Tofauti ya lugha kwenye bar baina ya zama zile na zama hizi

Zamani ni mwendo wa kreti chini ya meza kisha madem wanakuja wenyewe

Umenikumbusha mbali sana...hehehe
Kuna kipindi watu walikua na mazoea ya kumfuata waiter kisiri na kumuomba aletee kila mmoja chupa kumi kumi halafu anamlipa huko huko, yaani wadau wanaona chupa zinakuja na kujaza meza yote, ushindwe mwenyewe.
 
Na Kenya hali iko hivyo? Nilidhani Tz tu
 
pia wanakua na hasira sana ukijichanganya unaweza kula chupa za kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…