pamoja na kwamba huo ni ushabiki na mtaamo wako, kumbuka huwezi kumlinganisha Tembo na Sungura. CCM ni chama kubwa sana na tajiri, Chadema ni katoto tu ambako hakana rasilimali yoyte hasa fedha. Suala la kwamba Chadema wana hoja ni kwamba umepumbazwa na ushabiki huwezi kuielewa CCM WEWE