Pre GE2025 Tofauti ya Lissu na Magufuli ni moja: Magufuli hakupenda Vitu vya Msaada (bure), Lissu apunguze kuomba omba kuelekea 2025!

Pre GE2025 Tofauti ya Lissu na Magufuli ni moja: Magufuli hakupenda Vitu vya Msaada (bure), Lissu apunguze kuomba omba kuelekea 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show

Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini

Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli

Samahani kwa wale mliokwazika 🐼

Ahsanteni Sana 😂
Nadhani tatizo ni kutomjua vizuri Pombe ndiyo maana umekuja na thread hii. Kwanza ungeuliza watu kuwa ndoa ya Pombe na Janeth mahari yake alilipiwa na nani?

Ungepata muda wa kukaa na watu wazima wangekwambia ilikuwaje wakati JPM anaenda Uingereza kwa matibabu ya moyo sehemu ya gharama zilibebwa na akina nani?

Ova
 
Nadhani tatizo ni kutomjua vizuri Pombe ndiyo maana umekuja na thread hii. Kwanza ungeuliza watu kuwa ndoa ya Pombe na Janeth mahari yake alilipiwa na nani?

Ungepata muda wa kukaa na watu wazima wangekwambia ilikuwaje wakati JPM anaenda Uingereza kwa matibabu ya moyo sehemu ya gharama zilibebwa na akina nani?

Ova
Hayo ni mambo ya Mila na Desturi

Kawaida sana
 
Hoja mfu. Kwani uchapakazi wa Magufuli ulianza baada ya kuwa rais? Kupiga kazi na kupiga porojo ni vitu viwili tofauti.
Kama unasubiri lisu awe rais basi utasubiri sana!
Wewe unaongea kwa mamlaka yapi kwamba lissu kuwa Rais nitasubiri sana ,ya kidunia ,au ya kimungu? Sasa nakupa dokezo Lissu ni rais wako ajae na kama ccm inategemea janja janja kubaki madarakani hilo Mungu wangu alishakataa kama sio kuifutilia mbali mamlaka ya kiutawala ccm na ilisha kuwa.

Sasa ngoja uchaguzi ukifanyika ccm Ije na janja janja , upanga wa Bwana utawashukia na watadondoka kama kuku wenye kideli.Tunza hii
 
Wewe unaongea kwa mamlaka yapi kwamba lissu kuwa Rais nitasubiri sana ,ya kidunia ,au ya kimungu? Sasa nakupa dokezo Lissu ni rais wako ajae na kama ccm inategemea janja janja kubaki madarakani hilo Mungu wangu alishakataa kama sio kuifutilia mbali mamlaka ya kiutawala ccm na ilisha kuwa.

Sasa ngoja uchaguzi ukifanyika ccm Ije na janja janja , upanga wa Bwana utawashukia na watadondoka kama kuku wenye kideli.Tunza hii
Shetani kujifanya Mungu ni kawaida yake. Wewe endelea kumsikiliza huku ujiaminisha kuwa ni mungu wako.
 
Watu wa singida ni wavivu in nature..Lisu bado ana nguvu za kufanya kazi lakini anajidekeza hataki kufanya kazi kutwa ni kuzurura na kuombaomba tu.
 
Ni dharau na matusi kumfananisha mzalendo kama Magufuli na mtu wa hovyo kama Lissu.

Hawafanani kwa lolote R.I.P Magufuli the good don’t last.
 
Mkuu, Magufuli alimpigania/mtetea nani nje ya ofisi za serrikali? Lisu anaendelea kuwatetea watu toka ahitimi elimu yake ya sheria hadi kesho bila kutegemea bajeti/mafungu ya Serikali.
Nimesema Magufuli alikuwa mpigaji sijasema alikuwa mpigania haki.
 
Kunako uhai kura yangu anayo lissu ili muungano ukae sawa haiwezekani DC wa kilosa mzanzibar na sisi twachekea tu
 
Tundu anajidhalilisha sana, na mwepesi kukubali hongo kwa hao anaosema watesi wake, naamini alivyosema alikutana na Abdul nahisi awakufikiana tu ndio maana kawahi kuongea yeye.
 
Back
Top Bottom