Tofauti ya Akili (Brightness) za jamii za binadamu zimeletwa hasa na utofauti katika mvua na joto.

Tofauti ya Akili (Brightness) za jamii za binadamu zimeletwa hasa na utofauti katika mvua na joto.

Nani amekwambia kuwa Egypt ama Israel wana mazingira magumu? Unazifananisha na nani katika kuwa na mazingira magumu?
Kwa taarifa yako, Misri alongside Mesopotamia, ndiyo maeneo bora zaidi kiuzalishaji duniani toka ustaarabu wa mwanadamu kuanza. Hiyo ni kwa sababu, maeneo hayo ni makame but yamekuwa yakipata maji kupitia mafuriko ya Mito Nile na Tigris-Euphrates. Mafuriko kwenye mito hiyo yalirahisisha kilimo cha mwanzoni cha kutifua ardhi kwa kutumia miti kutokana na maeneo hayo kuwa na ardhi yenye rutuba. Ndiyo maana, The Nile Delta is by far the most densely populated basin (region) in Afrika and only behind Ganges Basin (India & Bangladesh) and Chang Jiang Basin (China) and Java Island (Indonesia) on population density.
Sasa kama, Misri wana hali ngumu, wangekuwaje wengi kuliko maeneo yote barani Afrika?
Hata Israel, licha ya eneo lake kubwa Kusini kuwa jangwa, bado ilikuwa na ardhi nzuri yenye rutuba na hali ya hewa nzuri hasa katika Mikoa ya Galilaya, Samaliya na Yudea, iliyostawisha matunda na kilimo cha ngano. Kwa lugha nyingine, ukiacha Uturuki, Iran, Lebanon na Syria, na ukitoa Misri na Iraq (Mesopotamia) zinazotegemea kilimo cha umwagiliaji, hakuna nchi nyingine ya Mashariki ya Kati (Asia Minor) yenye hali nzuri ya hewa kama Israel. Israel ni bora kuliko Saudia, Yemen, Oman, Emirates, Qatar, Kuwait, Palestine.
Mkuu embu tusaidie kama hii ndio fact wazungu wa australia na waafrika wa australia (aborigines) wameishi zaidi ya miaka 100 sasa nchi moja rasilimali moja mazingira inakuaje Mzungu wa kule IQ yake ikawa kubwa kuliko IQ ya mweusi waliemkuta if at all wanashare resources zilezile eneo lile kipi kimewatofautisha

Ukienda Uganda kuna mvua sana mkuu almost kila cku mvua inanyesha ila kivp Ankole wamekuwa na akili sana kuliko baganda in terms of IQ wakati mazingira yaleyale sehemu ileile resource ileile shida ni nini hadi watofautiane???
 
Mkuu embu tusaidie kama hii ndio fact wazungu wa australia na waafrika wa australia (aborigines) wameishi zaidi ya miaka 100 sasa nchi moja rasilimali moja mazingira inakuaje Mzungu wa kule IQ yake ikawa kubwa kuliko IQ ya mweusi waliemkuta if at all wanashare resources zilezile eneo lile kipi kimewatofautisha

Ukienda Uganda kuna mvua sana mkuu almost kila cku mvua inanyesha ila kivp Ankole wamekuwa na akili sana kuliko baganda in terms of IQ wakati mazingira yaleyale sehemu ileile resource ileile shida ni nini hadi watofautiane???
Dah!! Nimeyapenda sana maswali yako hayo mawili yaliyojaa akili.
Katika vigezo vya akili nilivyovitaja, sikuweka kwa makusudi point ya asili ya jeni (genetics) za mtu kwa kuwa sikutaka kuwachanganya.
Hata hivyo genetics inamaanisha ubora wa asili ya mtu tangu kipindi binadamu walivyoanza kujitofautisha katika races kubwa za dunia hasa Caucasian (Wazungu), Semites (Waarabu), Hamites (Wakushi/Ethiopians), Mongoloids (Wachina), Negro na Wabantu.
Sasa, Jamii zilizotoka nje ya Afrika zaidi ya miaka 60,000 iliyopita, walitengeneza jeni bora kutokana na uzalishaji wa vyakula vingi kulinganisha na waliobaki Afrika. Vilevile, uwepo wa magonjwa hatari kiafya barani Afrika hasa: malale, malaria na homa ya manjano, imewaacha Waafrika wakiwa wameathiriwa kiakili kuliko Jamii zilizotoka Afrika.
Kuhusu kwa nini Aborigins wa Australia wana IQ ndogo kulinganisha na Wazungu licha ya kuishi zaidi ya miaka 100, inatokana na tofauti ya genes tangu wanadamu walivyoachana somewhere in 100,000 - 60,000. Wakati mababu za Wazungu wanaelekea eneo la Asia Minor (Middle East/Levant/Mediterranean), mababu za Aborigines walipitia nchi zenye ukame za Saudia na Iran; zenye misitu mikubwa za India Sub-Continent (Pakistani, India, Bangladesh), Indo-Asia (Burma, Thailand, Malaysia, Indonesia) hadi Australia. Maeneo hayo yana magonjwa ya kitropiki mengi tofauti na ya Wazungu, ndiyo maana Aborigines hawakuendelea kiakili sana na hasa ukichukulia kuwa, walianza kutumia iron technology baada ya kuingia kwa Wazungu so hawakupata food nutrients za kutosha.

Fikiria kuwa, ni iron technology iliyosababisha Wabantu kupiga Jamii zote Tanzania - Hamites (Wambulu) Highland Nilotes (Waberbaig/Datooga) na Bushmen (Wahadzabe na Wasandawe). Hata hivyo, Wabantu hawakufua daft kwa River Nilotes (Luo) kutokana na kwamba Nilotes ndio waliowafundisha Wabantu teknolojia ya chuma kipindi ambacho Wabantu walikuwa wanatoka Afrika Magharibi (1000 BC - 500 BC) walipofikia eneo la Interlacustrine (Maziwa Makuu).
Hivyo, miaka 100 ni michache sana ukitaka kutofautisha akili za Wazungu na Aborigines. Ndiyo maana Black Americans wana-display na kuji-behave in African way than European way kwa kuwa miaka 500 tu waliyopelekwa huko America ni michache sana kulinganisha na miaka tuliyoachana nao somewhere in 60,000 years.
 
Mkuu embu tusaidie kama hii ndio fact wazungu wa australia na waafrika wa australia (aborigines) wameishi zaidi ya miaka 100 sasa nchi moja rasilimali moja mazingira inakuaje Mzungu wa kule IQ yake ikawa kubwa kuliko IQ ya mweusi waliemkuta if at all wanashare resources zilezile eneo lile kipi kimewatofautisha

Ukienda Uganda kuna mvua sana mkuu almost kila cku mvua inanyesha ila kivp Ankole wamekuwa na akili sana kuliko baganda in terms of IQ wakati mazingira yaleyale sehemu ileile resource ileile shida ni nini hadi watofautiane???
Kuhusu Ankole kuwa na akili nyingi kuliko Baganda, hiyo nayo inatokana na hiyo concept ya genetics. Kiasili Ankole wana jeni nyingi za Hamitic (Bahima) kuliko Baganda. Vilevile, Wanyankole wana sifa karibia zote nilizotaja zinazochochea afya na akili. Licha ya sifa hizo pia kuwepo kwa Baganda, bado kwa Wanyankole hakuna malaria, malale na homa ya manjano tofauti na Baganda. Hii inatokana na miinuko ya Wanyankole.
 
Mkuu embu tusaidie kama hii ndio fact wazungu wa australia na waafrika wa australia (aborigines) wameishi zaidi ya miaka 100 sasa nchi moja rasilimali moja mazingira inakuaje Mzungu wa kule IQ yake ikawa kubwa kuliko IQ ya mweusi waliemkuta if at all wanashare resources zilezile eneo lile kipi kimewatofautisha

Ukienda Uganda kuna mvua sana mkuu almost kila cku mvua inanyesha ila kivp Ankole wamekuwa na akili sana kuliko baganda in terms of IQ wakati mazingira yaleyale sehemu ileile resource ileile shida ni nini hadi watofautiane???
Soma hii thread:

Hadi 75% ya akili zetu ni za kurithi (hereditary): Maamuzi yako kwenye Ndoa Ndiyo yatakayohukumu Vizazi vyako:
 
Kuhusu Ankole kuwa na akili nyingi kuliko Baganda, hiyo nayo inatokana na hiyo concept ya genetics. Kiasili Ankole wana jeni nyingi za Hamitic (Bahima) kuliko Baganda. Vilevile, Wanyankole wana sifa karibia zote nilizotaja zinazochochea afya na akili. Licha ya sifa hizo pia kuwepo kwa Baganda, bado kwa Wanyankole hakuna malaria, malale na homa ya manjano tofauti na Baganda. Hii inatokana na miinuko ya Wanyankole.
Kwa fact hizi basi nikubaliane na concept yako hii however niulize je nkiwaweka aborigines na caucasoids kwenye eneo moja je itachukua miaka mingapi wafanane akili au ndio ishakula kwao aborigines kwa sababu ya genes walizorithi??
 
Kwa fact hizi basi nikubaliane na concept yako hii however niulize je nkiwaweka aborigines na caucasoids kwenye eneo moja je itachukua miaka mingapi wafanane akili au ndio ishakula kwao aborigines kwa sababu ya genes walizorithi??
Haitatokea tena kulingana kwa kuwa, kutokana na maendeleo ya dunia, ambayo yamesababisha haya:
  • Binadamu wote wanakula vyakula vya kutosha na kujenga mwili. Zamani watu walikuwa wakifa njaa kwa ukame, ama rasilimali chache. Leo hii ukiwa na hela unapata kila kitu.
  • Kutokuwepo kwa magonjwa hatari (malale, malaria na homa ya manjano). Zamani magonjwa yalichangia kupunguza akili za Aborigines na Waafrika kwa kiwango kikubwa lakini leo hii afya imeboreshwa.
  • Amani. Zamani Jamii duni ziliteseka kwa kukosa amani kutokana na vita vya mara kwa mara.
Ili Aborigines wawafikie Wazungu, inabidi Aborigines wale vizuri na Wazungu walale njaa mara kwa mara na wale chakula kisicho na umuhimu mkubwa mwilini kwa muda wa miaka zaidi ya 500. (Nadhani unaona ilivyo ngumu). Vilevile, kuwepo magonjwa ya kitropiki (malaria, yellow fever, malale) kwa Wazungu na yasiwepo kwa Aborigines ama Waafrika kwa miaka ipatayo 10,000.
Tukiendelea kuishi jinsi tunavyoishi, haitatokea tukawazidi Wazungu akili on per capita (average) basis. La muhimu ni kuwa na uwezo wa kutofautisha neno maendeleo dhidi ya akili za darasani.
 
Back
Top Bottom