Tofauti ya Kiiza Besigye na vyama vingine vya upinzani Afrika

Tofauti ya Kiiza Besigye na vyama vingine vya upinzani Afrika

Kwa mujibu wa chadema ndicho wanachotuambia na kujaribu kutumianisha na ndicho wanachokihubiri tangu kuasisiwa kwao, na ndiyo maana nashangaa kuungana na Chama tawala nchini Kenya ambacho kinashutumiwa na Upinzani kufanya yale yale ambayo chadema inayalalamikia hapa nyumbani, na cha ajabu zaidi labda kuliko vyote chadema hiyo hiyo mwaka 2013 ilikuwa upande wa upinzani nchi Kenya Odinga na ODM yake, kwa sababu zile zile ambazo wamekuwa wakizihubiri hapa Tanzania!

Sasa nani aliyebadilika chadema au Upinazani wa Kenya?
Tusio na msukumo wa Itikadi za kisiasa baina ya CCM na CDM tumekuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu WA Basigye unaonekana una afiki ana naye kua; hata CCM ya Magufuli inakawaida ya kuwakandamiza wapinzani sana.

Hivyo kwa nafsi yako, unaamini ni CDM wanafanya kosa la kumuunga mkono Kenyatta.kwakua ni sawa na kuendelea kuunga mkono unyanyaswaji unaofanywa na akina magufuli kwa CDM. Na hii inawafanya CDm kutokua wapinzani WA kweli.
Kwakua magufuli ni mnyanyasaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Absolutely yes!!!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA ilikuwa Chama cha Upinzani kabla ya kupokea makapi toka CCM. Kwa kutelekeza Sera yao iliyowapa umaarufu ya kutetea Rasilimali za Umma na kupinga Ufisadi, CHADEMA is absolutely not and no longer an Opposition Party. Period!

CDM WALISHASEMA KAZI YA CHAMA CHA SIASA NI KUCHUKUA DOLA, SIO KUBAKIA KUITWA MPINZANI. HAPA NAONA WANASIMAMIA ITIKADI YAO.
kua MPINZANI sio lengo LA chama cha siasa kama chadema.

Chama cha siasa ni watu. Neno makapi nao ni watu.
Hawa waliorudi CCM baada ya uchaguzi wakapokelewa wanaweza kua ni makapi watu.

Cdm haikwenda kwenye uchaguzi mkuu na ajenda yao peke yao, bali walikua chini ya muungano WA vyama vinavyounda UKAWA, ambapo muungano huu ndio uliandaa ajenda ambayo ililenga kuwapatia watanzania "katiba mpya" ambayo miaka yote CCM wamekua hawataki kuileta.

Na Sera ya Ukawa iliwapatia marafiki WA vyama MPINZANI kama cuf na vingine. hata wakajizoela Viti vingi Bungeni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni Kiiza Besigye ambaye ni Mpinzani wa ukweli nchini Uganda akitoa maoni yake khs uchaguzi uliofanyika nchini Kenya, sasa linganisha na chadema yetu.
Besigye anaongelea matatizo wanayokumbana nayo Wapinzani Afrika hasa wakati wa uchaguzi, wkt huku kwetu chadema ambacho ndicho Chama Kikuu cha Upinzani kinasifu Chama tawala cha Kenya na wanasema kwamba Upinzani wa Kenya ndiyo wanaominya demokrasia, kwa mujibu wa chadema yetu,
so sad, ...


Ccm leo mnamsifia Besigye,duuuuuh!
 
Absolutely yes!!!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, shida anayopata Barbarosa ni kwakua yeye ni mwanasisiemu.

Anaona aibu kukiri kua:- ikiwa cdm wana kosea kumuunga mkono Kenyatta. Basi ni kweli pia Magufuli ambaye ni mwenyekiti wake wa chama cha mapinduzi anakandamiza upinzani nchini vilevile.

Ambapo ningemshauri amsaidie mwenyekiti wake Aache kuionea cdm.

Nataka awe na ujasiri wa kusema Ukweli hata kama haumpendezi. Kwakua msema kweli ni mpenzi wa MUNGU wa Daudi, Mungu wa Paulo na Mungu wa john ambaye tunamwita yohana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo Kiiza Besigye amelielezea kama ukiliskiliza kwa makini, kama ukipenda, kwamba Vyama vyote vya Upinzania Afrika na hasa hili eneo letu vinakumbana na matatizo yanayoshabihiana, hivyo kwa akili ya kawaida ambayo kwa bahati mbaya haipo chadema, tungetegemea Upinzani uunganishe nguvu zao ili kupambana na hali iliyopo, lkn chadema wameungana na Chama tawala nchini Kenya ili kuzidi kukandamiza Upinzani nchini humo ili hali wao (chadema) wenyewe hulia kwamba ni victims wa ukandamizaji na kwamba wanaibiwa kura, so sad!
Mbona NASA wameungana na chama tawala CCM!???
Lisemee hilo
 
Wewe Barbarosa unafikiri kwamba CHADEMA lazima ishirikiane na wapinzani tu. Chama kina vyama vyenye dola ambavyo wanashare ideologies navyo.
 
Wewe Barbarosa unafikiri kwamba CHADEMA lazima ishirikiane na wapinzani tu. Chama kina vyama vyenye dola ambavyo wanashare ideologies navyo.
HALI YA CHADEMA INASIKITISHA SANA NA SIJUI ITAJIKWAMUAJE. ISINGEMEZA CHAMBO YA CCM KWA KUPOKEA MAKAPI YAKE INGEKUWA MBALI SANA KIMAENDELEO HATA KAMA WASINGETWAA DOLA.
 
HALI YA CHADEMA INASIKITISHA SANA NA SIJUI ITAJIKWAMUAJE. ISINGEMEZA CHAMBO YA CCM KWA KUPOKEA MAKAPI YAKE INGEKUWA MBALI SANA KIMAENDELEO HATA KAMA WASINGETWAA DOLA.
Sio kweli. Naamini walifanya vizuri kuwapokea hao unaowasema. Chama kimejiongezea wabunge wengi na share ya kura za urais. Tatizo ni huyu Mtakatifu wetu wa saiv asiyetaka kukosolewa. Kama kweli anajiamini afuate katiba ya nchi na aruhusu mikutano ya kisiasa.
 
Wewe Barbarosa unafikiri kwamba CHADEMA lazima ishirikiane na wapinzani tu. Chama kina vyama vyenye dola ambavyo wanashare ideologies navyo.


Kwa hiyo chadema wanashare ideology sawa na Jubilee ya Uhuru Kenya? Kama ni hivyo wamebadilisha hiyo ideology lini kwa maana 2013 walikuwa na Raila Odinga!
 
Sio kweli. Naamini walifanya vizuri kuwapokea hao unaowasema. Chama kimejiongezea wabunge wengi na share ya kura za urais. Tatizo ni huyu Mtakatifu wetu wa saiv asiyetaka kukosolewa. Kama kweli anajiamini afuate katiba ya nchi na aruhusu mikutano ya kisiasa.
MIKUTANO SUBIRI WAKATI WA KAMPENI 2019 NA 2020. MUDA HUU WATU WACHAPE KAZI KUJENGA TAIFA. KUANDAMANA NA MIKUTANO NI KUPOTEZA MUDA WA KUFANYA MAMBO YA MSINGI
 
Huyu ni Kiiza Besigye ambaye ni Mpinzani wa ukweli nchini Uganda akitoa maoni yake khs uchaguzi uliofanyika nchini Kenya, sasa linganisha na chadema yetu.

Besigye anaongelea matatizo wanayokumbana nayo Wapinzani Afrika hasa wakati wa uchaguzi, wkt huku kwetu chadema ambacho ndicho Chama Kikuu cha Upinzani kinasifu Chama tawala cha Kenya na wanasema kwamba Upinzani wa Kenya ndiyo wanaominya demokrasia, kwa mujibu wa chadema yetu,
so sad, ...



we hujui siasa za uganda kabisa huyo besigye ni pandikizi ili wanayankole waendelee kuitawala Uganda hana seriousness yoyote zaidi walimjenga sana kwa kumpa kiki ili siasa za Uganda zitawaliwe name westerners ili hta akiondoka museveni atawale mnyankole au mhima mwingine hi yo besigye so mpinzani

kingine chadema walisifia matokeo sababu hakuna seem kumeripotiwa wizi was kura zaidi shida ni uwasilishaji wa matokeo sasa wapi chadema wamepotoka wakati unasahau hta magufuli mwenyewe alipongeza kwa ushindi!!! acheni siasa kwenye kila kitu watanzania

chadema walimsupport kenyatta sababu ya demokrasia na huyo besigye hawezi support jubilee sababu ruto alimpigia kampeni museveni uchaguzi uliopita
 
Back
Top Bottom