Kibaka huiba vitu vidogo vidogo Kama simu, nguo, viatu etc. Kibaka hapangi, hajui ataiba nini kesho. Wengi utawakuta gerezani.
Jambazi hupanga matukio kabla, jambazi hutumia nguvu kuiba na anakuibia unaona na usipokua mpole anakumaliza. Wengi wako magerezani au polisi huwamaliza kwa RISASI. Jambazi Hana urafiki na polisi.
Mwizi....wengi wao ni wafanyakazi wa serikali, Mara nyingi wanamuibia mwajiri wao (serikali) wezi hawafanywi chochote na huwezi kuwakuta jela. Akishaiba idara Fulani anahamishiwa idara nyingine akaibe vizuri. Wengi wa wezi ni watu waheshimiwa Sana kwenye jamii yetu.
Mwizi usipomuita mheshimiwa anaweza kukuchulia hatu.