Mkuu huo sio ujinga, maana mjinga ukimuelimisha anatoka katika ujinga, hivyo huo ni zaidi ya "UNYUMBU".Ukipiga kura na kura zako zikiibiwa kila siku na wewe unaangalia tu ni ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huo sio ujinga, maana mjinga ukimuelimisha anatoka katika ujinga, hivyo huo ni zaidi ya "UNYUMBU".Ukipiga kura na kura zako zikiibiwa kila siku na wewe unaangalia tu ni ujinga.
Mkuu, sio kweli kwamba kwa sasa CCM ni chama kubwa! bali ukubwa uliopo ni kwa sababu KIMEKUMBATI HAZINA YA TAIFA, siku HAZINA hiyo ikichukuliwa na wenye HAZINA, kitapotea kwenye ramani kama ilivyo kuwa kwa KANU.pamoja na kwamba huo ni ushabiki na mtaamo wako, kumbuka huwezi kumlinganisha Tembo na Sungura. CCM ni chama kubwa sana na tajiri, Chadema ni katoto tu ambako hakana rasilimali yoyte hasa fedha. Suala la kwamba Chadema wana hoja ni kwamba umepumbazwa na ushabiki huwezi kuielewa CCM WEWE
..it will never happenMkuu, sio kweli kwamba kwa sasa CCM ni chama kubwa! bali ukubwa uliopo ni kwa sababu KIMEKUMBATI HAZINA YA TAIFA, siku HAZINA hiyo ikichukuliwa na wenye HAZINA, kitapotea kwenye ramani kama ilivyo kuwa kwa KANU.