Tofauti ya kitaalam kati ya gari zenye short chassis na long chassis

Tofauti ya kitaalam kati ya gari zenye short chassis na long chassis

big dreamer

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
399
Reaction score
1,076
Wakuu poleni na kukosa kazi ya sensa,,,

Napenda kujua tofauti kati ya gari ya short wheelbase na Long wheel base (kwa lugha ya kitaalam) kwa gari aina moja tukiachana na muonekano ipi tofauti Nyingne hususani road stability, power,fuel consumption,rough road performances

Unakuta gari kama prado,rav 4, etc wametoa za lwb na swl (kwanini walioamua kutoa hivyo) waswahili wanaita milango mi tano vs milango mi3 na zipi tofauti zao

ASANTENI msisahau kuhesabiwa

Screenshot_20220729-114643_1.jpg
 
Sababu ya LWB na SWB ni marketing.. Ununue kinachokufaa na unachokimudu.

Nyumba ya kawaida na Ghorofa..!

Stability - SWB..!
Power - on paper zitakuwa sawa.. Ila reality SWB itakuwa na nguvu.

Fuel Consumption - SWB itakuwa economic zaidi.

Rough Road - SWB sio rahisi kukwama.. Front and rear axles zipo karibu.

Overall LWB ni bora sababu ya nafasi.

Imagine unaenda kwa Wakwe na SWB then inabidi ukunje kiti ili Mkwe aruke nyuma..!
 
Wakuu poleni na kukosa kazi ya sensa,,,

Napenda kujua tofauti kati ya gari ya short wheelbase na Long wheel base (kwa lugha ya kitaalam) kwa gari aina moja tukiachana na muonekano ipi tofauti Nyingne hususani road stability...

Tukiachana na gari kama prado na rav 4...

Tuongelee short na long wheelbase za gari kama Range Rover Vogue, Mercedes Benz S class, Audi A8 na BMW 7 series.

Kitu cha kwanza kabisa kinachozitofautisha ni comfortability...

LWB ni more luxurious and comfortable kuliko SWB
 
Sababu ya LWB na SWB ni marketing.. Ununue kinachokufaa na unachokimudu.

Nyumba ya kawaida na Ghorofa..!

Stability - SWB..!
Power - on paper zitakuwa sawa.. Ila reality SWB itakuwa na nguvu.

Fuel Consumption - SWB itakuwa economic zaidi.

Rough Road - SWB sio rahisi kukwama.. Front and rear axles zipo karibu.

Overall LWB ni bora sababu ya nafasi.

Imagine unaenda kwa Wakwe na SWB then inabidi ukunje kiti ili Mkwe aruke nyuma..!
Mkuu nataka kununua katoto ka-gari(suzuki escudo old model za mwanzo au gen ya pili) ya short chassis manual kwa mtu.
Unanishauri vipi kama gari ya mazingira magumu magumu ya barabara mbovu mda wote!na gharama za service.mafuta nadhani kitakua kinanusa tu cc1500 au?
Nataka short sababu ya harakati zangu,pia sipendi gari kubwa,nataka kachuma kakuburuzia vijijini popote kambi
 
Tukiachana na gari kama prado na rav 4...

Tuongelee short na long wheelbase za gari kama Range Rover Vogue, Mercedes Benz S class, Audi A8 na BMW 7 series.

Kitu cha kwanza kabisa kinachozitofautisha ni comfortability...

LWB ni more luxurious and comfortable kuliko SWB
Mkuu nataka kununua katoto ka-gari(suzuki escudo old model za mwanzo au gen ya pili) ya short chassis manual kwa mtu.
Unanishauri vipi kama gari ya mazingira magumu magumu ya barabara mbovu mda wote!na gharama za service.mafuta nadhani kitakua kinanusa tu cc1500 au?
Nataka short sababu ya harakati zangu,pia sipendi gari kubwa,nataka kachuma kakuburuzia vijijini popote kambi
 
Mkuu nataka kununua katoto ka-gari(suzuki escudo old model za mwanzo au gen ya pili) ya short chassis manual kwa mtu.
Unanishauri vipi kama gari ya mazingira magumu magumu ya barabara mbovu mda wote!na gharama za service.mafuta nadhani kitakua kinanusa tu cc1500 au?
Nataka short sababu ya harakati zangu,pia sipendi gari kubwa,nataka kachuma kakuburuzia vijijini popote kambi
Kwa nini unanunua gari manual miaka hii?
 
Tukiachana na gari kama prado na rav 4...

Tuongelee short na long wheelbase za gari kama Range Rover Vogue, Mercedes Benz S class, Audi A8 na BMW 7 series.

Kitu cha kwanza kabisa kinachozitofautisha ni comfortability...

LWB ni more luxurious and comfortable kuliko SWB
Short wheel base ya vogue ni ipi ..usije sema evoque..ile ni gari ingne kabisa hata engine zake ni ndogo compared na rav4 , prado zina share engine na swb zake
 
Kwa nini unanunua gari manual miaka hii?
Binadamu tunatofautiana.ukisema miaka hii hatupaswi kuendesha manual binafsi hua pia nashangaa kwanini unashangaa watu wanaependa manual!
kama ambavyo wewe unavyopenda kusaidiwa kuingiziwa gia mimi napenda kuingiza mwenyewe bila kujali tupo karne ya ngapi na wapi wala teknolojia gani.
 
Binadamu tunatofautiana.ukisema miaka hii hatupaswi kuendesha manual binafsi hua pia nashangaa kwanini unashangaa watu wanaependa manual!
kama ambavyo wewe unavyopenda kusaidiwa kuingiziwa gia mimi napenda kuingiza mwenyewe bila kujali tupo karne ya ngapi na wapi wala teknolojia gani.
Sikuwa na lengo la kubishana bali nilitegemea ungekuja na sababu za kunielewesha
Hao wanatengeneza hayo magari wana discourage manual options , in fact kuna baadhi ya manufactures hawana manual option kwa baadhi ya model.
Auto ni superior in many ways over manual , especialy safety issues .
Inawezekana unapenda sana manual na hujajua faida ya auto
 
Sababu ya LWB na SWB ni marketing.. Ununue kinachokufaa na unachokimudu.

Nyumba ya kawaida na Ghorofa..!

Stability - SWB..!
Power - on paper zitakuwa sawa.. Ila reality SWB itakuwa na nguvu.

Fuel Consumption - SWB itakuwa economic zaidi.

Rough Road - SWB sio rahisi kukwama.. Front and rear axles zipo karibu.

Overall LWB ni bora sababu ya nafasi.

Imagine unaenda kwa Wakwe na SWB then inabidi ukunje kiti ili Mkwe aruke nyuma..!
Kwa nini waafrika mnaogopa wakwe kuliko wazazi?muache tu aruke
 
Sikuwa na lengo la kubishana bali nilitegemea ungekuja na sababu za kunielewesha
Hao wanatengeneza hayo magari wana discourage manual options , in fact kuna baadhi ya manufactures hawana manual option kwa baadhi ya model.
Auto ni superior in many ways over manual , especialy safety issues .
Inawezekana unapenda sana manual na hujajua faida ya auto
Auto ni safety wapi...?
 
Sikuwa na lengo la kubishana bali nilitegemea ungekuja na sababu za kunielewesha
Hao wanatengeneza hayo magari wana discourage manual options , in fact kuna baadhi ya manufactures hawana manual option kwa baadhi ya model.
Auto ni superior in many ways over manual , especialy safety issues .
Inawezekana unapenda sana manual na hujajua faida ya auto
Ingekua hivyo gari za kazi zote wangeweka auto kwanzia pickups hadi malori!
Manual ni gearbox imara,hazina complications wala kuhitaji care sana compared na auto.
Auto ni luxury zaidi,ndiomana wanaotaka kustarehe mumewekewa hizo!
Manual gearbox haiwezi kuja kuachwa,kuna gari kibao zakutembelea zinatoka kila kukicha zikiwa na manual gearbox!
Unaposema safetiness unadhani manufacturers hawaoni hilo hadi waendelee kutengeneza manual kila kukicha?
 
Ingekua hivyo gari za kazi zote wangeweka auto kwanzia pickups hadi malori!
Manual ni gearbox imara,hazina complications wala kuhitaji care sana compared na auto.
Auto ni luxury zaidi,ndiomana wanaotaka kustarehe mumewekewa hizo!
Manual gearbox haiwezi kuja kuachwa,kuna gari kibao zakutembelea zinatoka kila kukicha zikiwa na manual gearbox!
Unaposema safetiness unadhani manufacturers hawaoni hilo hadi waendelee kutengeneza manual kila kukicha?
Unaona sasa !!
Gari heavy duty kwa miaka hii nyingi ni auto
 
Unaona sasa !!
Gari heavy duty kwa miaka hii nyingi ni auto
Zipo ndio sijakataa mbona muda tu,ila hujanijibu wameacha kabisa kutengeneza manual?kwanini unadhani?
 
Ingekua hivyo gari za kazi zote wangeweka auto kwanzia pickups hadi malori!
Manual ni gearbox imara,hazina complications wala kuhitaji care sana compared na auto.
Auto ni luxury zaidi,ndiomana wanaotaka kustarehe mumewekewa hizo!
Manual gearbox haiwezi kuja kuachwa,kuna gari kibao zakutembelea zinatoka kila kukicha zikiwa na manual gearbox!
Unaposema safetiness unadhani manufacturers hawaoni hilo hadi waendelee kutengeneza manual kila kukicha?
Pamoja na magari mengi ya kisasa yaagizwayo na serikali bado 90% ni manual.

Hivyo mkuu wala usisikie ya watu wachache humu wasiomudu manual gear kuona kwamba auto ndio sahihi kwa sasa.

Pia Uingereza gari zao %kubwa ni manual tena hizi IST rav4 BMW version za kwao ni manual kwa kiwango kikubwa.
 
Zipo ndio sijakataa mbona muda tu,ila hujanijibu wameacha kabisa kutengeneza manual?kwanini unadhani?
Manual gearboxes zinakuwa phased out
Iveco stralis europe hawana manual options kwa karibu mwaka wa tano sasa mercedes hali ni hiyo hiyo , scanaia wana manual option @ 7000 plus extra cost of auto na kwa high horsepow er zao kama r770 hawana manual options ,
Land cruiser 300 inakuja na 10 speed auto gearbox ,ambayo ni very efficient,
 
Pamoja na magari mengi ya kisasa yaagizwayo na serikali bado 90% ni manual.

Hivyo mkuu wala usisikie ya watu wachache humu wasiomudu manual gear kuona kwamba auto ndio sahihi kwa sasa.

Pia Uingereza gari zao %kubwa ni manual tena hizi IST rav4 BMW version za kwao ni manual kwa kiwango kikubwa.
Serikali kununua magari manual haimaanishi kuwa ndio magari bora, kama wataalamu wetu wangekuwa vizuri , gari manua zilitakiwa zipotee toka miaka mingi iliyopita
 
Serikali kununua magari manual haimaanishi kuwa ndio magari bora, kama wataalamu wetu wangekuwa vizuri , gari manua zilitakiwa zipotee toka miaka mingi iliyopita
Inawezekana kabisa haujawai kutembelea gari ya automatic huko field na ukajionea udhaifu wake hivyo
Wala tusilete ligi hapa ikiwa hauna uzoefu na rough road.
Wengine tulishawahi kuzimiliki hizo auto na manual hasa kwa 4x4 tunajua mapungufu ya auto kwenye field zikoje.

Ukitaka ushahidi naweza kuweka baadhi ya clip kama zitakuwepo.
 
Back
Top Bottom