Elimubomba
Senior Member
- Jul 27, 2017
- 111
- 47
Naona tu watu wanasema nataka D au C na wengi hawapendi namba B.
Naomba ufafanuzi hizi, B au C au D zina maana gani katika magari au zinaashiria nini?
Naomba ufafanuzi hizi, B au C au D zina maana gani katika magari au zinaashiria nini?