisha kaisha wapo wanaomchukia na kumzomea but kwa upande mwingine kuna wanaompenda tena sana sidhani kama mashabiki wa kiba ndio wana mamlaka ya kumshusha na kumpandisha mtu so msiwe mnaconclude watanzania hatumpendi koz sio wote hamjaenda mikoani huko ambako diamond ndo kila kitu hiyo ni dar pekee.So msijifariji kaisha landa kaisha kwa dar ila pande nyingine za Tz Diamond forever

Buuuuuuuuuuh! Buuuuuuuuuuu Buuuuuuuuuuuh! Buuuuuuuuuu

😱:what:🙁:thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::banghead:
 
Upande mmoja kumsifia Ali Kiba na upande mwingine ni kumponda Diamond... nayo inatoka kwa mpendwa wa Ali Kiba! Kama nilivyosema awali... kwenu nyinyi Ali Kiba akisema yeye ndie kam-release Diamond ni sawa lakini Diamond akisema yupo tayari kumsadiai Ali Kiba, inageuka nongwa... aaaaaaaargh! Kiba wakati akihojiwa na Sporah alisema "mimi nipo tayari kum-support mwanamuziki yeyote yule...!" Hebu ondoa hiyo kum-support kisha weka neno la kiswahili!

Sijui hata unachoongea ni kipi.
Naona kila ninapokuuliza swali unajitahidi sana kubadili mantiki!
 
Buuuuuuuuuuh! Buuuuuuuuuuu Buuuuuuuuuuuh! Buuuuuuuuuu

😱:what:🙁:thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::banghead:
Hee makubwa!!!
 
Loh,acha umbea wewe....kakubaliana nalo alikuambia???uliona ile clip aliyoweka kabla ya show yake kuanza pale leaders???alisema hataki kushindana na watoto...sasa hilo la kusaidiwa atakubaliana nalo???

Yaani wewe mpaka akwambie ndio unaelewa pole, hata action zinaongea. Kun mahali amekueleza amechukizwa na kuambiwa Diamond atamsaidia. Shame on you!
 
Yaani wewe mpaka akwambie ndio unaelewa pole, hata action zinaongea. Kun mahali amekueleza amechukizwa na kuambiwa Diamond atamsaidia. Shame on you!

Shame on you wewe unayeusemea moyo wa mwenzio,tena leave me alone bibi wewe...ukome kabisa ukiniona nasherehekea mafanikio ya kiba kaa mbali na ndomo wako
 
Shame on you wewe unayeusemea moyo wa mwenzio,tena leave me alone bibi wewe...ukome kabisa ukiniona nasherehekea mafanikio ya kiba kaa mbali na ndomo wako

Mpe vidonge vyake wala usimbakishe, kaka yako nipo hapa hakutishi mtu.

Au unahitaji na matarumbeta kabisa ya kumchambia?
 
Mpe vidonge vyake wala usimbakishe, kaka yako nipo hapa hakutishi mtu.

Au unahitaji na matarumbeta kabisa ya kumchambia?

Hahahaaaaa umenichekesha sana,usijali ninae huyu mjinga mjinga tu
 
Shame on you wewe unayeusemea moyo wa mwenzio,tena leave me alone bibi wewe...ukome kabisa ukiniona nasherehekea mafanikio ya kiba kaa mbali na ndomo wako
Wewe unayesemea moyo wa Ali Kiba hujioni???? mwenyewe yuko kimyaa mnajidai kumsemea!! Sana sana amewashushua na kusema mwanamziki mmojawapo anayemkubali ni Diamond. juhudi za kuwachonganisha zimegonga mwamba!!Pole sana kumuonea wivu kijana mdogo aliyejikwamua kwa juhudi zake. mtazidi umia sana maana anapaa tu hata mseme nini?
 
Madogo yana nafuu na bado.
Bado kitu gani. Ali kiba ameongea kiswahili jamani hamumuelewi?? mnamsemea yeye kishamaliza kijana wa watu anamkubali Diamond au sio wewe ulieyesema. Yaani vidole juu ndio wala sibabaiki wala hjavinitishi. kama makaka ninao kibao ila nashukuru Mungu najisimamia mimi mwenyewe! kinachomatter hapa ni hoja tu!
 
Wewe unayesemea moyo wa Ali Kiba hujioni???? mwenyewe yuko kimyaa mnajidai kumsemea!! Sana sana amewashushua na kusema mwanamziki mmojawapo anayemkubali ni Diamond. juhudi za kuwachonganisha zimegonga mwamba!!Pole sana kumuonea wivu kijana mdogo aliyejikwamua kwa juhudi zake. mtazidi umia sana maana anapaa tu hata mseme nini?

I see!........
 
Sawa kabisa Diamond tena wewe zingatia tu kazi hao na mawivu yao achana nao! Go Diamond Go!!!

Sasa wewe tuache na yetu wewe mchukuwe domo wako mwende kwa Mungu sisi haters tuache hapa tuendelee kushangilia ushindi.

Tena tumeshatumiana pm tunaandaa sherehe kubwa ya kumpongeza Mfalme Kiba.
 
Wewe unayesemea moyo wa Ali Kiba hujioni???? mwenyewe yuko kimyaa mnajidai kumsemea!! Sana sana amewashushua na kusema mwanamziki mmojawapo anayemkubali ni Diamond. juhudi za kuwachonganisha zimegonga mwamba!!Pole sana kumuonea wivu kijana mdogo aliyejikwamua kwa juhudi zake. mtazidi umia sana maana anapaa tu hata mseme nini?

Wewe umevurugwa kweli mama,nimeusemea moyo wa Kiba wapi??alichokisema yeye hukusikia?hivi uliangalia show wewe au unaokoteza maneno???nimuonee wivu diamond kwa lipi?
Ni wapi aliposema anamkubali ndomo?alisema alivutiwa na show yake....tumia akili wewe
 
Sasa wewe tuache na yetu wewe mchukuwe domo wako mwende kwa Mungu sisi haters tuache hapa tuendelee kushangilia ushindi.

Tena tumeshatumiana pm tunaandaa sherehe kubwa ya kumpongeza Mfalme Kiba.

Hapo umeongea la maana!
 
Wewe umevurugwa kweli mama,nimeusemea moyo wa Kiba wapi??alichokisema yeye hukusikia?hivi uliangalia show wewe au unaokoteza maneno???nimuonee wivu diamond kwa lipi?
Ni wapi aliposema anamkubali ndomo?alisema alivutiwa na show yake....tumia akili wewe

Ha Ha Ha! jikumbushe thread ilivyoanza utapata jibu. hata nami ndio nahsangaa kama unavyoshangaa wewe wivu wa nini?
 
Sasa wewe tuache na yetu wewe mchukuwe domo wako mwende kwa Mungu sisi haters tuache hapa tuendelee kushangilia ushindi.

Tena tumeshatumiana pm tunaandaa sherehe kubwa ya kumpongeza Mfalme Kiba.

Na atuwache kabisaaa,akitaka nae akaanzishe thread yake ya kumsifia ndomo wake sio kutuharibia sherehe :beer::beer:
 
Ha Ha Ha! jikumbushe thread ilivyoanza utapata jibu. hata nami ndio nahsangaa kama unavyoshangaa wewe wivu wa nini?

Wewe ndie mwenye wivu kisa ndomo kagaragazwa....Mimi wivu wa nini zaidi ya kusherehekea???tuliza kihoro bibi utakufa siku si zako kwa kutuonea wivu tunavyojimwayamwaya kwa raha zetu...
 
Wewe ndie mwenye wivu kisa ndomo kagaragazwa....Mimi wivu wa nini zaidi ya kusherehekea???tuliza kihoro bibi utakufa siku si zako kwa kutuonea wivu tunavyojimwayamwaya kwa raha zetu...
Tatizo masikini unavyoandika wala sio unavyosjisikia moyone, one can read between the lines. Pole wee!
 
Back
Top Bottom