Tofauti ya Diamond na wasanii wengine wa Bongo

Ningekua dimond ningewananii tena wote wawili (wema & joke ) alafu nione jeuri yenu nyie timu meno ya tembo
 
Thamani ya Tembo kwa taifa hili na thamani ya mziki wa Domo/Chibu/Mondi ni tofauti kabisa
 
Mtakesha xana mwaka huu na ndio tunaelekea ukingoni je? Tukituma pic ya diamond anachezea tumbo la Zari na kiba anaparfm on a stage mtasema nn?

Tatizo watu wanashindwa kuelewa kaka mbona hvyo vpo tu.kwan dai nae pia anafanya vitu ka hzo
 
Kiba ni handsome kuliko ndomo ashukuru kuna miwani.
Kiba ni mwanaume ndio maana ana watoto.Huyo mwingine ...
 
Eti kampuni ya rockstar4000 ya nani?

Wanaiba nyimbo za Diamond kuziuza online, meneja kaitoa insta...najua italetwa humu. Wadau wameshaanza kutiririka huko eti inam maneji nani tena?
 
Kwa vigezo hivyo vinne umetoa hapo juu, hakuna mwanamuziki wa Bongo amewahi fanya hivyo hata mmoja. Atazidi kuwa mbele. Ndo yale mambo ya copy my motion
 
chibu ndo nn nyie Hamna kaz ngumu ka kukabidhiwa verse ya kwanza wenzio ndo wafate R.kelly alimkabidh Kiba usifikr kitu cha mchzo punguzen unaz ongeen ukwel.Wakat anachaguliwa domo alikua wap ??? Ngoma wamesimama wasanii kibao wanaojielewa lakin wamemsimamisha kiba
 

Acha ukiazi wewe hiyo ishu ilikuwa 2010 chibu ndio kwanza kaanza kuimba mziki akiwa na mwaka tu angekuwaje recognized mbele ya kibakuli... Na pili hilo lilikuwa zali tu ambalo halijamnufaisha lolote zaidi ya memory tu kuwa aliimba huo wimbo hakuna hata tuzo moja ya kimataifa aliyopata kutokana na hilo kusifiwa tu unasauti nzuri kajivimbisha mbele ya wakina faly, dbanj, 2face akafikiri mwandiko unaweza mfaulisha kwenye mtihani wakati kajaza pumba,,,, hayaa angalia sasa yeye yupo wapi leo? kashabakia historia kwa sababu za kijingajinga tu na wenzake Amani na Navio hawana kitu sahivi okey najuwa huwezi kukaa juu milele lakini at least kuna kitu unakuwa umefanya remarkable... anaishia kupiga picha anasema anashoot hahahahaha wamebaki hamna lolote wanaishia kuwapigia kura wenzao kila nomination za heshima international hoooooola si ajabu ukimuuliza 2face kuhusu kiba anakwambia kamsahau mtabaki na historia hivohivo badala ya kujifunza kwa dogo dangote

Na sahivi badala ya kuwapa mashabiki mzigo mpya au video anaenda kupiga debe na yeye kwenye daladala ili wamuonee huruma hana makuu principle za kizamani kinoma yanii, apige kaziiiii mi mbona mlaini tuu namsupport asilimia mia nane lakini si kwa upuuzi alionao sasa anasahau kama ye ni mwanamuziki na alipumzika kuusoma mchezo kumbe kisingizio aliishiwa, right if angekuwa kajifunza kitu asingekuwa na ulegelege alionao nadhani 20% atakuwa pacha wake sio mda
 

ha ha ha bwana wanyama pori kageuka kua konda teh teh teh teh.
 

We kwel unataka mzigo mpya mtafute kwa mda wako atakupa huo mzigo. Kwa hyo unavyohisi mwaka tu usingetosha kufahamika kwa domo. Fally alianza mwaka gani as Solo mi naona mapuvu.
 
MTV mama Diamondplatnumz & vanessa

⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇


MAMA 2015
MAMA 2015
MAMA 2015
MAMA 2015


⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆
link hiyoooooooooooo... #wasaaaaaaafi

vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…