Tofauti ya ndoto na maisha ya kawaida ni nini?

Tofauti ya ndoto na maisha ya kawaida ni nini?

Shing Yui

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
15,168
Reaction score
38,049
Habari wana intelligence.

Mwaka 2006 nikiwa darasa la 4 shule ya msingi huko kijijini kwetu, nikiwa nimelala usiku wa manane niliota nikiwa shule kama kawaida, kwenda na kurudi kama ilivyo haya maisha ya kawaida.

Nikahitimu shule ya msingi na kuanza kidato cha kwanza, cha pili, cha tatu na cha nne hatimae nikamaliza.
Nikakaa nyumbani nikiendelea na shughuli zingine wakati nasubiria matokeo ya kidato cha nne ghafla nikashtuka na kujikuta nipo kitandani.

Kule ndotoni nikiwa darasa la 6 nilivunjika mkono wakati nacheza mpira, nikakaa nyumbani kama mwezi na nusu na mkono ulipopona ulibaki na ukilema kidogo.
Pia kuna changamoto nyingi nilizipitia ambazo zilikuwa za kawaida, kama kutoroka shule, kuwakera wazazi wangu nk;.

Sasa niliposhtuka nilijiona hovyo sana kwa kujikuta nipo kitandani na inatakiwa kukikucha tu nijiandae niwahi shule ambayo nilikuwa darasa la 4 wakati mimi nilikuwa nasubiria matokeo ya kidato cha nne ndotoni ambayo niliyasotea kama ilivyo kawaida.
Furaha iliyonifariji kidogo ni kujikuta mkono sio kilema tena.
Kumbuka ile ajali ya kwenye mpira ndotoni ambayo iliniacha kilema sasa nilipoamka na kujikuta mzima kidogo ndio ilinifariji maana ukilema wangu nilikuwa nimeshauzoea kule ndotoni.

Sasa kule kuamka kukanipa kujiuliza maswali mengi ambayo hayana majibu.
Kama inakuakuaje nimeishi ndotoni kwa miaka mingi namna hiyo ilihali hii ndoto nimeiota ndani ya kama nusu saa tu au chini yake.
Na vipi haya maisha ya kawaida... Kuna siku labda nimelala kwenye ulimwengu fulani nikaingia kwenye ndoto ambayo ndio haya maisha niliyopo au.

Unaweza kulala mgonjwa na ukaamkia ndotoni ukiwa mzima ilihali muda utakapoamka utajikuta na ugonjwa wako.
Au Unalala mzima unaamkia ndotoni na matatizo kibao hata yasiyoelezeka au pengine kufa kabisa. Lakini ukiamka tu unajikuta na uzima wako.
Au Unalala na hali fulani na unaamkia ndotoni na hiyohiyo hali kama nilivyolala mimi, lakini ukiamka utajikuta pale ulipoachia.
Kama uliachia hatua tatu na ukaingia ndotoni ukaongeza nyingine tatu zikawa sita, utakapoamka utajikuta pale kwenye tatu uliyoacha.

Sasa nauliza tu kwamba, Haya maisha tunayoishi kuna uwezekano yakawa ni ndoto?

Maana yale ya ndotoni hayana utofauti na haya.

Je? Mwili tunaotumia ni huu huu au kuna miili mingine kila copy tunayochukua?

Unaweza ukajitahidi kufanya jambo fulani la maana ghafla ukajikuta ulikuwa unaota.

Naombeni mnisaidie kufafanua hili maana kila siku nadhani naota tu. Na kweli vingine saa nyingine nasema aah! Hii ndoto tu.
Na ghafla inakuwa ndoto kweli.
Apollo Kiranga Jimena Rakims na wengine weengi niliowasahau.

Karibuni
 
Last edited by a moderator:
Kwa uelewa wangu kuna ndoto za kawaida na ndoto za kuota ukiwa unafahamu,

Ndoto zinaweza kuwa na uhusiano na maisha ya kawaida au zisiwe na uhusiano.
Nafikiri ili ndoto iwe na na uhusiano na maisha ya kawaida inategemea na vitu vingi sana ikiwemo umeota ukiwa unafahamu au umeota tu kwasababu ubongo wako unafanyia kazi mawazo yako?

Mi sio mtaalamu kabisa wa haya maswala ya ndoto, na hata lucid dream nimejifunzia hapa hapa jukwaani japo sijaipractice ila naamini iko siku ntalifanyia kazi hilo somo.

Kuhusu ndoto yako mi naona ni kama ilikuwa ndoto ya kitoto tu kwasababu kwa wakati huo akili yako ilikuwa ikifikiria maswala ya shule tu ila sidhani kama ilikuwa na uhusiano wowote na maisha ya kawaida.

Ngoja aje Bennie 369 atupe ujuzi wake kuhusu ndoto
 
Last edited by a moderator:
Ndoto hutafasiriwa tofauti tofati kulingana na makundi ya watu wenye mitizamo inayotofautiana.

mfano wanasaikolojia wanaweza kusema hiyo ndoto inasababishwa na matendo au mawazo yako ya kila siku ambayo hujijenga akilini au kwenye mind yako ambapo usiku wakati umelala inakua kama playback.

madaktari wanaweza kusema labda ni kwa sababu ya kula alafu unakwenda kulala mda huohuo, ndio maana wanashaur mtu kula zaid ya nusu saa kabla ya kulala.

wachungaji wanaweza kuitafasiri kama kuna roho mbaya za mapepo zinakushambulia au zinataka kukuletea mambo mabaya na mikosi hivo mwisho ushauri wao ni kutaka uokoke.

wanajimu(wasoma nyota) na waganga wanaweza kukupa maana yake pia( hapa sina utaalam) na hata hivyo wao huzingatia pia mda ambao umeota hiyo ndoto.

Ila furahi na kushangilia kwa maana mwenye jibu la uhakika asilimia 999% wa hiyo ndoto kapatikana, kumbuka kua siku zote nguvu itokayo ndani ndio hujenga, (namaanisha internal forces from within). na hata wewe pia unayo, hivo mwenye jibu la uhakika wa hiyo ndoto ni wewe mwenyewe#

#stay calm/relax> take a deep breath>empty your mind then FOCUS#
Cc Jimena and aretasludovick
 
Last edited by a moderator:
Ndoto hutafasiriwa tofauti tofati kulingana na makundi ya watu wenye mitizamo inayotofautiana.

mfano wanasaikolojia wanaweza kusema hiyo ndoto inasababishwa na matendo au mawazo yako ya kila siku ambayo hujijenga akilini au kwenye mind yako ambapo usiku wakati umelala inakua kama playback.

madaktari wanaweza kusema labda ni kwa sababu ya kula alafu unakwenda kulala mda huohuo, ndio maana wanashaur mtu kula zaid ya nusu saa kabla ya kulala.

wachungaji wanaweza kuitafasiri kama kuna roho mbaya za mapepo zinakushambulia au zinataka kukuletea mambo mabaya na mikosi hivo mwisho ushauri wao ni kutaka uokoke.

wanajimu(wasoma nyota) na waganga wanaweza kukupa maana yake pia( hapa sina utaalam) na hata hivyo wao huzingatia pia mda ambao umeota hiyo ndoto.

Ila furahi na kushangilia kwa maana mwenye jibu la uhakika asilimia 999% wa hiyo ndoto kapatikana, kumbuka kua siku zote nguvu itokayo ndani ndio hujenga, (namaanisha internal forces from within). na hata wewe pia unayo, hivo mwenye jibu la uhakika wa hiyo ndoto ni wewe mwenyewe#

#stay calm/relax> take a deep breath>empty your mind then FOCUS#
Cc Jimena and aretasludovick

Asante sana sana ✌✌✌✌ naedelea kuempty my mind
 
Last edited by a moderator:
Habari wana intelligence.

Mwaka 2006 nikiwa darasa la 4 shule ya msingi huko kijijini kwetu, nikiwa nimelala usiku wa manane niliota nikiwa shule kama kawaida, kwenda na kurudi kama ilivyo haya maisha ya kawaida.

Nikahitimu shule ya msingi na kuanza kidato cha kwanza, cha pili, cha tatu na cha nne hatimae nikamaliza.
Nikakaa nyumbani nikiendelea na shughuli zingine wakati nasubiria matokeo ya kidato cha nne ghafla nikashtuka na kujikuta nipo kitandani.

Kule ndotoni nikiwa darasa la 6 nilivunjika mkono wakati nacheza mpira, nikakaa nyumbani kama mwezi na nusu na mkono ulipopona ulibaki na ukilema kidogo.
Pia kuna changamoto nyingi nilizipitia ambazo zilikuwa za kawaida, kama kutoroka shule, kuwakera wazazi wangu nk;.

Sasa niliposhtuka nilijiona hovyo sana kwa kujikuta nipo kitandani na inatakiwa kukikucha tu nijiandae niwahi shule ambayo nilikuwa darasa la 4 wakati mimi nilikuwa nasubiria matokeo ya kidato cha nne ndotoni ambayo niliyasotea kama ilivyo kawaida.
Furaha iliyonifariji kidogo ni kujikuta mkono sio kilema tena.
Kumbuka ile ajali ya kwenye mpira ndotoni ambayo iliniacha kilema sasa nilipoamka na kujikuta mzima kidogo ndio ilinifariji maana ukilema wangu nilikuwa nimeshauzoea kule ndotoni.

Sasa kule kuamka kukanipa kujiuliza maswali mengi ambayo hayana majibu.
Kama inakuakuaje nimeishi ndotoni kwa miaka mingi namna hiyo ilihali hii ndoto nimeiota ndani ya kama nusu saa tu au chini yake.
Na vipi haya maisha ya kawaida... Kuna siku labda nimelala kwenye ulimwengu fulani nikaingia kwenye ndoto ambayo ndio haya maisha niliyopo au.

Unaweza kulala mgonjwa na ukaamkia ndotoni ukiwa mzima ilihali muda utakapoamka utajikuta na ugonjwa wako.
Au Unalala mzima unaamkia ndotoni na matatizo kibao hata yasiyoelezeka au pengine kufa kabisa. Lakini ukiamka tu unajikuta na uzima wako.
Au Unalala na hali fulani na unaamkia ndotoni na hiyohiyo hali kama nilivyolala mimi, lakini ukiamka utajikuta pale ulipoachia.
Kama uliachia hatua tatu na ukaingia ndotoni ukaongeza nyingine tatu zikawa sita, utakapoamka utajikuta pale kwenye tatu uliyoacha.

Sasa nauliza tu kwamba, Haya maisha tunayoishi kuna uwezekano yakawa ni ndoto?

Maana yale ya ndotoni hayana utofauti na haya.

Je? Mwili tunaotumia ni huu huu au kuna miili mingine kila copy tunayochukua?

Unaweza ukajitahidi kufanya jambo fulani la maana ghafla ukajikuta ulikuwa unaota.

Naombeni mnisaidie kufafanua hili maana kila siku nadhani naota tu. Na kweli vingine saa nyingine nasema aah! Hii ndoto tu.
Na ghafla inakuwa ndoto kweli.
Apollo Kiranga Jimena Rakims na wengine weengi niliowasahau.

Karibuni
Kuota ndoto ni sehemu mojawapo katika maisha yako ya kila siku inategemea umeota wakati gani?
 
Ndoto hutafasiriwa tofauti tofati kulingana na makundi ya watu wenye mitizamo inayotofautiana.

mfano wanasaikolojia wanaweza kusema hiyo ndoto inasababishwa na matendo au mawazo yako ya kila siku ambayo hujijenga akilini au kwenye mind yako ambapo usiku wakati umelala inakua kama playback.

madaktari wanaweza kusema labda ni kwa sababu ya kula alafu unakwenda kulala mda huohuo, ndio maana wanashaur mtu kula zaid ya nusu saa kabla ya kulala.

wachungaji wanaweza kuitafasiri kama kuna roho mbaya za mapepo zinakushambulia au zinataka kukuletea mambo mabaya na mikosi hivo mwisho ushauri wao ni kutaka uokoke.

wanajimu(wasoma nyota) na waganga wanaweza kukupa maana yake pia( hapa sina utaalam) na hata hivyo wao huzingatia pia mda ambao umeota hiyo ndoto.

Ila furahi na kushangilia kwa maana mwenye jibu la uhakika asilimia 999% wa hiyo ndoto kapatikana, kumbuka kua siku zote nguvu itokayo ndani ndio hujenga, (namaanisha internal forces from within). na hata wewe pia unayo, hivo mwenye jibu la uhakika wa hiyo ndoto ni wewe mwenyewe#

#stay calm/relax> take a deep breath>empty your mind then FOCUS#
Cc Jimena and aretasludovick

Asante sana
 
Last edited by a moderator:
Asante sana sana ✌✌✌✌ naedelea kuempty my mind

Jimena we kila siku ni kuempty mind tuuuu??? how abt focus????.
hence kuempty mind tuuu hukufanya u relax tu nakufanya body & mind kuwa katika hali ya kawaida
 
Last edited by a moderator:
Habari wana intelligence.

Mwaka 2006 nikiwa darasa la 4 shule ya msingi huko kijijini kwetu, nikiwa nimelala usiku wa manane niliota nikiwa shule kama kawaida, kwenda na kurudi kama ilivyo haya maisha ya kawaida.

Nikahitimu shule ya msingi na kuanza kidato cha kwanza, cha pili, cha tatu na cha nne hatimae nikamaliza.
Nikakaa nyumbani nikiendelea na shughuli zingine wakati nasubiria matokeo ya kidato cha nne ghafla nikashtuka na kujikuta nipo kitandani.

Kule ndotoni nikiwa darasa la 6 nilivunjika mkono wakati nacheza mpira, nikakaa nyumbani kama mwezi na nusu na mkono ulipopona ulibaki na ukilema kidogo.
Pia kuna changamoto nyingi nilizipitia ambazo zilikuwa za kawaida, kama kutoroka shule, kuwakera wazazi wangu nk;.

Sasa niliposhtuka nilijiona hovyo sana kwa kujikuta nipo kitandani na inatakiwa kukikucha tu nijiandae niwahi shule ambayo nilikuwa darasa la 4 wakati mimi nilikuwa nasubiria matokeo ya kidato cha nne ndotoni ambayo niliyasotea kama ilivyo kawaida.
Furaha iliyonifariji kidogo ni kujikuta mkono sio kilema tena.
Kumbuka ile ajali ya kwenye mpira ndotoni ambayo iliniacha kilema sasa nilipoamka na kujikuta mzima kidogo ndio ilinifariji maana ukilema wangu nilikuwa nimeshauzoea kule ndotoni.

Sasa kule kuamka kukanipa kujiuliza maswali mengi ambayo hayana majibu.
Kama inakuakuaje nimeishi ndotoni kwa miaka mingi namna hiyo ilihali hii ndoto nimeiota ndani ya kama nusu saa tu au chini yake.
Na vipi haya maisha ya kawaida... Kuna siku labda nimelala kwenye ulimwengu fulani nikaingia kwenye ndoto ambayo ndio haya maisha niliyopo au.

Unaweza kulala mgonjwa na ukaamkia ndotoni ukiwa mzima ilihali muda utakapoamka utajikuta na ugonjwa wako.
Au Unalala mzima unaamkia ndotoni na matatizo kibao hata yasiyoelezeka au pengine kufa kabisa. Lakini ukiamka tu unajikuta na uzima wako.
Au Unalala na hali fulani na unaamkia ndotoni na hiyohiyo hali kama nilivyolala mimi, lakini ukiamka utajikuta pale ulipoachia.
Kama uliachia hatua tatu na ukaingia ndotoni ukaongeza nyingine tatu zikawa sita, utakapoamka utajikuta pale kwenye tatu uliyoacha.

Sasa nauliza tu kwamba, Haya maisha tunayoishi kuna uwezekano yakawa ni ndoto?

Maana yale ya ndotoni hayana utofauti na haya.

Je? Mwili tunaotumia ni huu huu au kuna miili mingine kila copy tunayochukua?

Unaweza ukajitahidi kufanya jambo fulani la maana ghafla ukajikuta ulikuwa unaota.

Naombeni mnisaidie kufafanua hili maana kila siku nadhani naota tu. Na kweli vingine saa nyingine nasema aah! Hii ndoto tu.
Na ghafla inakuwa ndoto kweli.
Apollo Kiranga Jimena Rakims na wengine weengi niliowasahau.

Karibuni

Umemsahau mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Sikumbuki ilianza saa ngapi, lakini niliposhtuka ilikuwa muda kama saa kumi usiku kuelekea saa kumi na moja.

kama ni ivo inaweza kuwa na maana according to astrologers, maana husema ndoto za kati ya saa tisa had kumi na 1 huwa na maana.

km wewe ni rc ushawahi kuchunguza kwann??? mapadre na masister huamka saa kumi kusali, na hata baadhi ya isilamic hufanya hvo#
 
kama ni ivo inaweza kuwa na maana according to astrologers, maana husema ndoto za kati ya saa tisa had kumi na 1 huwa na maana.

km wewe ni rc ushawahi kuchunguza kwann??? mapadre na masister huamka saa kumi kusali, na hata baadhi ya isilamic hufanya hvo#

Sijajiulizaga. Hivi ni kwanini?
 
Back
Top Bottom