Elimubomba
Senior Member
- Jul 27, 2017
- 111
- 47
Kuna wanaoamini kuwa gari ikiwa na namba kadri namba ya gari inavyokuwa ya juu ndivyo gari inavyokuwa nzuri kwa mfano namba D inaashiria kuwa hiyo gari ni mpya kidogo, lakini kiuhalisia sio kweli kwa sababu usajili wa magari unategemea na mwaka ambao gari hilo limeingia katika nchi husika. Katika hali kama hiyo, unaweza kukuta gari ya mwaka 1995 ina namba D ilhali gari ya mwaka 2014 ina namba C, sasa kwa wale wanaonagalia namba, atanunua gari kuu kuu kama atachagua D na kuacha C,Naona tu watu wanasema nataka D au C na wengi hawapendi namba B.
Naomba ufafanuzi hizi, B au C au D zina maana gani katika magari au zinaashiria nini?
Thank you kwa jibu zuri, hata mimi nilikuwa na wasiwasi katika hilo, ila nikaona niwaone wataalamu kabla sijaingia mtumbwiniKuna wanaoamini kuwa gari ikiwa na namba kadri namba ya gari inavyokuwa ya juu ndivyo gari inavyokuwa nzuri kwa mfano namba D inaashiria kuwa hiyo gari ni mpya kidogo, lakini kiuhalisia sio kweli kwa sababu usajili wa magari unategemea na mwaka ambao gari hilo limeingia katika nchi husika. Katika hali kama hiyo, unaweza kukuta gari ya mwaka 1995 ina namba D ilhali gari ya mwaka 2014 ina namba C, sasa kwa wale wanaonagalia namba, atanunua gari kuu kuu kama atachagua D na kuacha C,
Point ni kua bora anunue la 1995 lililojambiwa sana na MJAPAN kuliko la 2014 lililojambiwa sana na MBONGO.Kuna wanaoamini kuwa gari ikiwa na namba kadri namba ya gari inavyokuwa ya juu ndivyo gari inavyokuwa nzuri kwa mfano namba D inaashiria kuwa hiyo gari ni mpya kidogo, lakini kiuhalisia sio kweli kwa sababu usajili wa magari unategemea na mwaka ambao gari hilo limeingia katika nchi husika. Katika hali kama hiyo, unaweza kukuta gari ya mwaka 1995 ina namba D ilhali gari ya mwaka 2014 ina namba C, sasa kwa wale wanaonagalia namba, atanunua gari kuu kuu kama atachagua D na kuacha C,
[emoji23]hii ndio JFPoint ni kua bora anunue la 1995 lililojambiwa sana na MJAPAN kuliko la 2014 lililojambiwa sana na MBONGO.
nadhani kijambo cha MBONGO kinanuka sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23]izo ni alama za ufaulu kwenye mbio za magari, yenye A yanakimbia sana, yenye D ni mwendo wa kobe, yalifeli
Nahisi ivyo Mkuu ndo mana magari used kwa hapa bongo hata kama ni miaka ya karibuni haliheshimiki kama used ya Mjapani hata kama ni ya miaka ya 70Kijambo cha mbongo kinanuka sana??
Tujivunie umbongo wetu
Atari sana[emoji23]hii ndio JF
Kama si makini kudadisi.Wazanzibari wamelijua hilo anatumia magari huko kwao akilichoka analileta bara (anatoa namba za zanzibar) na kuwauzia ma-chogo namba "D"
Duuh kweli dunia kubwaNaona tu watu wanasema nataka D au C na wengi hawapendi namba B.
Naomba ufafanuzi hizi, B au C au D zina maana gani katika magari au zinaashiria nini?
Magari used Japan huwa yanakarabatiwa kabla hayajaletwa hukuNahisi ivyo Mkuu ndo mana magari used kwa hapa bongo hata kama ni miaka ya karibuni haliheshimiki kama used ya Mjapani hata kama ni ya miaka ya 70
Point ni kua bora anunue la 1995 lililojambiwa sana na MJAPAN kuliko la 2014 lililojambiwa sana na MBONGO.
nadhani kijambo cha MBONGO kinanuka sana
Wazanzibari wamelijua hilo anatumia magari huko kwao akilichoka analileta bara (anatoa namba za zanzibar) na kuwauzia ma-chogo namba "D"
Sure. Sheria ipitishwe kukataza magari usedMagari used Japan huwa yanakarabatiwa kabla hayajaletwa huku