Tofauti ya CCM na CHADEMA: CCM wanatumia Show Off ya Magari, mabango na Wasanii kutangaza Mkutano wao,Chadema wanatumia midahalo yenye hoja nzito!

Mkuu, sio kweli kwamba kwa sasa CCM ni chama kubwa! bali ukubwa uliopo ni kwa sababu KIMEKUMBATI HAZINA YA TAIFA, siku HAZINA hiyo ikichukuliwa na wenye HAZINA, kitapotea kwenye ramani kama ilivyo kuwa kwa KANU.
 
Mkuu, sio kweli kwamba kwa sasa CCM ni chama kubwa! bali ukubwa uliopo ni kwa sababu KIMEKUMBATI HAZINA YA TAIFA, siku HAZINA hiyo ikichukuliwa na wenye HAZINA, kitapotea kwenye ramani kama ilivyo kuwa kwa KANU.
..it will never happen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…