Tatizo team kiba maneno meeengi facts hamna. Eti upuuzi wa madale mbona huyo kiba kashindwa kutengeneza upuuzi wa kariakoo? Wcb inaweza kuwa upuuzi kwako ila ndo recorrds insyotamba kwa wasanii wenye vipaji na tuzo za kimataifa, huyo kiba ameshindwa hata kumuinua mdogo wake ndo angeweza kutengeneza records ya kuwainua wengine? ameona ajifiche kwenye mwavumli wa rockstar mana anajua akisema aige na hilo la kuwa recor yake ataaibika. Nyumba za mond ni madale, south africa, kuna moja ipo kunduchi na kuna zingine ni appattment ziko 6 alinzinunua na dalali aliemuuzia tunafahamiana vzr ndo mana nikajua, kuna zingine mbili cjui ziko wapi zinajengwa mama ake ndo alikuwa anazipost. Sasa kiba amepanga tabata tena ni jirani yangu na nyumba ni kawaida sana, sasa huo mkwanja wake anafanyia nn au ni hela majini zinamasharti ya kutofanyia mambo ya maana? mana tajiri alafu hana pa kuishi pa maana sijui tumuwekefungu gani, na kuhusu show cjazungumzia habari za ulaya mana hata shilole anaenda sana tu, nimezungumzia nchi zingine za africa mana king wenu anaishia mombasa. Na nimeuliza hv mskampuni kila cku yanapigana vikumbo kumpa dili diamond, huyo king wenu vipi au tatizo nyota?