May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Wasiojulikana walimtaiti akaomba poo........Yule bwana aliyekuwa anaimba "NIMESOMA PCM, SIO PCB" Sahiz anaimba "MWAJUMA KAOLEWA"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiojulikana walimtaiti akaomba poo........Yule bwana aliyekuwa anaimba "NIMESOMA PCM, SIO PCB" Sahiz anaimba "MWAJUMA KAOLEWA"
Ali Kiba mnampa sifa za bure.....ndiyo maana anafeli kabisaMbn huwataji akina King kiba, nandy, wozu, nenga au unataka kutuaminisha show zinapigwa na wasafi tuuu?...kuna watu jeuri hao akina ali kiba hata akifanya show mwez mtukufu anajaza....
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sawa babu tale
Kupata kichekesho kama hiki Tuma neno KING KIBA kwenda 15300 [emoji16]Mbn huwataji akina King kiba, nandy, wozu, nenga au unataka kutuaminisha show zinapigwa na wasafi tuuu?...kuna watu jeuri hao akina ali kiba hata akifanya show mwez mtukufu anajaza....
Kuna siku itafika watashuka tu.. Ni mfumo wa maishaUko sahihi na kwa maana hii wataendelea kuwa juu kileleni
We salim mbona unabishana na babu tale?Sawa babu tale
Anadanganya uma, eti ni wcb ndo wanafanya show peke yao, nachojiuliza inakuaje wanapewa zawadi ya gari badala ya kununua kwa mkwanja wanaopataWe salim mbona unabishana na babu tale?
Anadanganya uma, eti ni wcb ndo wanafanya show peke yao, nachojiuliza inakuaje wanapewa zawadi ya gari badala ya kununua kwa mkwanja wanaopataWe salim mbona unabishana na babu tale?
Inaonekana unajua sana je wewe ni sarah wa harmonize au yule mkenya wa diamond?Hujui kitu
Kumbe huwa wanapewa kama zawadi? Nikajua ni huchotwa sehemu ya kipato chaoAnadanganya uma, eti ni wcb ndo wanafanya show peke yao, nachojiuliza inakuaje wanapewa zawadi ya gari badala ya kununua kwa mkwanja wanaopata
Bila kufanya hivyo italeta aibu msanii anakosa gari so inabidi uongozi ufanye jitihada msanii angalau awe na gari nyumba itasubiri kwanza hadi Said Fella aamueKu
Kumbe huwa wanapewa kama zawadi? Nikajua ni huchotwa sehemu ya kipato chao
Alikiba akiandaa Show sehemu moja na Mboso trust me hawezi kumfikia Mboso kwa idadi ya Nyomi kashazeekaMbn huwataji akina King kiba, nandy, wozu, nenga au unataka kutuaminisha show zinapigwa na wasafi tuuu?...kuna watu jeuri hao akina ali kiba hata akifanya show mwez mtukufu anajaza....
Jamaa umetokea kuwa shabiki wa HarmonizeMkuu apo ulipoanza Na diamond ungeanza ma Harmonize hakuna msani anaye piga show nyingi Na zahela nyingi kama harmonize afu ndo wanafuatia ao wengine