Tofauti ya matumizi ya social media kati ya wazungu na watanzania

Hao wamarekani wanavyochangia ndiyo vile watu wa Dar wanavyochangia mada...

Hao wakibongo wanavyochangia ndiyo vile watu wa miakoni nje ya Dar wanavyochangia mada...

Akili za kuambiwa...



Cc: mahondaw
Smart911 hivi Mahondaw ni mkeo?,hawala?dada?au ndugu?.Samahani nimetoka nje ya mada...maana swali hili huwezi kulifungulia sledi...inabidi kuulizamo mumo kwa mumo!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SIKU HIZI SEHEMU ZA KUTANGAZIA BIASHARA NI KWENYE POST ZA WATU DAAH
 
Ila wale Wanao comment kwenye ukurasa wa EATV nafikiri wengi ni under 25, maana akili zao za kitoto sana, halafu mambo mengi yanayoendelea duniani hawayajui kabisa
Hawa jamaa huwa wananifurahisha sana comment zao ni comedy aisee
 
Ukweli mtupu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji872][emoji872]
 
Hahahahaha nadhani kwa Africa wanaigeria wanaongoza yaani mpaka hua wanatimuliwa kwenye forums/groups zingine,
wapo negative minded sana, wana mihemko, wanajifanya wanamjua sana Yesu, wanaweza wakamsimanga mtu mpaka akazimia.
Lol..wanaigeria wanashikilia namba moja kwa negativity kwenye social media aisee na kile kingereza chao sasa...nchi ninayoikubali linapokuja swala LA kujadili issues kwenye social networks ni kenya.
 
Huwa natafuta forums za kuwapata sijazijua bado zaidi ya BBC focus on Africa anakotangaza mnaija mwenzao Okwoche
Wanayo forum yao kubwa sana, nafikiri ndio forum kubwa kwa Africa inaitwa Nairaland forum, Tatizo viingereza vyao vitakushinda utasikia mara Oga, na, chop, don na kadhalika
 
Lol..wanaigeria wanashikilia namba moja kwa negativity kwenye social media aisee na kile kingereza chao sasa...nchi ninayoikubali linapokuja swala LA kujadili issues kwenye social networks ni kenya.
Yes, Kenyans wapo vizuri sana na South Africans.
 
Kila mtu ana mawazo yako. Lakin pale kwenye kumshaur mtu katika njia sahihi ndo hawana . Wanaona kuwa mpaka ampende huyo binamu maana yake alisha mtamani toka mda na sio siko hiyo tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…