Tofauti ya Akili (Brightness) za jamii za binadamu zimeletwa hasa na utofauti katika mvua na joto.

Tofauti ya Akili (Brightness) za jamii za binadamu zimeletwa hasa na utofauti katika mvua na joto.

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
2,869
Reaction score
3,187
Neno Hali ya Hewa (climate) linamaanisha mkusanyiko wa mada (elements) mbalimbali kuu kama: mvua (precipitation); joto (temperature); unyevunyevu (humidity); mawingu (clouds-cover), upepo (winds); mwanga (solar radiation) na atmospheric pressure. Katika vyote hivyo, kiwango cha mvua na joto vina athari kubwa zaidi katika ukuaji wa akili za jamii za wanadamu popote walipo duniani.

Bara la Afrika ndilo lenye joto kali kuliko mabara yote duniani kutokana na Msitari wa Ikweta kupita katikati wa Afrika. Kutokana na joto kali (>23 degree centigrade), maeneo pekee barani Afrika yaliyokuwa na uhakika wa uzalishaji wa chakula ni yale yanayopata mvua nyingi (heavy rainfall >1200) na angalao miezi 9 ya mvua inayofikia mm 100 @ mwezi.

Hata hivyo, maeneo ya milimani (high altitude) hayana joto kali na yanaweza kuwa na uhakika wa chakula kwa kiwango cha mvua chini ya mm 1200 kwa mwaka. Kadri unavyoenda Kaskazini ama Kusini mwa Ncha za Dunia, jotoridi huwa linapungua, hivyo Mashariki ya Kati licha ya kuwa jangwani, ina joto kidogo (<20C) kuliko Afrika huku Ulaya (<16) ikiwa na baridi kuliko Mashariki ya Kati.

Kadri unavyopanda milima (altitudes) na kadri unavyokwenda mbali ya Ikweta (latitudes), ndivyo joto linavyopungua, hivyo mahitaji ya kiwango cha mvua (precipitation) nayo kupungua. Eneo linalopata mm 700 barani Afrika (e.g. Dodoma) halina uhakika wa kuivisha chakula lakini kiwango hicho kinatosha vizuri barani Ulaya.

Kihistoria, hapo awali binadamu wa kwanza (Homo Sapiens) waliishi barani Afrika pekee na walianza kuhamia Asia kati ya miaka 400,000 BC - 60,000 BC. Wakiwa Afrika, walikabiliana na joto kali tofauti na hali ya ubaridi ulioko Asia na Ulaya.

Hivyo walivyohamia huko walianza kutofautiana na wale wa Afrika kutokana na hali ya hewa pamoja na aina za vyakula, matunda, mboga, ndege na wanyama walivyokuwa wakila kila siku.

Kwa kuwa barani Afrika kuna joto jingi (ukitoa maeneo ya milimani), ilipelekea maeneo yaliyokuwa yakikimbiliwa zaidi kuwa yale yenye mvua nyingi na yanayopata mvua ya kutosha kwa miezi isiyopungua miezi 9.

Ndiyo maana maeneo yote nchini yanayopata mvua nyingi za vuli zinazoanza mwezi Septemba/Oktoba, yana jamii za watu wengi ambao ni bright sana kutokana na umuhimu wa mvua hizo za vuli ambazo ni za kupandia.

Wataalamu wanadai mvua za vuli (sept - dec) ni muhimu zaidi kuliko zile nyingi za masika (machi - mei) kwa kuwa ndizo za kulimia na kupandia mazao.

Kwa Tanzania, Wilaya zifuatazo zinapata mvua nyingi (>1200) pamoja na miezi isiyopungua 9 ya mvua za mm 100 @ mwezi.
  • Bukoba, Muleba na Misenyi.
  • Ukerewe na Ukara.
  • Buhigwe
  • Tarime na Rorya
  • Rombo, Moshi, Vunjo na Hai.
  • Arumeru
  • Muheza, Mkinga, Lushoto na Korogwe.
  • Morogoro.
  • Pemba na Unguja.
  • Mafia.
  • Rungwe, Kyela na Ileje.
Hizo ndizo zimekuwa na hali nzuri za hewa kwa uzalishaji wa mazao ya kila aina. Ziangalie Wilaya hizo na jamii zenye asili ya Wilaya hizo, utapata jibu fulani. Kutokana na kuwa na mvua za kutosha kwa muda mrefu (miezi 9 - 12), imewezesha kilimo cha mazao ya chakula ya kudumu hasa migomba, hali iliyopelekea jamii za maeneo hayo kuwa na vyakula vingi, pamoja na matunda na mbogamboga kwa mwaka mzima.

Sifa nyingine muhimu kwa kusaidia ujenzi wa akili ni:
  • Udongo wenye rutuba.
  • Joto la kadri (<21C) ili mwili kutopoteza nishati nyingi kupitia kuchomwa na miale ya jua.
  • Kutokuwepo kwa Ugonjwa wa Malaria na Homa ya Manjano (Yellow Fever).
  • Kutokuwepo kwa Ugonjwa wa Malale (Sleeping Sickness/Trypanasomiasis/Nagana).
  • Kutokuwepo kwa Ugonjwa wa Kichocho (bilharzia/Schistosomiasis).
  • Kutokuwepo kwa kiwango kikubwa cha Fluoride (<1.5 mg/L) kwenye vyanzo vya maji.
  • Uwepo utajiri wa Samaki hasa wa maji baridi.
  • Uwepo utajiri wa Mifugo hasa ng'ombe wa maziwa kwa ajili ya nyama na maziwa
  • Uwepo wa Madini ya Iodine.
Eneo lenye sifa hizo nyingi ndilo lenye jamii ya watu bright zaidi, hasa linapopata mvua ya kutosha kwa angalao miezi 9 kwa mwaka.
 
Sasa, jamii yoyote vizazi kwa vizazi inapoidhi eneo moja, basi inatengeneza distinctive characteristics zilizo tofauti na jamii nyingine iliyoko kwenye eneo lingine mbali na jamii hiyo. Vizazi na vizazi vinapozaliwa eneo moja vinatengeneza genetics (jeni) za kipekee kutokana na hali ya hewa na vyakula vya eneo hilo kuwa tofauti na kwingine.
Jamii hiyo iliyojitenga inakuwa na:
  • Mwonekano (sura) tofauti na wengine, mfano: weupe, weusi, urefu na unene.
  • Utamaduni tofauti na wengine, mfano: vyakula vya asili,
  • Teknolojia tofauti na wengine, mfano: aina ya ukulima, uvuvi, ufugaji na ufuaji.
Hivyo, tukisema kuwa huyu ni Mnyamwezi, ama Msukuma, Mnyaturu, au Mnyilamba, basi tunaongelea kundi moja la Wabantu (wa Kati) lililoingia nchini kuanzia miaka ya 1000 AD (Karne ya 11) na kuanza kugawanyika kuunga makabila hayo, yakiwemo ya Warangi, Waisanzu, Waiambi, Wakimbu na Wakonongo. Kundi hili lilihamia kwenye maeneo ya Kati ya nchi yetu yanayopata mvua chache (mm 700 - 1,000), ambayo yana mbuga zilizo tajiri kwa majani (nyasi), hivyo ufugaji ulitokea kuwa shughuli muhimu kwenye uchumi wao (ukitoa tu Wakimbu, Wakonongo na Wanyamwezi wa Tabora na Urambo - ambako kuna mbung'o wa Ugonjwa wa malale).
Hata hivyo maeneo hayo hayana uhakika wa chakula kutokana na kutokuwepo uhakika wa mvua (rainfall unreliability), huzalisha mazao yanayostahimili ukame hasa jamii za mtama.
Upande wa Ukanda ya Maziwa Makuu (Interlacustrine Region), katika kipindi hicho hicho cha miaka 1,000 - 1,300 AD, Wahaya, Waangaza, Wazinza, Waha, Wavinza, Wasubi (na Washubi) na Wakerewe, nao walianza kuingia nchini kutokea Kaskazini Magharibi (Bunyoro) na kuweka makazi yao Mikoa ya Kagera na Kigoma, ambako kuna mvua nyingi kwa mwaka inayoanzia wastani wa mm 1,000 Mashariki ya Mkoa wa Kigoma na Kusini ya Kagera hadi mm 1500 Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma na mpaka mm 2000 Wilaya ya Bukoba.
Maeneo hayo yanayopata msimu mrefu wa mvua nyingi (zaidi ya miezi 9 inayopata mm 100 @ mwezi), hali inayowezesha ukulima wa mazao ya kudumu hasa ndizi.
Maeneo haya pia kutokana na hali nzuri ya hewa, yamekuwa yakifuga ng'ombe bora aina ya Ankole.

Hali ya hewa ya Kaskazini pia inashabihiana na ya Maziwa Makuu yaani kupata mvua nyingi kwa angalao miezi tisa, hivyo kuweza kusitawisha mazao mengi hasa ndizi.
Hata hivyo Nyanja za Juu Kusini, ukitoa Unyakyusani na Undali, zao la ndizi limekuwa halistawi vyema kutokana na miezi ya mvua nyingi kuwa pungufu ya miezi 8, huku maeneo mengine yenye mvua ngingi Yakima na baridi inayofikia chini ya 17 degree centigrade.
Eneo la Kusini hasa Mikoa ya Linda na Mtwara lina wastani mzuri wa mvua (mm 900 - 1300) kuliko Ukanda wa Kati lakini mvua hiyo hunyesha ya kutosha kwa wastani wa miezi Sita pekee. Aidha, uwepo wa mbung'o umezuia ufugaji, huku Malaria ikiwa juu.

Sasa, pigia mahesabu, Mhaya wa leo mababu zake wameishi Bukoba, Kanazi, Kamachumu, Muleba, Muhutwe, Katoma, Nshambya, Kayanga na Kaisho tangu miaka ya 1000 (wastani wa Vizazi "generations" 33 hadi sasa) wakiwa wanakula chakula cha kutosha (matoke), nyama ya ng'ombe aina ya Nyankole, samaki wa asili wa Ziwa Victoria. Na pia mababu wa Wahaya, Wana, Waangaza, Wasubi, na Wakerewe walitokea Bunyoro ambako huko ndilo hasa kuna definition ya kweli ya wakazi wanaotegemea ndizi.
 
Neno Hali ya Hewa (climate) linamaanisha mkusanyiko wa mada (elements) mbalimbali kuu kama: mvua (precipitation); joto (temperature); unyevunyevu (humidity); mawingu (clouds-cover), upepo (winds); mwanga (solar radiation) na atmospheric pressure. Katika vyote hivyo, kiwango cha mvua na joto vina athari kubwa zaidi katika ukuaji wa akili za jamii za wanadamu popote walipo duniani.

Bara la Afrika ndilo lenye joto kali kuliko mabara yote duniani kutokana na Msitari wa Ikweta kupita katikati wa Afrika. Kutokana na joto kali (>23 degree centigrade), maeneo pekee barani Afrika yaliyokuwa na uhakika wa uzalishaji wa chakula ni yale yanayopata mvua nyingi (heavy rainfall >1200) na angalao miezi 9 ya mvua inayofikia mm 100 @ mwezi.

Hata hivyo, maeneo ya milimani (high altitude) hayana joto kali na yanaweza kuwa na uhakika wa chakula kwa kiwango cha mvua chini ya mm 1200 kwa mwaka. Kadri unavyoenda Kaskazini ama Kusini mwa Ncha za Dunia, jotoridi huwa linapungua, hivyo Mashariki ya Kati licha ya kuwa jangwani, ina joto kidogo (<20C) kuliko Afrika huku Ulaya (<16) ikiwa na baridi kuliko Mashariki ya Kati.

Kadri unavyopanda milima (altitudes) na kadri unavyokwenda mbali ya Ikweta (latitudes), ndivyo joto linavyopungua, hivyo mahitaji ya kiwango cha mvua (precipitation) nayo kupungua. Eneo linalopata mm 700 barani Afrika (e.g. Dodoma) halina uhakika wa kuivisha chakula lakini kiwango hicho kinatosha vizuri barani Ulaya.

Kihistoria, hapo awali binadamu wa kwanza (Homo Sapiens) waliishi barani Afrika pekee na walianza kuhamia Asia kati ya miaka 400,000 BC - 60,000 BC. Wakiwa Afrika, walikabiliana na joto kali tofauti na hali ya ubaridi ulioko Asia na Ulaya.

Hivyo walivyohamia huko walianza kutofautiana na wale wa Afrika kutokana na hali ya hewa pamoja na aina za vyakula, matunda, mboga, ndege na wanyama walivyokuwa wakila kila siku.

Kwa kuwa barani Afrika kuna joto jingi (ukitoa maeneo ya milimani), ilipelekea maeneo yaliyokuwa yakikimbiliwa zaidi kuwa yale yenye mvua nyingi na yanayopata mvua ya kutosha kwa miezi isiyopungua miezi 9.

Ndiyo maana maeneo yote nchini yanayopata mvua nyingi za vuli zinazoanza mwezi Septemba/Oktoba, yana jamii za watu wengi ambao ni bright sana kutokana na umuhimu wa mvua hizo za vuli ambazo ni kupandia.

Wataalamu wanadai mvua za vuli (sept - dec) ni muhimu zaidi kuliko zile nyingi za masika (machi - mei) kwa kuwa ndizo za kulimia na kupandia mazao.

Kwa Tanzania, Wilaya zifuatazo zinapata mvua nyingi (>1200) pamoja na miezi isiyopungua 9 ya mvua za mm 100 @ mwezi.
  • Bukoba, Muleba na Misenyi.
  • Ukerewe na Ukara.
  • Buhigwe
  • Tarime na Rorya
  • Rombo, Moshi, Vunjo na Hai.
  • Arumeru na Arusha.
  • Muheza, Mkinga, Lushoto na Korogwe.
  • Morogoro.
  • Pemba na Unguja.
  • Mafia.
  • Rungwe, Kyela na Ileje.
Hizo ndizo zimekuwa na hali nzuri za hewa kwa uzalishaji wa mazao ya kila aina. Ziangalie Wilaya hizo na jamii zenye asili ya Wilaya hizo, utapata jibu fulani. Kutokana na kuwa na mvua za kutosha kwa muda mrefu (miezi 9 - 12), imewezesha kilimo cha mazao ya chakula ya kudumu hasa migomba, hali iliyopelekea jamii za maeneo hayo kuwa na vyakula vingi, pamoja na matunda na mbogamboga kwa mwaka mzima.

Sifa nyingine muhimu kwa kusaidia ujenzi wa akili ni:
  • Udongo wenye rutuba.
  • Joto la kadri (<21C) ili mwili kutopoteza nishati nyingi kupitia kuchomwa na misled ya jua.
  • Kutokuwepo kwa Ugonjwa wa Malaria na Homa ya Manjano (Yellow Fever).
  • Kutokuwepo kwa Ugonjwa wa Malale (Sleeping Sickness/Trypanasomiasis/Nagana).
  • Kutokuwepo kwa Ugonjwa wa Kichocho (bilharzia/Schistosomiasis).
  • Kutokuwepo kwa kiwango kikubwa cha Fluoride (<1.5 mg/L) kwenye vyanzo vya maji.
  • Uwepo utajiri wa Samaki hasa wa maji baridi.
  • Uwepo utajiri wa Mifugo hasa ng'ombe wa maziwa kwa ajili ya nyama na maziwa
  • Uwepo wa Madini ya Iodine.
Eneo lenye sifa hizo nyingi ndilo lenye jamii ya watu bright zaidi, hasa linapopata mvua ya kutosha kwa angalao miezi 9 kwa mwaka.
I dont think I agree with you, the fact is Kadiri mazingira yanapokuwa magumu zaidi ndio watu hujiongeza zaidi Kufikiria, brain anatomy is the same to all, tofauti huja tu kwenye namna ya tunavyotumia brains, nothing else, The harder the challenge you overcome, the more brighter you become, (simple)
Trust me, God distributed resources to all , huwezi kukosa resources kwenye mazingira yanayokuzunguka, what you need to do is to think hard how to maximize the use of resources resources around you, kuna wengine wamebahatika kuwa na resources nyingi zaidi ya wengine na hii ni advantage that you don't have to think hard ingawa inaweza kulemaza akili pia,
Angalia nchi kama Egypt au Israel.
 
I dont think I agree with you, the fact is Kadiri mazingira yanapokuwa magumu zaidi ndio watu hujiongeza zaidi Kufikiria, brain anatomy is the same to all, tofauti huja tu kwenye namna ya tunavyotumia brains, nothing else, The harder the challenge you overcome, the more brighter you become, (simple)
Trust me, God distributed resources to all , huwezi kukosa resources kwenye mazingira yanayokuzunguka, what you need to do is to think hard how to maximize the use of resources resources around you, kuna wengine wamebahatika kuwa na resources nyingi zaidi ya wengine na hii ni advantage that you don't have to think hard ingawa inaweza kulemaza akili pia,
Angalia nchi kama Egypt au Israel.

Absolutely true. hizo factor za mleta mada zingekuwa za kweli leo jamii zote za ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi wangekuwa na maendeleo makubwa na wasomi wa kutosha maana wanapata mvua za kutosha na samaki kwa wingi. lakini hali ni tofauti. they are the waste in all dimensions.
 
I dont think I agree with you, the fact is Kadiri mazingira yanapokuwa magumu zaidi ndio watu hujiongeza zaidi Kufikiria, brain anatomy is the same to all, tofauti huja tu kwenye namna ya tunavyotumia brains, nothing else, The harder the challenge you overcome, the more brighter you become, (simple)
Trust me, God distributed resources to all , huwezi kukosa resources kwenye mazingira yanayokuzunguka, what you need to do is to think hard how to maximize the use of resources resources around you, kuna wengine wamebahatika kuwa na resources nyingi zaidi ya wengine na hii ni advantage that you don't have to think hard ingawa inaweza kulemaza akili pia,
Angalia nchi kama Egypt au Israel.
Nani amekwambia kuwa Egypt ama Israel wana mazingira magumu? Unazifananisha na nani katika kuwa na mazingira magumu?
Kwa taarifa yako, Misri alongside Mesopotamia, ndiyo maeneo bora zaidi kiuzalishaji duniani toka ustaarabu wa mwanadamu kuanza. Hiyo ni kwa sababu, maeneo hayo ni makame but yamekuwa yakipata maji kupitia mafuriko ya Mito Nile na Tigris-Euphrates. Mafuriko kwenye mito hiyo yalirahisisha kilimo cha mwanzoni cha kutifua ardhi kwa kutumia miti kutokana na maeneo hayo kuwa na ardhi yenye rutuba. Ndiyo maana, The Nile Delta is by far the most densely populated basin (region) in Afrika and only behind Ganges Basin (India & Bangladesh) and Chang Jiang Basin (China) and Java Island (Indonesia) on population density.
Sasa kama, Misri wana hali ngumu, wangekuwaje wengi kuliko maeneo yote barani Afrika?
Hata Israel, licha ya eneo lake kubwa Kusini kuwa jangwa, bado ilikuwa na ardhi nzuri yenye rutuba na hali ya hewa nzuri hasa katika Mikoa ya Galilaya, Samaliya na Yudea, iliyostawisha matunda na kilimo cha ngano. Kwa lugha nyingine, ukiacha Uturuki, Iran, Lebanon na Syria, na ukitoa Misri na Iraq (Mesopotamia) zinazotegemea kilimo cha umwagiliaji, hakuna nchi nyingine ya Mashariki ya Kati (Asia Minor) yenye hali nzuri ya hewa kama Israel. Israel ni bora kuliko Saudia, Yemen, Oman, Emirates, Qatar, Kuwait, Palestine.
 
Niliwahi kutoa bandiko humu la "Asili ya Kudumaa kwa Akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine" niligusia pia jinsi mazingira magumu ya baridi barani Ulaya, yalivyochangia ukuaji mkubwa wa akili zao.
Hata hivyo, tofautisha kati ya "Mazingira magumu ya Kiafrika dhidi ya yale ya Kizungu"
Ndiyo maana nilitaja hapo mwanzoni kuwa utofauti wa hali ya hewa umekuwa na implications kati ya Nchi za baridi na zile za joto. Lakini ukiangalia kwa nchi za baridi, utagundua kuwa sio kwamba wale walioko kwenye baridi kali dunia nzima -Waeskimo - ndio wenye akili nyingi kuliko wote duniani. Hilo haliwezekani kwa kuwa, hakuna mazao ya maana yanayoweza kukua katika Nchi ya Greenland, ama Visiwa vya Baffin nchini Canada kuwafanya Waeskimo kuzalisha chakula badala yake wanaishi kwa kutegemea uvuvi.
Eneo la Mediterranean kutokana na kuwa na joto la kadri na mvua ya kutosha, ndilo linalotajwa kuwa eneo bora kwa makazi na kilimo kwa binadamu kuzidi yote duniani.
Ili uelewe kuwa mazingira magumu siyo necessarily kuwa yatapelekea kuwa na akili, mbona maeneo yote yaliyoko mikoa ya katikati mwa Nchi yenye ukame na njaa za kila wakati, hayafanyi vyema kwenye elimu ya juu?
 
Absolutely true. hizo factor za mleta mada zingekuwa za kweli leo jamii zote za ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi wangekuwa na maendeleo makubwa na wasomi wa kutosha maana wanapata mvua za kutosha na samaki kwa wingi. lakini hali ni tofauti. they are the waste in all dimensions.
Hujanielewa ndugu. Nimetaja sababu nyingine zinazochangia kuathiri akili ya jamii fulani.
Kwa Ukanda wa Pwani, kilichoziathiri ni uwepo mkubwa wa Ugonjwa wa Malaria, pamoja na Malale. Vilevile, uwepo wa joto kali, umekuwa ukichangia sana kupunguza nishati mwilini ambayo ingetumika kujenga mwili. Fikiria maisha ya mababu zetu wa zamani ya kulima kuanzia asubuhi hadi wakati mwingine jioni. Joto lote la saa 4 - 10 linamuishia mwilini kila siku. Vizazi na vizazi vinapokutana na hali hali hiyo inaathiri pia akili.
Jiulizeni tu nyie angalieni joto la Dar lilivyo. Kwa wenzangu na mie tuishio madongo poromoka, utadhani tunachemshwa ndani ya maji.
 
Absolutely true. hizo factor za mleta mada zingekuwa za kweli leo jamii zote za ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi wangekuwa na maendeleo makubwa na wasomi wa kutosha maana wanapata mvua za kutosha na samaki kwa wingi. lakini hali ni tofauti. they are the waste in all dimensions.
Nimetaja maeneo ya Ukanda wa Pwani yenye hali nzuri ya hewa, yaani mvua zaidi ya mm 1200 na miezi isiyopungua Tisa inayopata mm 100 @ mwezi. Maeneo hayo ni Mkoa wa Tanga (Lushoto, Muheza na Mkinga) na Visiwa vya Bahari ya Hindi (Pemba, Unguja na Mafia).
Hata hivyo, licha ya hali nzuri ya hewa, kuna Wazanzibar wengi Unguja ambao hawana asili ya huko, hivyo hawawezi kudisplay akili za wenyeji asilia wa Zanzibar kama Watumbatu na Wahadimu. Hiyo itategemeana na Wazanzibar hao waliopelekwa utumwani walichukuliwa hasa kutokea wapi? Mfano kuna Wamakonde, Wandengereko, Wazaramo na Wakwere, hivyo watakuwa hasa na sifa za watu walioko huko kwenye makabila yao ya asili kwa kuwa hapo Zanzibar vizazi vyao (vipatavyo 6) vimekaa kwa kipindi kifupi tu cha wastani wa miaka 180 (1840 - sasa). Wazanzibar hao wa utumwani hawawezi kulinganishwa na walioingia visiwani humo kabla ya hata Karne ya 11 (1000 AD).
Maeneo mengine ya yaliyobakia ya Ukanda wa Pwani yanapata mvua za vuli pia lakini kutokana na uchache wake, haisaidii sana kama yale ya juu.
 
Hujanielewa ndugu. Nimetaja sababu nyingine zinazochangia kuathiri akili ya jamii fulani.
Kwa Ukanda wa Pwani, kilichoziathiri ni uwepo mkubwa wa Ugonjwa wa Malaria, pamoja na Malale. Vilevile, uwepo wa joto kali, umekuwa ukichangia sana kupunguza nishati mwilini ambayo ingetumika kujenga mwili. Fikiria maisha ya mababu zetu wa zamani ya kulima kuanzia asubuhi hadi wakati mwingine jioni. Joto lote la saa 4 - 10 linamuishia mwilini kila siku. Vizazi na vizazi vinapokutana na hali hali hiyo inaathiri pia akili.
Jiulizeni tu nyie angalieni joto la Dar lilivyo. Kwa wenzangu na mie tuishio madongo poromoka, utadhani tunachemshwa ndani ya maji.

India kuna joto kuliko huku kwetu lakini Wahindi ndo wanaosifika kwa klujua Mathematics kuliko jamii nyingine yoyote duniani. Pia katika Science ya Afya na Computer wapo juu sana. Nenda pia ukanda wa kusini mwa Tanzania hasa Iringa na Njombe, kuna baridi sana kule lakini waangalie kama kama wana wasomi wengi zaidi kuliko maeneo mengine ya Tanzania. Suala la Chakula ni sawa lakini habari ya joto haina mashiko.
 
India kuna joto kuliko huku kwetu lakini Wahindi ndo wanaosifika kwa klujua Mathematics kuliko jamii nyingine yoyote duniani. Pia katika Science ya Afya na Computer wapo juu sana. Nenda pia ukanda wa kusini mwa Tanzania hasa Iringa na Njombe, kuna baridi sana kule lakini waangalie kama kama wana wasomi wengi zaidi kuliko maeneo mengine ya Tanzania. Suala la Chakula ni sawa lakini habari ya joto haina mashiko.
Nianze na mfano wa Iringa na Mikoa ya Kusini. Nadhani hukufuatilia vyema bandiko langu. Nilipoongelea sifa ya mvua, nilisema angalao eneo lipate mvua nyingi ya wastani wa mm 100 mwezi kwa jumla ya miezi isiyopungua 9. Sasa, ukiacha Tarafa ya Undali wilayani Ileje, pamoja na Wilaya za Rungwe, Busokelo na Kyela, hakuna Wilaya nyingine katika Nyanja za Juu Kusini, inayopata mvua nyingi kwa miezi angalao 9. Mikoa ya Njombe na Iringa, pamoja na Wilaya ya Mbeya (kwa Wamalila) inapata mvua nyingi ya hadi mm 1800 lakini mvua hiyo inanyesha kwa miezi saba ama nane pekee, huku kukiwepo baridi kali ya chini ya 16 degree centigrade.
Kwa kawaida mazao mengi hayawezi kuhimili joto la chini ya 17 degree centigrade.
But still, Mikoa hiyo ina watu bright kulinganisha na maeneo yote yanayopata mvua nyingi chini ya miezi Tisa (9).
 
India kuna joto kuliko huku kwetu lakini Wahindi ndo wanaosifika kwa klujua Mathematics kuliko jamii nyingine yoyote duniani. Pia katika Science ya Afya na Computer wapo juu sana. Nenda pia ukanda wa kusini mwa Tanzania hasa Iringa na Njombe, kuna baridi sana kule lakini waangalie kama kama wana wasomi wengi zaidi kuliko maeneo mengine ya Tanzania. Suala la Chakula ni sawa lakini habari ya joto haina mashiko.
Habari ya joto bado ina mashiko ila ni kama nilivyoeleza kuwa, unaweza kuwa kwenye joto jingi lakini ukawa na mvua nyingi halafu na sifa nyingine zote muhimu kama udongo wenye rutuba na kutokuwepo kwa magonjwa (endemic diseases) kama malaria, homa ya manjano, malale, kichocho na mengine mengi ya kitropiki.
Hicho ndicho kilichoko Kusini mwa India.
Eneo hilo linakaliwa na Wahindi weusi (Dravidians na Pre Dravidians) lakini wana akili sana kutokana na ubora wa mvua ya huko inayonyesha katika maeneo mengi karibia kwa mwaka mzima.
Halafu, tambua kuwa, licha ya joto kali kuua watu mara kwa mara India na Pakistani, tatizo hilo huwa la miezi kama mitatu tu ya Julai, Agosti na Septemba kukiwepo hali ya ubaridi kwa miezi mingine.
 
Nani amekwambia kuwa Egypt ama Israel wana mazingira magumu? Unazifananisha na nani katika kuwa na mazingira magumu?
Kwa taarifa yako, Misri alongside Mesopotamia, ndiyo maeneo bora zaidi kiuzalishaji duniani toka ustaarabu wa mwanadamu kuanza. Hiyo ni kwa sababu, maeneo hayo ni makame but yamekuwa yakipata maji kupitia mafuriko ya Mito Nile na Tigris-Euphrates. Mafuriko kwenye mito hiyo yalirahisisha kilimo cha mwanzoni cha kutifua ardhi kwa kutumia miti kutokana na maeneo hayo kuwa na ardhi yenye rutuba. Ndiyo maana, The Nile Delta is by far the most densely populated basin (region) in Afrika and only behind Ganges Basin (India & Bangladesh) and Chang Jiang Basin (China) and Java Island (Indonesia) on population density.
Sasa kama, Misri wana hali ngumu, wangekuwaje wengi kuliko maeneo yote barani Afrika?
Hata Israel, licha ya eneo lake kubwa Kusini kuwa jangwa, bado ilikuwa na ardhi nzuri yenye rutuba na hali ya hewa nzuri hasa katika Mikoa ya Galilaya, Samaliya na Yudea, iliyostawisha matunda na kilimo cha ngano. Kwa lugha nyingine, ukiacha Uturuki, Iran, Lebanon na Syria, na ukitoa Misri na Iraq (Mesopotamia) zinazotegemea kilimo cha umwagiliaji, hakuna nchi nyingine ya Mashariki ya Kati (Asia Minor) yenye hali nzuri ya hewa kama Israel. Israel ni bora kuliko Saudia, Yemen, Oman, Emirates, Qatar, Kuwait, Palestine.
Mkuu, this is pure science, usitumie hisia zako kujaribu kuchepusha facts, facts are to be accepted, nasema hivi, Evolution is the answer to your all arguments,
Hebu Tamka hili neno : 'E V O L U T I O N'
Jinsi kiumbe anavyokutana na ugumu au Changamoto kwenye mazingira anayoishi , vivyo hivyo hujiboresha zaidi kuyakabili na kuendana na mabadiliko hayo na ndivyo ilivyo kwa binadamu pia, (mbona hili liko wazi kabisa?)
Kwa mfano, kama kusingekuwa na maambukizi ya VVU watu wasingeingia maabara kutumia akili mobu na kutengeneza ARV's mnazopata kwenye clinics za ctc,
Au mfano mwingine ni huu, Baada miongoni mingi Malaria kuwa Top kila kwenye tropical countries, imelazimu wanasayansi kutafiti vaccine ya Malaria, hivi ndivyo akili hukua.
This is what happens,
Hata ingetokea Dodoma iwe Isolated country, there is no survival, hakuna kwa kuombaomba wala serikali ya kupeleka vyakula wale watu wasingekubali kufa, wangeshachimba maji toka ardhini na kumwagilia mashamba na kukuza mazao,
I repeat, unachoongelea ni science, and I am a scientist, jaribu kuweka facts zako vizuri sababu science is all about facts,
I have explained very clear to you than Human brain have four Lobes, (a healthy one), kitakachokufanya uwe na akili kuliko wengine ni namna unavyotumia hizo akili zako tu (hii ni kwa mujibu wa Tafiti, na hata ukitaka kuhakikisha hili angalia tofauti kati ya mtu anarkutana na Changamoto kwenye maisha na kuzikabili na kujifunza kwa kila changamoto na yule anaetumia muda wake wote hadi uzeeni kutazama TV), one will accumulate wisdom and the other will accumulate AGE,
Please use facts than your own feelings.
 
Niliwahi kutoa bandiko humu la "Asili ya Kudumaa kwa Akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine" niligusia pia jinsi mazingira magumu ya baridi barani Ulaya, yalivyochangia ukuaji mkubwa wa akili zao.
Hata hivyo, tofautisha kati ya "Mazingira magumu ya Kiafrika dhidi ya yale ya Kizungu"
Ndiyo maana nilitaja hapo mwanzoni kuwa utofauti wa hali ya hewa umekuwa na implications kati ya Nchi za baridi na zile za joto. Lakini ukiangalia kwa nchi za baridi, utagundua kuwa sio kwamba wale walioko kwenye baridi kali dunia nzima -Waeskimo - ndio wenye akili nyingi kuliko wote duniani. Hilo haliwezekani kwa kuwa, hakuna mazao ya maana yanayoweza kukua katika Nchi ya Greenland, ama Visiwa vya Baffin nchini Canada kuwafanya Waeskimo kuzalisha chakula badala yake wanaishi kwa kutegemea uvuvi.
Eneo la Mediterranean kutokana na kuwa na joto la kadri na mvua ya kutosha, ndilo linalotajwa kuwa eneo bora kwa makazi na kilimo kwa binadamu kuzidi yote duniani.
Ili uelewe kuwa mazingira magumu siyo necessarily kuwa yatapelekea kuwa na akili, mbona maeneo yote yaliyoko mikoa ya katikati mwa Nchi yenye ukame na njaa za kila wakati, hayafanyi vyema kwenye elimu ya juu?
Correction, hapo mwisho,
Suala la kusoma kwa miaka mingi Tanzania ilikuwa ni bahati tu kwa makabila mengi,
Wala haihusiani na mazingira wanayotoka, tusipotoshane hapa,
Kuna mikoa ilitembelewa na wakoloni mapema kuliko mingine na ikabahatika kujengewa mashule,
Thanks God kwa sasa karibu Jamii zote zimeshafikiwa na huduma za elimu, so in the nearest future hakutakuwa na hizo justifications zenu sababu Jamii zote zinapata access to education.
 
Hujanielewa ndugu. Nimetaja sababu nyingine zinazochangia kuathiri akili ya jamii fulani.
Kwa Ukanda wa Pwani, kilichoziathiri ni uwepo mkubwa wa Ugonjwa wa Malaria, pamoja na Malale. Vilevile, uwepo wa joto kali, umekuwa ukichangia sana kupunguza nishati mwilini ambayo ingetumika kujenga mwili. Fikiria maisha ya mababu zetu wa zamani ya kulima kuanzia asubuhi hadi wakati mwingine jioni. Joto lote la saa 4 - 10 linamuishia mwilini kila siku. Vizazi na vizazi vinapokutana na hali hali hiyo inaathiri pia akili.
Jiulizeni tu nyie angalieni joto la Dar lilivyo. Kwa wenzangu na mie tuishio madongo poromoka, utadhani tunachemshwa ndani ya maji.
Again you are misleading people here, who told you Joto hupunguza nishati mwilini?
Unadhani ni kwanini watu wa Dar hawahitaji high starch foods kama watu wa nyanda za juu kusini au Kaskazini?
Labda nikukumbushe Thermoregulation ya form 3,
Nishati nyingi mwilini hutumiaka kudhibiti joto la mwili against joto la mazingira
Mwili hutumia nishati ndogo kudhibiti joto la mwili ikiwa joto la mazingira lipo juu, na pia mwili hutumia nishati nyingi kudhibiti joto la mwili ikiwa joto la mazingira lipo chini.
Labda nikurahisishie kwa mfano huu rahisi uelewe, gari hutumia mafuta mengi kupanda mlima kuliko kushuka mteremko, the same applies to your body, kupandisha joto la mwili ni expensive kuliko kulishusha.
Get your facts right.
 
Mkuu, this is pure science, usitumie hisia zako kujaribu kuchepusha facts, facts are to be accepted, nasema hivi, Evolution is the answer to your all arguments,
Hebu Tamka hili neno : 'E V O L U T I O N'
Jinsi kiumbe anavyokutana na ugumu au Changamoto kwenye mazingira anayoishi , vivyo hivyo hujiboresha zaidi kuyakabili na kuendana na mabadiliko hayo na ndivyo ilivyo kwa binadamu pia, (mbona hili liko wazi kabisa?)
  • Kwa mfano, kama kusingekuwa na maambukizi ya VVU watu wasingeingia maabara kutumia akili mobu na kutengeneza ARV's mnazopata kwenye clinics za ctc,
Au mfano mwingine ni huu, Baada miongoni mingi Malaria kuwa Top kila kwenye tropical countries, imelazimu wanasayansi kutafiti vaccine ya Malaria, hivi ndivyo akili hukua.
This is what happens,
Hata ingetokea Dodoma iwe Isolated country, there is no survival, hakuna kwa kuombaomba wala serikali ya kupeleka vyakula wale watu wasingekubali kufa, wangeshachimba maji toka ardhini na kumwagilia mashamba na kukuza mazao,
I repeat, unachoongelea ni science, and I am a scientist, jaribu kuweka facts zako vizuri sababu science is all about facts,
I have explained very clear to you than Human brain have four Lobes, (a healthy one), kitakachokufanya uwe na akili kuliko wengine ni namna unavyotumia hizo akili zako tu (hii ni kwa mujibu wa Tafiti, na hata ukitaka kuhakikisha hili angalia tofauti kati ya mtu anarkutana na Changamoto kwenye maisha na kuzikabili na kujifunza kwa kila changamoto na yule anaetumia muda wake wote hadi uzeeni kutazama TV), one will accumulate wisdom and the other will accumulate AGE,
Please use facts than your own feelings.
Nashukuru kwa hoja yako na mtazamo wako uliokaa kisayansi. Hata hivyo, nadhani umeona hoja zangu pia zimejikita katika sayansi Ndiyo maana nimeweka data. Nine jitahidi kuweka Hypotheses ambazo ni objective/less biased/empirical/factual.
Sasa, nijibu swali hili, kwa nini:
  • Wakati wa kutafuta mtoto (kujamiiana) mwanaume anashauriwa awe anakula vizuri, Hana stress na hajafanya tendo kwa angalao wiki ili kufanya kiumbe jiwe na afya (akili)?
  • Kwa nini, inashauriwa mama mjamzito kula vyakula maalum hasa vya Protini katika miezi mitatu ya mwanzo wa kutungwa mimba?
  • Kwa nini, inashauriwa mtoto mchanga chini ya miezi mitano kutopewa kitu chochote zaidi ya maziwa ya mama.
  • Kwa nini kitaalam inadaiwa umri unaofaa kuzuia mtoto kuwa na udumavu wa mbili/akili ni siku 1,000 tangu mimba inapotungwa.
Maswali hayo ni ya kufanyia kazi. Vilevile, Swali muhimu la kujiuliza: Kwa nini hapa Tanzania jamii zinazoishi katika mazingira magumu ndizo zinazofeli zaidi kimaisha kwa kutoweza kushindana na zile zenye mazingira mazuri.
Hata hivyo, nimekuelewa kwa sababu mtazamo wako Ndiyo walionao wasomi karibia wote nchini.
Kitu cha kunote ni kuwa:
  • Mazingira magumu kwa Mzungu siyo necessarily yatakuwa pia magumu kwa Mwafrika.
  • Mazingira magumu kwa Msouth Afrika, siyo necessarily hivyo hivyo kwa Mtanzania.
  • Mazingira magumu kwa Mchaga, siyo lazima yatakuwa hivyo kwa makabila mengine nchini. Think.
Hivyo neno mazingira magumu ni relative.
 
Correction, hapo mwisho,
Suala la kusoma kwa miaka mingi Tanzania ilikuwa ni bahati tu kwa makabila mengi,
Wala haihusiani na mazingira wanayotoka, tusipotoshane hapa,
Kuna mikoa ilitembelewa na wakoloni mapema kuliko mingine na ikabahatika kujengewa mashule,
Thanks God kwa sasa karibu Jamii zote zimeshafikiwa na huduma za elimu, so in the nearest future hakutakuwa na hizo justifications zenu sababu Jamii zote zinapata access to education.
Hili suala, watu huwa wanalirudia kulisema kimakosa sana. Mbona Wazungu walianzia Zanzibar na Bagamoyo hadi wakajenga makanisa makubwa sana na shule. Ilikuwaje?
Kuna Wilaya moja Nina ushahidi nayo, haikuwahi kuwa na Shule ya Sekondari hadi mwaka 1988 ilipopata Shule ya private na ya umma ilibidi kusubiri hadi mwaka 1993. Lakini kabila lake ni mojawapo ya makabila yanayoongoza nchini (kama siyo ya kwanza) kwa kuwa na watu wenye elimu ya juu zaidi hapa nchini.
Msisingizie sijui ubaguzi wa wakoloni kwani mkoani Kagera walikuwepo wazungu wachache sana lakini shule zilijengwa tu vizuri. Amani wilayani Muheza, ndiyo eneo la kwanza kabisa nchini kuanza kuwa na kituo (Chuo) cha utafiti wakati wa Wajerumani but where are they?
 
Again you are misleading people here, who told you Joto hupunguza nishati mwilini?
Unadhani ni kwanini watu wa Dar hawahitaji high starch foods kama watu wa nyanda za juu kusini au Kaskazini?
Labda nikukumbushe Thermoregulation ya form 3,
Nishati nyingi mwilini hutumiaka kudhibiti joto la mwili against joto la mazingira
Mwili hutumia nishati ndogo kudhibiti joto la mwili ikiwa joto la mazingira lipo juu, na pia mwili hutumia nishati nyingi kudhibiti joto la mwili ikiwa joto la mazingira lipo chini.
Labda nikurahisishie kwa mfano huu rahisi uelewe, gari hutumia mafuta mengi kupanda mlima kuliko kushuka mteremko, the same applies to your body, kupandisha joto la mwili ni expensive kuliko kulishusha.
Get your facts right.
Sasa mbona unajibu na kuunga mkono hoja yangu?
Hivi gari linalopanda mlima na lile linaloteremka mlima mara kwa mara, ni lipi litaharibika haraka?
Nilikuwa naongelea joto kali kwa concept kuwa, binadamu anapofanya kazi kwa muda mrefu juani anapoteza nguvu hali ambayo ikiendelea kwa muda mrefu inakuwa inapunguza nguvu ya mtu huyo kiakili kwani anapokula chakula inabidi kibadilishwe kwa kiwango kikubwa kuwa nishati ili kuupa mwili nguvu za kumwezesha kufanya kazi. Hali hii ya kubadilisha chakula kuwa nishati inasababisha upungufu wa protini, vitamins, maji, etc.
Ni sawa na mgonjwa wa akili anayekula vyakula vya majalalani, itasababisha kila chakula anachokula, kibadilishwe kutengeneza zaidi kinga (immunity) dhidi ya magonjwa kutokana na kula chakula kichafu na chenye magonjwa.
 
PITIENI NA HUU UZI KUJUA KWA BILA WANASAYANSI WA AFRICA PIA AMERCA NA ULAYA WASINGEFANIKIWA KWA LOLOTE TATIZO NI TAMAA ZA WANASAYANSI WA AFRICA UZI HUU UNAFACT TUPU
Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao
Jamani kusema kweli wasomi wazuri kabisa na wabobezi wa kiafrika huwa wanatafutwa kwa udi na uvumba na nchi zilizoendelea hasa katika fani za IT, uhandisi na udaktari. Hii inatokana na kwamba kwa kila Jamii hapa duniani, hao (wanasayansi) huwa ni wachache na hawatoshelezi mahitaji.
But tutakuwa tunafanya makosa makubwa ya kuogopa ukweli endapo leo hii tutajitapa kwa watu kuwa, Wazungu wapo hapo walipo kutokana na wanasayansi wa kiafrika.
Hii ni sawa na kusema kuwa pasipo waafrika, Wazungu wasingeendelea. Swali linakuja, hawa wasomi wetu walisomea wapi?
Ukiniambia kuwa walisomea Vyuo Vikuu vya Stellenbosch (SA) ama Makerere nitakuelewa lakini endapo Vyuo hivyo navyo vilianzishwa na Wazungu kama ilivyo kuwa UDSM nitakushangaa. Vilevile, kama Nguli wetu walisomea Havard, Massachusetts, Stanford, Cambridge ama Oxford, basi tujiulize vyema ni nani anamsaidia mwenzake.
 
Back
Top Bottom