Tofauti ya CCM na CHADEMA: CCM wanatumia Show Off ya Magari, mabango na Wasanii kutangaza Mkutano wao,Chadema wanatumia midahalo yenye hoja nzito!

Tofauti ya CCM na CHADEMA: CCM wanatumia Show Off ya Magari, mabango na Wasanii kutangaza Mkutano wao,Chadema wanatumia midahalo yenye hoja nzito!

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Mwenye macho haambiwi tazama.

Kuna mikutano miwili. Wa CCM Dodoma na hii ya uchaguzi wa CHADEMA wakipanga safu yao ya uongozi.

Kwa upande wa CCM tunaona hakuna hoja za msingi kuufanya mkutano wao uwe na mvuto zaidi ya show off ya mabasi, mabango kila sehemu huko Dodoma na matumizi ya wasanii ambavyo kwa kifupi vyote ni matumizi mabaya ya kodi za wajinga wa Tanzania.

Ila upande wa CHADEMA tunaona malumbano ya hoja za msingi na mchakato wa uchaguzi ulio wazi wa kidemokrasia ukiwavutia watanzania kufuatilia kwa karibu mikutano inayoendelea ya chama hiki.


Watanzania wanapata nafasi ya kujua wagombea wa Chadema, sera zao, maono yao na wakishuhudia midahalo ya Timu zao za Kampeni. Vyote hivi vinafanyika kwa kupigana vijembe kweli huku chama hiki kikiendelea kuwa kimoja bila kuvunjika tofauti na matarajio ya wapiga ramli wa CCM.

Kweli kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
 
Mwenye macho haambiwi tazama.

Kuna mikutano miwili. Wa CCM Dodoma na hii ya uchaguzi wa CHADEMA wakipanga safu yao ya uongozi.

Kwa upande wa CCM tunaona hakuna hoja za msingi kuufanya mkutano wao uwe na mvuto zaidi ya show off ya mabasi, mabango kila sehemu huko Dodoma na matumizi ya wasanii ambavyo kwa kifupi vyote ni matumizi mabaya ya kodi za wajinga wa Tanzania.

Ila upande wa CHADEMA tunaona malumbano ya hoja msingi na mchakato wa uchaguzi ulio wazi wa kidemkokrasia ukiwavutia watanzania kufuatilia kwa karibu mikutano inayoendelea ya chama hiki.


Watanzania wanapata nafasi ya kujua wagombea wa Chadema, sera zao, maono yao na wakishuhudia midahalo ya Timu zao za Kampeni. Vyote hivi vinafanyika kwa kupigana vijembe kweli huku chama hiki kikiendelea kuwa kimoja bila kuvunjika tofauti na matarajio ya wapiga ramli wa CCM.

Kweli kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
..na ndyo malumbano ya hoja yanayoendelea sasa, kati ya nguli wawili, FREEMAN & ANTIPAS LISSU, naona wanakivusha Chama to the next better level 😛
 
..na ndyo malumbano ya hoja yanayoendelea sasa, kati ya nguli wawili, FREEMAN & ANTIPAS LISSU, naona wanakivusha Chama to the next better level 😛
Uchaguzi wa Chadema umenivutia sana. Wanafanya siasa kama za Republicans na Democrats kule Marekani.

Hadi unaona raha kufuatilia siasa. Sio ule ujinga wa CCM kule
 
Uchaguzi wa Chadema umenivutia sana. Wanafanya siasa kama za Republicans na Democrats kule Marekani.

Hadi unaona raha kufuatilia siasa. Sio ule ujinga wa CCM kule
😛😀Democrat na Republicans, similarities hizo sijawahi kuziona kwa CDM, nao wako busy na "internal infighting"?
 
Mwenye macho haambiwi tazama.

Kuna mikutano miwili. Wa CCM Dodoma na hii ya uchaguzi wa CHADEMA wakipanga safu yao ya uongozi.

Kwa upande wa CCM tunaona hakuna hoja za msingi kuufanya mkutano wao uwe na mvuto zaidi ya show off ya mabasi, mabango kila sehemu huko Dodoma na matumizi ya wasanii ambavyo kwa kifupi vyote ni matumizi mabaya ya kodi za wajinga wa Tanzania.

Ila upande wa CHADEMA tunaona malumbano ya hoja msingi na mchakato wa uchaguzi ulio wazi wa kidemkokrasia ukiwavutia watanzania kufuatilia kwa karibu mikutano inayoendelea ya chama hiki.


Watanzania wanapata nafasi ya kujua wagombea wa Chadema, sera zao, maono yao na wakishuhudia midahalo ya Timu zao za Kampeni. Vyote hivi vinafanyika kwa kupigana vijembe kweli huku chama hiki kikiendelea kuwa kimoja bila kuvunjika tofauti na matarajio ya wapiga ramli wa CCM.

Kweli kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
kalieni midahalo na hoja nzito ccm mbelekwambeleeeeeeeeeeeeeeee
 
Midahalo yenye hoja nzito ya Chadema isiyowapa ushindi Chadema kwenye chaguzi ina faida gani hasa?

Ikifika kipindi cha uchaguzi uwe wa mitaa au taifa mnabwagwa chini na midahalo yenu
 
Midahalo yenye hoja nzito ya Chadema isiyowapa ushindi Chadema kwenye chaguzi ina faida gani hasa?

Ikifika kipindi cha uchaguzi uwe wa mitaa au taifa mnabwagwa chini na midahalo yenu
Hatua kwa hatua. Kwani CCM wanapewa ushindi kwa hoja au mbeleko ya TISS.

Hizi hoja za msingi ndo siku zitawafanya hao wanaowabeba waache kuwabeba na kuhamia kwenye kweli.
 
Mwenye macho haambiwi tazama.

Kuna mikutano miwili. Wa CCM Dodoma na hii ya uchaguzi wa CHADEMA wakipanga safu yao ya uongozi.

Kwa upande wa CCM tunaona hakuna hoja za msingi kuufanya mkutano wao uwe na mvuto zaidi ya show off ya mabasi, mabango kila sehemu huko Dodoma na matumizi ya wasanii ambavyo kwa kifupi vyote ni matumizi mabaya ya kodi za wajinga wa Tanzania.

Ila upande wa CHADEMA tunaona malumbano ya hoja za msingi na mchakato wa uchaguzi ulio wazi wa kidemkokrasia ukiwavutia watanzania kufuatilia kwa karibu mikutano inayoendelea ya chama hiki.


Watanzania wanapata nafasi ya kujua wagombea wa Chadema, sera zao, maono yao na wakishuhudia midahalo ya Timu zao za Kampeni. Vyote hivi vinafanyika kwa kupigana vijembe kweli huku chama hiki kikiendelea kuwa kimoja bila kuvunjika tofauti na matarajio ya wapiga ramli wa CCM.

Kweli kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
Kila mtu ameona jinsi CCM ilivyopotea ghafla katika ramani ya vyama vya siasa nchini wakati huu.
 
Pia kuna kitu kipya nimegundua, Wananchi wameanza kujua haki zao za msingi, wamewapuuza kabisa ccm na Mkutano wao, Masikio na Macho yao yote yako Kwenye Mkutano wa Chadema tu
Kwa sasa CCM ni kisima cha ujinga.

Eti Steve Nyerere anaitisha kabisa press conference anasema tumemleta Boz Boziana na amemtungia nyimbo Samia.

Badala wajikite kwenye hoja za msingi za kulivusha taifa letu wao wanawaza upigaji na matumbo yao tu
 
Mwenye macho haambiwi tazama.

Kuna mikutano miwili. Wa CCM Dodoma na hii ya uchaguzi wa CHADEMA wakipanga safu yao ya uongozi.

Kwa upande wa CCM tunaona hakuna hoja za msingi kuufanya mkutano wao uwe na mvuto zaidi ya show off ya mabasi, mabango kila sehemu huko Dodoma na matumizi ya wasanii ambavyo kwa kifupi vyote ni matumizi mabaya ya kodi za wajinga wa Tanzania.

Ila upande wa CHADEMA tunaona malumbano ya hoja za msingi na mchakato wa uchaguzi ulio wazi wa kidemkokrasia ukiwavutia watanzania kufuatilia kwa karibu mikutano inayoendelea ya chama hiki.


Watanzania wanapata nafasi ya kujua wagombea wa Chadema, sera zao, maono yao na wakishuhudia midahalo ya Timu zao za Kampeni. Vyote hivi vinafanyika kwa kupigana vijembe kweli huku chama hiki kikiendelea kuwa kimoja bila kuvunjika tofauti na matarajio ya wapiga ramli wa CCM.

Kweli kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
Watanzania wanapata nafasi ya kujua wagombea wa Chadema, sera zao, maono yao na wakishuhudia midahalo ya Timu zao za Kampeni. Vyote hivi vinafanyika kwa kupigana vijembe kweli huku chama hiki kikiendelea kuwa kimoja bila kuvunjika tofauti na matarajio ya wapiga ramli wa CCM.👌🏿💪🏿
 
Back
Top Bottom