Pwani ni sehemu ya ufukweni (ufuo wa pwani) mpaka sehemu ya bahari yenye kilindi /kina kidogo cha maji, ukienda kina kikubwa basi ni baharini, amma MWAMBAO ni sehemu ya juu kutokea pwani /ufukweni kwenda nchi kavu.(kwa uelewa wangu mdogo, hio ndio tofauti baina yao).